Jengo la Usalama wa Taifa (FSB) latiwa kiberiti Urusi

Jengo la Usalama wa Taifa (FSB) latiwa kiberiti Urusi

Kuna wakalimani makanjanja kweli

Shoti ya umeme na tank la mafuta ndio sababu ila inatafsiriwa kinafiki zaidi
Je kwa faida ya nani
Tusiwe washabiki andazi tuongee facts hata kama zinauma au chomoa ikiuma zaidi
 
Huyu mnato alishaharibiwa..... Anajaza hisia zake tu kwenye mathread yake.... Ila msameheni, tunajua wanawake ndo watu wa hisia na hawa ndo vile tena LGBT msameheni tu
 
Dah, umeishiwa mdau! Ni gari gani dunia hii akilitaka putin atalikosa kwa akili yako?!!!! Halafu mwamba yupo kazini hapo (kufikisha Salaam za kibabe kuleee) na siyo kuuza sura! Masuala ya magari ya kuuzia sura ni ya kina Ronaldo na wanamitindo wengine.

Umelidhalilisha vibaya jukwaa leo, tafadhali liombe radhi.
Wewe mjinga kwelikweli nchi kama Russia inajiita superpower la kibisa inatakiwa kuwa na magari yake yanayo tengenezewa nchini mwake sio kundesha magari kutoka kwa mahasimu wake kweli nimeamini huyu mtume wenu mpya kaishiwa anafanya show za kitoto kuendesha magari kama vile ana act picha pambafu kabisa
 
Wewe mjinga kwelikweli nchi kama Russia inajiita superpower la kibisa inatakiwa kuwa na magari yake yanayo tengenezewa nchini mwake sio kundesha magari kutoka kwa mahasimu wake kweli nimeamini huyu mtume wenu mpya kaishiwa anafanya show za kitoto kuendesha magari kama vile ana act picha pambafu kabisa
Sio lazima tufanane kila mtu na njia zake...... Unatengeneza magari huku unaomba njia ifunguliwe uletewe ngano
 
Mwana nadhani kuna vitu huvijui na huvielewi na miongoni mwa vitu hivyo ni lugha ya Mkoloni Mwingereza. Hapo juu wamesesema jengo linalotumiwa na FSB. Unaweza kutumia jengo la kukodi mzee.

Pia mambo ya intelijensia yana ghiriba nyingi sana. Haya mambo yanahitaji akili kubwa ambayo wewe huna, ndio maana kucha kutwa unaandika hisia zako tu.
Kwann unamshambulia? Hujaona source hapo kwamba ni BBC ? Hata kama la kukodi ila SI linatumika na hao watu?
 
Ni dhihirisho tosha kuna yajayo ambayo yatapendeza siku za usoni, hauwezi kuiba ardhi ya nchi jirani na kuua wananchi wake halafu usikutwe na vituko nchini mwako...

======================

At least one person has been killed and two injured in a fire at a building used by Russia's Federal Security Service (FSB) in the southern city of Rostov-on-Don, Russian media say.

Dramatic footage on social media shows a large blaze, with smoke visible all over the city.

Rostov's regional governor said a short circuit appeared to have caused the fire, which ignited fuel tanks.
The street where the building is located has been cordoned off.

The blaze occurred at a building belonging to the FSB's regional border patrol section in a built-up area of the city.

The FSB is Russia's internal security service and is responsible for counter-intelligence, border security and counter-terrorism.

Rostov Governor Vassily Golubev said the fire had spread over 800 sq m, causing two walls to collapse.
In a statement, the FSB's public relations office said the blaze started at around 12:30 local time (09:30 GMT). It also confirmed there had been fatalities, but offered no further details.

Authorities managed put out the blaze by 16:00 local time (13:00 GMT), Russian media reported.

The city is the capital of the southern Rostov region bordering on the Donetsk and Luhansk regions of Ukraine, currently the scene of intense fighting in the war.

There have been a spate of arson attacks on government buildings in Russia, such as enlistment and conscription offices, since the February 2022 invasion of Ukraine.

Ukraine denied involvement in the fire.

Presidential aide Mykhaylo Podolyak said on Twitter that the incident was a "manifestation of panic" in Russia. "Ukraine doesn't interfere, but watches with pleasure," he said.

Source: BBC
Kwahiyo ni kama vile wameshambulia ofisi ya TISS huko Lindi au Mtwara na sio Moscow au St Petersburg.
 
Kwann unamshambulia? Hujaona source hapo kwamba ni BBC ? Hata kama la kukodi ila SI linatumika na hao watu?
Mashabiki wa Putin utahira ni sifa kwao. Wanasema jengo ni la kukodi, sasa kama ni la kukodi, si lina umiliki wao wa kila kitu.

Mfano Voda wakikodi jengo la likapata hitirafu, anayefahamika ni voda au mwenye jengo.

Ajali za moto zimekuwa nyingi Russia toka vita ianze. Naona ni kama vile anaandaliwa kisaikolojia huko mbeleni.
 
Ni dhihirisho tosha kuna yajayo ambayo yatapendeza siku za usoni, hauwezi kuiba ardhi ya nchi jirani na kuua wananchi wake halafu usikutwe na vituko nchini mwako...

======================

At least one person has been killed and two injured in a fire at a building used by Russia's Federal Security Service (FSB) in the southern city of Rostov-on-Don, Russian media say.

Dramatic footage on social media shows a large blaze, with smoke visible all over the city.

Rostov's regional governor said a short circuit appeared to have caused the fire, which ignited fuel tanks.
The street where the building is located has been cordoned off.

The blaze occurred at a building belonging to the FSB's regional border patrol section in a built-up area of the city.

The FSB is Russia's internal security service and is responsible for counter-intelligence, border security and counter-terrorism.

Rostov Governor Vassily Golubev said the fire had spread over 800 sq m, causing two walls to collapse.
In a statement, the FSB's public relations office said the blaze started at around 12:30 local time (09:30 GMT). It also confirmed there had been fatalities, but offered no further details.

Authorities managed put out the blaze by 16:00 local time (13:00 GMT), Russian media reported.

The city is the capital of the southern Rostov region bordering on the Donetsk and Luhansk regions of Ukraine, currently the scene of intense fighting in the war.

There have been a spate of arson attacks on government buildings in Russia, such as enlistment and conscription offices, since the February 2022 invasion of Ukraine.

Ukraine denied involvement in the fire.

Presidential aide Mykhaylo Podolyak said on Twitter that the incident was a "manifestation of panic" in Russia. "Ukraine doesn't interfere, but watches with pleasure," he said.

Source: BBC
Huu ni uongo bwana.
 
Mashabiki wa Putin utahira ni sifa kwao. Wanasema jengo ni la kukodi, sasa kama ni la kukodi, si lina umiliki wao wa kila kitu.

Mfano Voda wakikodi jengo la likapata hitirafu, anayefahamika ni voda au mwenye jengo.

Ajali za moto zimekuwa nyingi Russia toka vita ianze. Naona ni kama vile anaandaliwa kisaikolojia huko mbeleni.
Atakayethubutu kuleta chokochoko ndani ya Russia lazima akione cha mtema kuni.
 
Kwahiyo ni kama vile wameshambulia ofisi ya TISS huko Lindi au Mtwara na sio Moscow au St Petersburg.

"Ofisi ya TISS"....aibu sana kwa kweli kwa huyo supapawa...
 
Wewe mjinga kwelikweli nchi kama Russia inajiita superpower la kibisa inatakiwa kuwa na magari yake yanayo tengenezewa nchini mwake sio kundesha magari kutoka kwa mahasimu wake kweli nimeamini huyu mtume wenu mpya kaishiwa anafanya show za kitoto kuendesha magari kama vile ana act picha pambafu kabisa
Kumbe naongea na kapumbavu fulani kanakoumwa ugonjwa fulani unaoitwa 'kinyeredi'.
 
Sio lazima tufanane kila mtu na njia zake...... Unatengeneza magari huku unaomba njia ifunguliwe uletewe ngano
Nimemdharau kabisa huyo, ndo maana wengine wanamaliza kelele kwa kuwaita wavaa diapers tu maana hakuna namna....
 
Back
Top Bottom