Jengo la Usalama wa Taifa Urusi lapigwa bomu na drone ya Ukraine

Jengo la Usalama wa Taifa Urusi lapigwa bomu na drone ya Ukraine

Aiteketeze Ukraine kwa kutumia nini kingine maana hamna ambacho hajatumia kasoro manyuklia, na yenyewe akithubutu Urusi itafutwa kwenye uso wa dunia.
Usiombe Urusi kutumia nyuklia bro, nakuhakikishia hakuna mbuzi yyte atakae pata ujasiri wa kurusha Nyuklia Urusi, sema kelele za kuionea huruma Ukrein zitakuwa nyingi, lakini nakuhakikishia hakuna na wala hakuna atakaepata ujasiri wa kuipiga Urusi Nyuklia eti kisa ni kuisaidia Ukrein, wazungu bado hawajakuwa tayari kufa.
 
Dah! Sasa ikiwa usalama wa taifa (FSB) hawapo salama nani mwingine yuko salama....kama mashairi vile

====

A Ukrainian drone hit an FSB building in the city centre of Kursk, Russia, on the morning of 24 September, a source from Ukraine’s Defence Intelligence claims.

Source: source of Ukrainska Pravda in the Main Directorate of Intelligence of Ukraine

Details: According to the source of Ukrainska Pravda, the operation was carried out by Ukrainian military intelligence.

There is currently no clear information on the scale of destruction or casualties.

The governor of Kursk Oblast of the Russian Federation, Roman Starovoit, claims that "the roof was slightly damaged" as a result of this attack.

Background: Earlier it was reported that an unidentified drone attacked the city centre of Kursk in Russia on 24 September, its official city day, targeting an office building.

The source of Ukrainska Pravda, in turn, noted that it was a direct hit to the building.

Pravda
Haya ma drone ambayo Huwa hayaui watu ni upumbavu wakati Russia Kila ikipiga bomu lazima makumi ya watu wafe.Bora tuu wakaacha mama Haina maana zaidi ya kuchochea hasira za kina Putin.
 
Kwani hizo drone haziwezi kubeba mabomu mazito ili bomu likishuka liteketeze jengo zima?
Zipo drone kubwa zenye kubeba mabomu makubwa ila nchi chache zinamiliki
 
Usiombe Urusi kutumia nyuklia bro, nakuhakikishia hakuna mbuzi yyte atakae pata ujasiri wa kurusha Nyuklia Urusi, sema kelele za kuionea huruma Ukrein zitakuwa nyingi, lakini nakuhakikishia hakuna na wala hakuna atakaepata ujasiri wa kuipiga Urusi Nyuklia eti kisa ni kuisaidia Ukrein, wazungu bado hawajakuwa tayari kufa.

Urusi haina jeuri ya kutumia nyuklia, itakua almagedon yake na kufutika kwenye ulimwengu huu, hata Putin mwenyewe kwanza hana uwezo wa hiyo amri, lazima iridhiwe na wakuu jeshini ambao wenyewe wanapenda maisha hawataki kufa na familia zao, watampiga mara moja akithubutu kuamrisha kitu kama hicho.

Kwa sasa Urusi imetafuta pakutokea kwenye huu ugomvi imeshindwa, ni aibu kila siku....
 
Haya ma drone ambayo Huwa hayaui watu ni upumbavu wakati Russia Kila ikipiga bomu lazima makumi ya watu wafe.Bora tuu wakaacha mama Haina maana zaidi ya kuchochea hasira za kina Putin.

Urusi hupiga bembea za watoto na uraiani, sema siku hizi wamedhibitiwa, kila wanachotuma kinashushwa, wameshindwa kupigana kijeshi na kuhamia kulenga raia.
 
Sasa hivi Ukraine wanajipigia popote Russia wanapopakusudia🤔
....
Asante kwa kumaliza utata. Kwa sababu Umeweka link ya taarifa yenye maelezo ya kutosha kama nilivyoyanukuu hapa chini
===

There is currently no clear information on the scale of destruction or casualties.

The governor of Kursk Oblast of the Russian Federation, Roman Starovoit, claims that "the roof was slightly damaged" as a result of this attack.
 
Urusi hiyo vita ilishamshinda. Kwani wakati anavamia hakujua kama marekani na nato kuwa wataingilia? Halafu kumbuka putini alitoa vitisho eti atakaeingilia vita yake na ukraine atampiga. Sasa mpaka leo kunanchi nyingi ziko live kuisaidia ukraine live live, lakini hatujaona putini akiwapiga hata kidogo. Putini akubali tu alikurupuka.
Ulielewa alichokisema? Au unadhani vita ni kurushiana ngumi mtaani? Akili zako wewe,basi tu
 
Usiombe Urusi kutumia nyuklia bro, nakuhakikishia hakuna mbuzi yyte atakae pata ujasiri wa kurusha Nyuklia Urusi, sema kelele za kuionea huruma Ukrein zitakuwa nyingi, lakini nakuhakikishia hakuna na wala hakuna atakaepata ujasiri wa kuipiga Urusi Nyuklia eti kisa ni kuisaidia Ukrein, wazungu bado hawajakuwa tayari kufa.
Kwahiyo Urusi anaionea huruma Ukraine huku akipoteza maelfu ya askari wake?
 
Acha kujidanganya. Ukraine kwa sasa ni kama mfa maji. Anachokifanya sasahivi ni kutapatapa tu kuwapa hope nyinyi wafia westerners

Unajua kwanini mrus hakurupuki kuiteketeza Ukraine? Mwamba putin ana akili kubwa sana na hayo mnayoyaona Urusi walishajua yatatokea na wanajua jinsi ya kuyamaliza. Vuteni subra muda utatoa majibu
Ebu tuwe tunaweka ushabiki pemben kigodo. Hii SO ilitakiwa ichukue 72 hrs. Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya Russia. Ameishamaliza mchezo. Lakin mpaka Sasa huu ni mwaka wa pili.

Kwa hiyo Putin anapenda kurefusha vita Ili aendelee kutumia pesa ndefu?

Hii Kwa ufupi Putin hakutegemea Hali ingekua hivi
 
Acha kujidanganya. Ukraine kwa sasa ni kama mfa maji. Anachokifanya sasahivi ni kutapatapa tu kuwapa hope nyinyi wafia westerners

Unajua kwanini mrus hakurupuki kuiteketeza Ukraine? Mwamba putin ana akili kubwa sana na hayo mnayoyaona Urusi walishajua yatatokea na wanajua jinsi ya kuyamaliza. Vuteni subra muda utatoa majibu
Sawa mrusi mweusi
 
Fuatilia kinachofanywa na Russia upande wa pili nchini Ukraine!
 
Vidrone vya kukwangua mabati ya ofisi za wataalam usiwe unatuletea habari zake
 
Ebu tuwe tunaweka ushabiki pemben kigodo. Hii SO ilitakiwa ichukue 72 hrs. Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya Russia. Ameishamaliza mchezo. Lakin mpaka Sasa huu ni mwaka wa pili.

Kwa hiyo Putin anapenda kurefusha vita Ili aendelee kutumia pesa ndefu?

Hii Kwa ufupi Putin hakutegemea Hali ingekua hivi
Majeshi ya Russia yataitapika Ukraine. Suala la muda tu mkuu, tuendelee kuomba uzima tuone tamati yake.
 
Ukraine ana nguvu gani za kuipiga urusi bila msaada wa nchi za NATO? Urusi amalize mchezo, ashushe vitu vizito ukraine na kwa hao wanaoisaidia ukraine ili vita iishe. Kama mbwa na iwe mbwa marekani ionjeshwe shubiri kwa kuisaidia ukraine. Pyongyang hima msaidieni jamaa yenu mrusi mpeni msaada ainyuke marekani
 
Dah! Sasa ikiwa usalama wa taifa (FSB) hawapo salama nani mwingine yuko salama....kama mashairi vile

====

A Ukrainian drone hit an FSB building in the city centre of Kursk, Russia, on the morning of 24 September, a source from Ukraine’s Defence Intelligence claims.

Source: source of Ukrainska Pravda in the Main Directorate of Intelligence of Ukraine

Details: According to the source of Ukrainska Pravda, the operation was carried out by Ukrainian military intelligence.

There is currently no clear information on the scale of destruction or casualties.

The governor of Kursk Oblast of the Russian Federation, Roman Starovoit, claims that "the roof was slightly damaged" as a result of this attack.

Background: Earlier it was reported that an unidentified drone attacked the city centre of Kursk in Russia on 24 September, its official city day, targeting an office building.

The source of Ukrainska Pravda, in turn, noted that it was a direct hit to the building.

Pravda
Ni funzo kwetu, tuwe makini na jirani zetu hasa wembamba warefu
 
Back
Top Bottom