Jengo laporomoka na kuua watu watatu

Jengo laporomoka na kuua watu watatu

GERALD710
Wewe umekuwa ukibishana na mimi jana tu kuhusu mighorofa yenu mibovu. Ulikuwa unasema ile mijengo mibovu ni ya 2015. Nilikuuliza kwa hiyo ile mijengo mliipeleka wapi? Hukujibu, ukaingia mtini. Mbaya zaidi jengo lililoanguka leo, limejengwa hivi karibuni, hata mwezi haujaisha tangu lianze kutumika. Limeua watatu wasio na hatia. Sijui building inspectors wanalipwa mishahara ya kazi gani!!!?
Wasema nini????
Fist of all, some of us have lives, so we do not spend all day on a forum.
Lakini ebu nikupe majibu.
Haya mijengo ilipelekwa wapi. Ilibomolewa, na shamba kuuzwa na ghorofa la maana kujengwa. Untosheka???
Last I checked, no part of Western Nairobi or the Central Business District has ever had shoddy buildings. That is an issue of towns in the outskirts of the city and the slums in the East.
I am waiting to see which commercial building or middle or upper class building in the city (Emphasis on Nairobi, msianze kulet links za Ruaka, Kinoo, Wangige etc, that is Kiambu, Si Nairobi) that has ever collapesd.
Again, this was an instance of a CRANE collapsing
 
Back
Top Bottom