gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
Chanzo cha moto kitajulikana hapo kesho..
(shoti ya umeme huenda)
Ila,baada ya jengo hilo kuungua kwa muda,umeme ukakatika..
Askari wanapatrol mitaani na kupiga mabomu kutuliza ghasia..
Jirani na ofisi hiyo pana maduka ya wafanyabiashara,ambao huenda maduka yao yakaathirika kwa moto huo,maana huduma za kuzima mioto mawilayani,ndiyo hivyo tena..
2230.....
Hakuna taarifa juu ya kudhibitiwa ama kutodhibitiwa kwa moto huo hadi sasa,wala hasara iliyopatikana..
Updates zaidi kesho..
0605hrs:
Inasemekana maduka yote yameteketea kwa moto ulioanzia kwenye ofisi ya OCD.. Maeneo hayo ni jirani na soko,hivyo mabanda mengi ya biashara yameathirika!
-Watu wameanza safari kwenda vijijini na sehemu nyingine za jirani
- Kwa wenye ndugu,wasio na ndugu wamepanda basi la Dar..
0700hrs
- Yasemekana chanzo cha moto ni hujuma!
-Baadhi ya familia zaomba hifadhi kituo cha Polisi(kwa OCS) ambako kuna ukumbi mkubwa wa canteen unaotumika kwa sherehe na vinywaji baridi na vikali...
1320hrs:
- Helikopta ya Polisi inarandaranda juu..
1800hrs:
-Afande Paul Chagonja amefika,amekagua madhara ya moto kwenye ofisi ya OCD na maduka ya wafanyabiashara. Hii ni ikiwemo gari aina ya Suzuki Escudo ya mfanyabiashara aliyekuwa kaipaki barabarani akijaribu kuokoa mali zake,na kuja kuikuta inateketea.
-Amesikiliza kilio cha baadhi ya wafanyabiashara juu ya hasara waliyoipata,na vipigo vilivyoambatana nayo..
-Baadhi ya raia waliokuwa wamekimbilia vijiji jirani wamerudi kuangalia maafa,na hivi giza linapozama,nao wanarudi vijijini kwani hawajajihakikishia usalama wao bado!
Wengine ambao leo hawakupata usafiri,wanatarajia kuondoka kesho...
0615hrs:
-Kamishna wa Polisi Paul Chagoja,jana aliitamka namba yake ya simu ya kiganjani kwa yeyote mwenye taarifa kuhusu vipigo na mioto. Akaomba mtu awe huru kubeep,kutuma ujumbe,kumpigia,na kama hatakuwa na woga,basi leo(Alhamisi) aongee naye ana kwa ana madhila waliyopata raia,naye atazipokea na kutafuata namna ya kuzifanyia kazi.
1950hrs
-Jopo lililokuja na kamanda Chagonja limeshinda likihoji wafanyabiashara waathirika mmoja mmoja..
-Siku ya Ijumaa saa 4 asubuhi,kikao kimeandaliwa na Diwani wa kata,akishirikiana na uongozi wa chama tawala na serikali wameandaa mkutano wa wananchi wote ili kuwekana sawa juu ya amani ya mji wa Tandahimba,na vitongoji vyake.....
Gee Cee
(shoti ya umeme huenda)
Ila,baada ya jengo hilo kuungua kwa muda,umeme ukakatika..
Askari wanapatrol mitaani na kupiga mabomu kutuliza ghasia..
Jirani na ofisi hiyo pana maduka ya wafanyabiashara,ambao huenda maduka yao yakaathirika kwa moto huo,maana huduma za kuzima mioto mawilayani,ndiyo hivyo tena..
2230.....
Hakuna taarifa juu ya kudhibitiwa ama kutodhibitiwa kwa moto huo hadi sasa,wala hasara iliyopatikana..
Updates zaidi kesho..
0605hrs:
Inasemekana maduka yote yameteketea kwa moto ulioanzia kwenye ofisi ya OCD.. Maeneo hayo ni jirani na soko,hivyo mabanda mengi ya biashara yameathirika!
-Watu wameanza safari kwenda vijijini na sehemu nyingine za jirani
- Kwa wenye ndugu,wasio na ndugu wamepanda basi la Dar..
0700hrs
- Yasemekana chanzo cha moto ni hujuma!
-Baadhi ya familia zaomba hifadhi kituo cha Polisi(kwa OCS) ambako kuna ukumbi mkubwa wa canteen unaotumika kwa sherehe na vinywaji baridi na vikali...
1320hrs:
- Helikopta ya Polisi inarandaranda juu..
1800hrs:
-Afande Paul Chagonja amefika,amekagua madhara ya moto kwenye ofisi ya OCD na maduka ya wafanyabiashara. Hii ni ikiwemo gari aina ya Suzuki Escudo ya mfanyabiashara aliyekuwa kaipaki barabarani akijaribu kuokoa mali zake,na kuja kuikuta inateketea.
-Amesikiliza kilio cha baadhi ya wafanyabiashara juu ya hasara waliyoipata,na vipigo vilivyoambatana nayo..
-Baadhi ya raia waliokuwa wamekimbilia vijiji jirani wamerudi kuangalia maafa,na hivi giza linapozama,nao wanarudi vijijini kwani hawajajihakikishia usalama wao bado!
Wengine ambao leo hawakupata usafiri,wanatarajia kuondoka kesho...
0615hrs:
-Kamishna wa Polisi Paul Chagoja,jana aliitamka namba yake ya simu ya kiganjani kwa yeyote mwenye taarifa kuhusu vipigo na mioto. Akaomba mtu awe huru kubeep,kutuma ujumbe,kumpigia,na kama hatakuwa na woga,basi leo(Alhamisi) aongee naye ana kwa ana madhila waliyopata raia,naye atazipokea na kutafuata namna ya kuzifanyia kazi.
1950hrs
-Jopo lililokuja na kamanda Chagonja limeshinda likihoji wafanyabiashara waathirika mmoja mmoja..
-Siku ya Ijumaa saa 4 asubuhi,kikao kimeandaliwa na Diwani wa kata,akishirikiana na uongozi wa chama tawala na serikali wameandaa mkutano wa wananchi wote ili kuwekana sawa juu ya amani ya mji wa Tandahimba,na vitongoji vyake.....
Gee Cee