Jengo la Usalama wa Taifa (FSB) latiwa kiberiti Urusi

Jengo la Usalama wa Taifa (FSB) latiwa kiberiti Urusi

Liwe la kukodi au kununua wala nini...ndio limeshatiwa kiberiti hivyooo....takbir
Wewe jamaa una shida kubwa Sana kichwani lkn pia huenda Ni popoma namba moja haja jf..Utakufa na chuki zako kifuani shauri yako
 
kwahyi ofisi ya TISS ya LIND hana umuhimu kisa ipo LINDI? ndio maana hadi leso ni made in China
Sasa mtz atengeneze leso kwa akili zipo alizonazo ?

Akili za kijana wa kitanzania ni kushabikia vita vya ukraine na russia, period.
 
viliwai tokea hapo awali ? kwann Urus tu sio Iran au India TUMIEN AKILI ZENU VZR , SHOTI MARA KIBERITI , MTATUNGA SABABU MPK LN
Siwezi kubishana
Mimi sio mpelelezi wao ila tunasoma wote Habari unless wewe una ya uvunguni kabisa
 
Wewe jamaa una shida kubwa Sana kichwani lkn pia huenda Ni popoma namba moja haja jf..Utakufa na chuki zako kifuani shauri yako

Hehehe hapo umesalia muda wowote utalipukia watu bomu.
 
nan kafa kwa njaaa ? unalima halaf serikai yako inaleta kibur haiuz mazao yenu nje , unahisi anaumia nan ? ww mkulima ? serikali yako ? au unaemuuzia ? TATIZO WENGI WENU HUWA HAMTUMII AKILI MNAANGALIA MAMBO NJE NJE TU , WAKULIMA WA KIRUSI WANAUMIA MTU KAWEKEZA SHAMBAN HALAF ANAKUJA KUUZA KWA BEI YA HASARA KWA MCHINA NA MUHINDI , WKT TARGET YAKE ILIKUWA KUUZA ULAYA , SERIKAI HANA MAZAO BALI INATEGEMEA WAKULIMA ELEWA , WAAFRIKA WENGI MATOMASO MPK TATIZO LIKUKUTE DO UTAELEWA , KUMBUKA CHOROKO ZILIVYO WALIZA WATU BAADA YA INDIA KUKATAA KUNUNUA SASA HV MCHINA ANANUNUA MPK TSH 600 kwa KILO kutoka TSH 1200-TSH 2400 , nan anaumia hapa ?
Nani kafa kwa kukosa brand ya gari.... Tena inasaidia unakata kitambi
 
Rostov's regional governor said a short circuit appeared to have caused the fire, which ignited fuel tanks.
Mpuuzi sana huyu anapenda penda sana kukuza mambo na ku-gross misinterpret matukio kwa kuongeza maneno ya kwake yasiyo na mantiki.

In short ana kiu sana ya kutaka kuizuga Dunia kwamba Russia hivi sasa haitawaliki tena na Putin aidha atapinduliwa au kuuwawa anajisemea chochote kinacho pita kwenye kichwa chake.

Mtu anayechukulia kitu ambacho ni common place kama short circuit kwake anaichukulia ni bom - ndio alivyo. Ukimuhoji mbona huko Merikani matukio ya kulipuka moto kwenye majengo na infrastructure nyingine na jambo la kawaida tu - why pick on Russia?

Kwa mfano: Huko USA mwishoni mwa mwaka jana kuna kawaida cha Petrol Chemical kiliungua na mapema mwaka huu train ili-derail mabehewa mengi kuungua na mengine kuvuja/leak gesi ya sumu - mbona hayo MK254 hayo hakuyasema!! Vigumu sana kumuelewa binadamu huyu.
 
Back
Top Bottom