Jengo la ofisi ya CHADEMA Bunda lavunjwa

Toa ufafanuzi wasababu za kubomolewa toka upande wapili
 
Hatima ya haya yote ni nni lakini? Na wakishazichoma na kuzibomoa ofisi zote nini kitafuata?
 
Inamaana nasari ndio kafanya hivi?
 

hii ofisi ni ya lini mbna hata hamna mabati yalioanguka
 
Mkuu huyo ni 'NASSARI', ndiye anayeshiriki kuisulubisha CHADEMA?

Huyo Nassari, si nasikia amesoma, ana elimu ya kutosha, hadi Marekani kafika? Sasa elimu yake inamsaidia kitu gani?

Hilo jengo lina kosa gani, hadi Kamati ya ulinzi ijihusishe nalo? Hiyo kamati ndio mahakama? Imeamuliwa mahakamani kwamba hilo jengo kwa sababu maalum linatakiwa livunjwe?

Huko kuvunja jengo, ndiko kuvunja mapenzi ya ya waliolijenga kwa chama chao, au nao ataanza kuwabomoa!

Hizi ni dalili za kuwepo mageuzi makubwa yanayokuja karibuni. Mambo ya namna hii hayatokei bila sababu.
 
Huyu atalipa tu hamna shida
 
Hakuna picha nyingine?

Mbona kama choo za stendi ya mabasi? Samahani lakini, ila nineshindwa kuielewa ofisi iliyovunjwa ni ipi?
 
Wakurya mnaniangusha hebu mshughulikieni huyo shoga wa kimeru
 



 
MBOWE ANAJUWA SAANANE CHACHA WANGWE NA KILA MADHIRA YA CHADEMA MBOWE NI MHUSIKA YAANI ANAJIFANYA KONDOO KUMBE MBWA MWITU SASA HIVI KAPATIKANA ATANYOOKA TU
Akili zako hazina akili.
Ungeandika tu kwa herufi ndogo ungeeleweka.
 
Maneti aliimbaga. " Madaraka Yana mwisho wake, aliye juu mngoje chini duniani"
 
Mbona umepiga picha kimagumashi, hiyo kifusi ndio ilikuwa ofisi ya wilaya?
Je DC kaamuru ivunjwe bila sababu za msingi?
Jifunze kutoa taarifa zilizokamilika!
 
So sad!
Hivi hawa madhalimu wanajiamini nini?

Hivi watu wakiamua kulipiza kisasi kwa kudeal nao mmoja mmoja wanaweza kucontrol situation?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…