Jengo la Usalama wa Taifa Urusi lapigwa bomu na drone ya Ukraine

Anarefusha ili muipatepate fresh. Sasahivi uchumi wa ulaya unapumulia gasi. Marekani ndio balaa. Mwamba Putin ameshatoa amri kwa Saudia kupunguza uzalishaji wa mafuta😂😂😂 na ngano kutoka Ukraine ameipoga koki🤣🤣🤣. Naombea mwamba Putini hii operation aipeleka mdogomdogo mapaka maji muite mma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…