Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Rais wa kwanza wa Botswana alikuwa rangi gani? Soma Geografia na historia yako ya darasa la tano vizuri unless ni kizazi kipya kilichopotea.
Sijaelewa bado unataka kusema nini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wa kwanza wa Botswana alikuwa rangi gani? Soma Geografia na historia yako ya darasa la tano vizuri unless ni kizazi kipya kilichopotea.
Kituo kikiwa kizuri ndio watu hawateswi humo? Sifa za kijinga tu hizoKituo cha polisi hata kiwe kizuri namna gani, usiombee kwenda ukiwa kama mhalifu. Bora hata ingekuwa shule.
Au na huyo msanii angepewa chumba chake hapo hata wiki 1!
Nakuuliza Rais wa kwanza wa Botswana Tse Tse Khama alikuwa na asili ya wapi?Sijaelewa bado unataka kusema nini!
Tufafanulie pls na sisi wa huku Mbwinde,hicho kituo cha Polisi Oysterbay kiko mkoa gani...Kwenye pages mbalimbali za social media nchini Nigeria ziliporushwa video clips za msanii Kiss Daniel akikamatwa na kuingizwa kituo cha Polisi Oysterbay mjadala umekuwa si msanii hiyo kukamatwa bali uzuri wa Kituo cha Polisi Oysterbay ambapo Wa Nigeria wengi walionekana kuusifia uzuri wa kituo hicho wakifananisha na vituo vyao vya Nigeria.
Ikumbukwe kituo hiki kilijengwa na kampuni ya mwekezaji mahiri Rostam Aziz. Napenda kumpongeza sana Rostam na naomba azidi kujenga vituo vingi zaidi vya namna hii.
Kwa Jeshi la Polisi naoma na nyie huo uwe mfano bora wa vituo vyenu mnavyopaswa kuvijenga kuanzia sasa.
View attachment 2319641View attachment 2319642View attachment 2319644
Nakuuliza Rais wa kwanza wa Botswana Tse Tse Khama alikuwa na asili ya wapi?
Hawajui hawa siku wakipata kuona vya pembeni huko wata jua hii ndoo tzBaada ya tukio la kukamatwa kwa msanii wa Nigeria Kizz Daniel, baadhi ya raia wa nchi hiyo kwenye Mitandao ya Kijamii wameonesha hisia tofauti kuhusiana na hali ya kituo cha Polisi alichopelekwa msanii huyo..
(Kituo cha Polisi kinaonekana kama hotel atakuwa salama huko huku akipata kiyoyozi)....huku wengine wakisema vituo vya Polisi Tanzania vinapendeza ni nani aliye tuloga Nigeria??
Hahaaa haa! aiiiiìy hahaha
kwa kicheko cha jiwe[emoji1787][emoji1787]..
View attachment 2319662View attachment 2319663View attachment 2319664View attachment 2319666
I meant his wife and then the son who became a president himself.
I meant his wife and then the son who became a president himself.
Umesoma vizuri hizo comments na kuzielewa?Yaani kusifia kwenyewe ni kwamba kizuri kama vya KWAO?!!!! Wapuuzi nini, mi nilijua wanasifia kuwa hawajaona mfano wake. Na kwa maelezo haya inaonyesha kuwa wametudharau sana!
Huko mbona mbali hapo hapo Dar tu.Hawaijui tz hawa,ngoja siku wakikamtiwa tabora au shinyanga ndio watasimulia vizuri.
Unaongea nini?Yaani kusifia kwenyewe ni kwamba kizuri kama vya KWAO?!!!! Wapuuzi nini, mi nilijua wanasifia kuwa hawajaona mfano wake. Na kwa maelezo haya inaonyesha kuwa wametudharau sana!
Mabatini,migo,buguruni etc watapata wanachokitafuta.Huko mbona mbali hapo hapo Dar tu.
Nilimaamnisha mke wake alikuwa mwingereza na mtoto wake akaja kuwa president baadaye.“his wife“ hakuwahi kuna president wa Botswana!
Rostam ni mtz kazaliwa tzLakini Rostamu bado ni Asian, hivyo hakuna cha kumtambia Mnigeria hapo, ingekuwa ni mali ya Mwafrika labda hapo ni sawa kujisifu.
Amefisadi nini? Acha wivu tafuta pesaTunasifia kujengewa mpaka Kituo cha polisi na fisadi la kimataifa.
Kilijengwa bure?ilizungumzwa hapa kwamba kuna mwekezaji kachukua eneo lote la Obay polisi anavunja na kujenga Mall na vitu vingine.
Pia atawajengea Polisi kituo,ndo hicho?
Kiko Dar es Salaam karibu na Ubalozi wa MarekaniTufafanulie pls na sisi wa huku Mbwinde,hicho kituo cha Polisi Oysterbay kiko mkoa gani...
Wampeleke mbagala ili iwejeNawaza kwa nini wasingempeleka mbagala maturubai akakutane na wazee wa 770...
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app