Jengo la Usalama wa Taifa (FSB) latiwa kiberiti Urusi

Kuna wakalimani makanjanja kweli

Shoti ya umeme na tank la mafuta ndio sababu ila inatafsiriwa kinafiki zaidi
Je kwa faida ya nani
Tusiwe washabiki andazi tuongee facts hata kama zinauma au chomoa ikiuma zaidi
 
Huyu mnato alishaharibiwa..... Anajaza hisia zake tu kwenye mathread yake.... Ila msameheni, tunajua wanawake ndo watu wa hisia na hawa ndo vile tena LGBT msameheni tu
 
Wewe mjinga kwelikweli nchi kama Russia inajiita superpower la kibisa inatakiwa kuwa na magari yake yanayo tengenezewa nchini mwake sio kundesha magari kutoka kwa mahasimu wake kweli nimeamini huyu mtume wenu mpya kaishiwa anafanya show za kitoto kuendesha magari kama vile ana act picha pambafu kabisa
 
Sio lazima tufanane kila mtu na njia zake...... Unatengeneza magari huku unaomba njia ifunguliwe uletewe ngano
 
Kwann unamshambulia? Hujaona source hapo kwamba ni BBC ? Hata kama la kukodi ila SI linatumika na hao watu?
 
Kwahiyo ni kama vile wameshambulia ofisi ya TISS huko Lindi au Mtwara na sio Moscow au St Petersburg.
 
Kwann unamshambulia? Hujaona source hapo kwamba ni BBC ? Hata kama la kukodi ila SI linatumika na hao watu?
Mashabiki wa Putin utahira ni sifa kwao. Wanasema jengo ni la kukodi, sasa kama ni la kukodi, si lina umiliki wao wa kila kitu.

Mfano Voda wakikodi jengo la likapata hitirafu, anayefahamika ni voda au mwenye jengo.

Ajali za moto zimekuwa nyingi Russia toka vita ianze. Naona ni kama vile anaandaliwa kisaikolojia huko mbeleni.
 
Huu ni uongo bwana.
 
Atakayethubutu kuleta chokochoko ndani ya Russia lazima akione cha mtema kuni.
 
Kwahiyo ni kama vile wameshambulia ofisi ya TISS huko Lindi au Mtwara na sio Moscow au St Petersburg.

"Ofisi ya TISS"....aibu sana kwa kweli kwa huyo supapawa...
 
Kumbe naongea na kapumbavu fulani kanakoumwa ugonjwa fulani unaoitwa 'kinyeredi'.
 
Sio lazima tufanane kila mtu na njia zake...... Unatengeneza magari huku unaomba njia ifunguliwe uletewe ngano
Nimemdharau kabisa huyo, ndo maana wengine wanamaliza kelele kwa kuwaita wavaa diapers tu maana hakuna namna....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…