Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🚮 🚮But if you look at the practical side of it, the deliverable of Tanzania's engineers is brilliant. Need say more!!?
Naona leo umemuamulia kila anapoenda unamgonga tu na kitu kizito. [emoji23][emoji23][emoji23]But if you look at the practical side of it, the deliverable of Tanzania's engineers is brilliant. Need say more!!?
Kama ilivyo kawaida, kwa mara nyingine tena jengo lamoromoka kenya na kuua watatu. Majirani, mtaacha mpaka wafe wangapi ndiyo mdhibiti majanga haya?
Wanasema hilo jengo ni jipya kabisa. Tangu liishe halina hata mwezi mmoja. Swali langu, kwa mara nyingine, hali hii itasubiriwa mpaka iue wangapi ndiyo idhibitiwe?
Chanzo: ITV habari saa 2 usiku tarehe 31/08/2021
Hawa wakunya wa jf huwa hawafahamu kinachoendelea nchini kwao wako busy na propaganda za kijinga [emoji23][emoji23][emoji23]Ni kumtolea uvivu tu. Ila
Bro ila hizi za uso, hatakuja kuzisahau.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna aise, these have become common accidents like accidents za barabarani.Hakuna Ma Injinia Fake Duniani kama Kenya
Mzee, lijamaa lipo idle kinoma, nikalikuta kule nairaland anabishana na watu, nikahisi huenda ni ujira wake kudiscredit bongoland, labda analipwa na icho kitengo kipo kwa nchi yao, ila tofauti na ivyo, huyu ni hopeless individual, afu ni jitu zima kabisa.Wanaija wanamnyoosha kule nairaland bila kumsahau mbongo kazikazi...halafu akilogin humu ananyooshwa pia na wabongo [emoji23][emoji23][emoji23]
Daadeq, [emoji23][emoji1787]Kama tu majengo yenyewe ndo haya...unategemea nini [emoji23][emoji23][emoji23]
Umemaliza, Hawa ni English tu, mostly broken, with tribal dialect, though, business wako poa, Kanda ya kaskazini Nairobi inatusave sanaPia hiki ni kiashiria kwamba Elimu ya majirani zetu kwa ujumla wake ni HOVYO KABISA!
Kiingereza tu na ujanja ujanja mwingi.
Unakuta sehemu Tanzania haihusiki lakini lazima tu aingize Tanzania akiwa anabishana na Wanaija [emoji23][emoji23][emoji23]Mzee, lijamaa lipo idle kinoma, nikalikuta kule nairaland anabishana na watu, nikahisi huenda ni ujira wake kudiscredit bongoland, labda analipwa na icho kitengo kipo kwa nchi yao, ila tofauti na ivyo, huyu ni hopeless individual, afu ni jitu zima kabisa.
Unakuta sehemu Tanzania haihusiki lakini lazima tu aingize Tanzania akiwa anabishana na Wanaija [emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi wenyewe huu hapa [emoji23][emoji23][emoji23]Ebwana, pengine anatafuta usaidizi kutoka Tanzania.
Embu dondosha hapa huo wavuti nasi tuupitie kidogo.
[emoji38] 😛[emoji4]