Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Haa HaaHilo jengo lingekuwa Chato lisingeguswa.
Aisee!Alikuwa na roho ya kwanini hakupenda ionekane kuna mwingine zaidi kuliko yeye hivyo alivyozuiwa mara ya kwanza kulibomoa aliumizwa sana na alipoupata urais akaona atimize lengo lake na kuiridhisha nafsi yake kwamba yeye ndio zaidi.
Mtu ukiwa na roho mbaya ya asili unateseka sana.
Mi nalaani umasikini ndio unaosababisha watu kuwa na roho mbaya mnoAlikuwa na roho ya kwanini hakupenda ionekane kuna mwingine zaidi kuliko yeye hivyo alivyozuiwa mara ya kwanza kulibomoa aliumizwa sana na alipoupata urais akaona atimize lengo lake na kuiridhisha nafsi yake kwamba yeye ndio zaidi.
Mtu ukiwa na roho mbaya ya asili unateseka sana.
Ndio ukweli.Aisee!
Hahahaha, Prof kawa mdogo sana sasa hivi! Ila mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Prof ana madini mengi sana kichwaniJasiri... Shujaa... Mwamba!! mungu wa profesa mmoja hivi wa huko matakatakani.
Basi ilikuwa mbaya sana hiyoNdio ukweli.
mzilankende ndo maana yake niniHaa Haa
Msechu Aliimba Nguzo Yetu Imara Imeanguka
Kwenye Kifo Cha Mzilankende
Mnajifanya mnataka kupoteza legacy.......View attachment 1991013
Mpaka leo sielewi kwa nini hili jengo lilibomolewa.
Nimefika hata nchi za nje, barabara inakatiza hadi katikati ya jengo, na jengo hili hata kwa barabara iliyopo Ubungo haijafikia lilko jengo lililobomolew.
Kama si uhujumu sijui?
Mi nachokoza tu, wataalam tuambieni!