Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Kuna kibao hapo kinasomeka: jengo la ofisi za Chama lilizinduliwa na Mheshimiwa Mbowe.Hiyo ni ofisi!!!??
ipige picha vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kibao hapo kinasomeka: jengo la ofisi za Chama lilizinduliwa na Mheshimiwa Mbowe.Hiyo ni ofisi!!!??
ipige picha vizuri
Hahaha, sasa, hiyo ni choo au office? Jamani mnauwa mbavu zangu haahaWapo makamanda uchwara wamepiga sementi yote naona mchanga mkavu tu hapo ,
Sema kipagale cha bavicha hela zote mbowe amelambia nyagi
USSR
Hata mlivyomla nyama Saanane mlisema hivi hivi.Umeuliza sababu ya kubomoa au umeamua kumuhukum tu
Hiyo nayo ni ofisi au banda la sunguraNchi kila kukicha tunazungumzia kujenga ustawi wa demokrasia na kupunguza chuki na uhasama ili kulinda amani ya taifa.
Kwa kiburi cha hali ya juu kabisa DC wa Bunda akijiita Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amevuja jengo la Ofisi ya CHADEMA Wilaya ambalo wananchi alijitolea michango yao kwa nyoyo zao.
Nataka kujua, huyu msaliti mkubwa anafikiri kufanya hivyo ndiyo njia ya kukisaidia CCM kibaki madarakani? Anafanya hivi ili iweze kumsaidia kitu gani yeye na familia yake? Bila kuwa DC ana nguvu ya kufanya huu upuuzi anaoufanya? Ni Wilaya ngapi nchi hii kuna ofisi za CHADEMA?
Huu USabaya una mwisho wake na Nassari usijione kiburi hutoachwa ni swala la muda tu. Leo hapo ulipo unavimba kwa sababu ya CHADEMA na wala hakuna ambaye angekuja wewe.
Jiwe la msingi liliwekwa na Mhe. F. A. Mbowe mwezi wa kwanza 2021.Nchi kila kukicha tunazungumzia kujenga ustawi wa demokrasia na kupunguza chuki na uhasama ili kulinda amani ya taifa.
Kwa kiburi cha hali ya juu kabisa DC wa Bunda akijiita Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amevuja jengo la Ofisi ya CHADEMA Wilaya ambalo wananchi alijitolea michango yao kwa nyoyo zao.
Nataka kujua, huyu msaliti mkubwa anafikiri kufanya hivyo ndiyo njia ya kukisaidia CCM kibaki madarakani? Anafanya hivi ili iweze kumsaidia kitu gani yeye na familia yake? Bila kuwa DC ana nguvu ya kufanya huu upuuzi anaoufanya? Ni Wilaya ngapi nchi hii kuna ofisi za CHADEMA?
Huu USabaya una mwisho wake na Nassari usijione kiburi hutoachwa ni swala la muda tu. Leo hapo ulipo unavimba kwa sababu ya CHADEMA na wala hakuna ambaye angekuja wewe.
Mungu ibariki ChademaNchi kila kukicha tunazungumzia kujenga ustawi wa demokrasia na kupunguza chuki na uhasama ili kulinda amani ya taifa.
Kwa kiburi cha hali ya juu kabisa DC wa Bunda akijiita Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amevuja jengo la Ofisi ya CHADEMA Wilaya ambalo wananchi alijitolea michango yao kwa nyoyo zao.
Nataka kujua, huyu msaliti mkubwa anafikiri kufanya hivyo ndiyo njia ya kukisaidia CCM kibaki madarakani? Anafanya hivi ili iweze kumsaidia kitu gani yeye na familia yake? Bila kuwa DC ana nguvu ya kufanya huu upuuzi anaoufanya? Ni Wilaya ngapi nchi hii kuna ofisi za CHADEMA?
Huu USabaya una mwisho wake na Nassari usijione kiburi hutoachwa ni swala la muda tu. Leo hapo ulipo unavimba kwa sababu ya CHADEMA na wala hakuna ambaye angekuja wewe.
Hii kitu watu wachache sana watakuelewaUkombozi umekaribia, ila ni lazima uambatane na maumivu na machungu mengi.
These events, are controlled by Power that is beyond human understanding.
Hata Wayahudi waliomsulubisha Yesu, hawakujua walitendalo kama ambavyo watawala wetu leo hii hawajui wayatendayo(sio kosa lao)
Wakati Wayahudi walifikiri wanamkomoa Yesu, watawala wetu wanafikiri wanaikomoa CHADEMA, kumbe wanatengeneza msingi wa anguko lao(it is ongoing process).
Sometimes siwalaumu sana kwani naamini wanafanya kila ambacho Power of Nature inahusika.
Hela unataka zitoke lumumba? Kila mtu anakula kwa kamba yake maninaWapo makamanda uchwara wamepiga sementi yote naona mchanga mkavu tu hapo ,
Sema kipagale cha bavicha hela zote mbowe amelambia nyagi
USSR
Hata uhakika wa mlo hanaMbona wewe huna hata hicho kichumba mpaka Leo na umri umekupa mkono?
Ila mbona kama tofali mchanga ulizidi cement.Nchi kila kukicha tunazungumzia kujenga ustawi wa demokrasia na kupunguza chuki na uhasama ili kulinda amani ya taifa.
Kwa kiburi cha hali ya juu kabisa DC wa Bunda akijiita Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amevuja jengo la Ofisi ya CHADEMA Wilaya ambalo wananchi alijitolea michango yao kwa nyoyo zao.
Nataka kujua, huyu msaliti mkubwa anafikiri kufanya hivyo ndiyo njia ya kukisaidia CCM kibaki madarakani? Anafanya hivi ili iweze kumsaidia kitu gani yeye na familia yake? Bila kuwa DC ana nguvu ya kufanya huu upuuzi anaoufanya? Ni Wilaya ngapi nchi hii kuna ofisi za CHADEMA?
Huu USabaya una mwisho wake na Nassari usijione kiburi hutoachwa ni swala la muda tu. Leo hapo ulipo unavimba kwa sababu ya CHADEMA na wala hakuna ambaye angekuja wewe.
Mungu ibariki CHADEMA.. Mungu msamehe aliyetoa amri ya kuvunja hili jengoNchi kila kukicha tunazungumzia kujenga ustawi wa demokrasia na kupunguza chuki na uhasama ili kulinda amani ya taifa.
Kwa kiburi cha hali ya juu kabisa DC wa Bunda akijiita Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amevuja jengo la Ofisi ya CHADEMA Wilaya ambalo wananchi alijitolea michango yao kwa nyoyo zao.
Nataka kujua, huyu msaliti mkubwa anafikiri kufanya hivyo ndiyo njia ya kukisaidia CCM kibaki madarakani? Anafanya hivi ili iweze kumsaidia kitu gani yeye na familia yake? Bila kuwa DC ana nguvu ya kufanya huu upuuzi anaoufanya? Ni Wilaya ngapi nchi hii kuna ofisi za CHADEMA?
Huu USabaya una mwisho wake na Nassari usijione kiburi hutoachwa ni swala la muda tu. Leo hapo ulipo unavimba kwa sababu ya CHADEMA na wala hakuna ambaye angekuja wewe.
Ni choo kinachotumika kukustiri ukiwa umeingia mwezini.Hahaha, sasa, hiyo ni choo au office? Jamani mnauwa mbavu zangu haaha
Ili kuifurahisha ccmKavunja kwasababu gani?.
Mama anaponya nchi.DC aache uhuni, haya mambo wanafanya vijana wa kijiweni wasio na ajira.