Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
MkuuUnatakaa habari mkuu badala usogee ukasaidie kuzima moto 😂😂😂😂
Data base ipo labda physical documents ndizo zitaunguaDocuments zote ziungue na servers tuanze upya.
Moto ni mkubwa sana ghorofa za juuNaona moto unazidi kuongezeka hasa kwenye ghorofa ya juu kabisa...
Mkuu,ndio nini sasa...
Hii nchi asilimia kubwa ya raia wanaiombea mabaya tu...🤣Documents zote ziungue na servers tuanze upya.
Server ipo mawinguni, hakuna kuanza upya. Tutaendelea tulipoishiaDocuments zote ziungue na servers tuanze upya.
Sisi tuko huku! Kila MTU ale kwa urefu wa kamba yakeWalio karibu mnaweza kutu habarisha zaidi.
Umewaza mbaliDocuments zote ziungue na servers tuanze upya.
Inasemwa Kuna uvumi toka last week so lazima Kuna kitu hakikua sawa.Server ipo mawingini, hakuna kuanza upya. Tutaendelea tulipoishia
Sawa mkuu...Moto ni mkubwa sana ghorofa za juu
Jengo la TRA Mnazi Mmoja barabara ya Kipata na Lumumba linateketea kwa moto muda huu