Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna shule moja iliwahi kuanguka Nairobi halafu wakaandika humu eti ni natural calamities!Halafu watu wakifunikwa na vifusi vya majengo hayo, wanakimbilia kudanganyana kwamba ni mapenzi ya Mungu, badala ya kusema ni mapenzi ya rushwa.
[emoji1787] [emoji23] [emoji38]
Failed state.
Halafu wavuta gundi wanakuambia ni fake news!
Failed state.
Halafu wavuta gundi wanakuambia ni fake news!
Tanzania majengo ya Uswazi ni ya chini, Nairobi majengo ya uswazi (huku tunaita ghetto) ni ghorofa. Ghetto lazima utapata jengo moja mbili uchwara ambalo halikuzingatia kanuni za ujenzi. Ila nashangaa huko kwenu ambako ghorofa n chache na haziko uswazi bado mna miporomoko. Just because hatufuatilii habari zenu kama mnavyofuatilia yetu haimaanishi hatujui.Kama hii building ambayo iko under construction ndiyo inabomoka, basi ujue ile study ambayo ilifanywa na National Construction Authority (NCA) mwaka 2015 na kubaini ya kuwa 58% ya Nairobi building are not fit for human habitation, inabidi iwe reviewed. Kwa nini nasema hivyo. Nasema kwa sababu inamaana majengo mabovu yanaendelea kuongezeka kwa kasi kubwa tu. Ndani ya miaka miwili hii, hili siyo jengo la kwanza kuanguka likiwa bado kwenye hatua za ujenzi. Nina wasiwasi asilimia ya majengo mabovu ikapanda mpaka 65%.
Tanzania majengo ya Uswazi ni ya chini, Nairobi majengo ya uswazi (huku tunaita ghetto) ni ghorofa. Ghetto lazima utapata jengo moja mbili uchwara ambalo halikuzingatia kanuni za ujenzi. Ila nashangaa huko kwenu ambako ghorofa n chache na haziko uswazi bado mna miporomoko. Just because hatufuatilii habari zenu kama mnavyofuatilia yetu haimaanishi hatujui.
Halafu Kenya hutapata jengo limeanguka CBD ama mahali palipopangika. Hata skyscraper iliyopigwa bomu mwaka wa 1998 haikuanguka, bado ipo and it's one of the most beautiful buildings in the region.
Failed state.
Halafu wavuta gundi wanakuambia ni fake news!
Tanzania kawaida huwa hamna takwimu za vitu kama hizi. Mpate wap? Nchi za kidikteta kama North Korea zinajulikana kwa kuficha au kutokua na takwimu kila wakati. Alafu hizo takwimu yafaa ziwe against the percentage of storied buildings ambapo hapo Dar 90% of the buildings sio storied. Halafu nimekuuliza, nionyeshe wakati jengo liliporomoka Nairobi CBD. Mimi nimekuonyesha Dar CBD.The feel good stories. 🤣 😂 😆 naona umepaniki.
Njoo tuweke takwimu za miaka mitatu iliyopita tuone nani zaidi katika majengo mabovu.
Wala hakukuwa na tetemeko.Duu kweli wakenya wanaenda shule kusomea ujinga. Kwani hilo anguko lilisababishwa na tetemeko la ardhi!!!?
Tanzania kawaida huwa hamna takwimu za vitu kama hizi. Mpate wap? Nchi za kidikteta kama North Korea zinajulikana kwa kuficha au kutokua na takwimu kila wakati. Alafu hizo takwimu yafaa ziwe against the percentage of storied buildings ambapo hapo Dar 90% of the buildings sio storied. Halafu nimekuuliza, nionyeshe wakati jengo liliporomoka Nairobi CBD. Mimi nimekuonyesha Dar CBD.
Ahahaaaaa Jengo lianguke TZ hata BBC Swahili wasi report halafu KE waireport habari.Tanzania kawaida huwa hamna takwimu za vitu kama hizi. Mpate wap? Nchi za kidikteta kama North Korea zinajulikana kwa kuficha au kutokua na takwimu kila wakati. Alafu hizo takwimu yafaa ziwe against the percentage of storied buildings ambapo hapo Dar 90% of the buildings sio storied. Halafu nimekuuliza, nionyeshe wakati jengo liliporomoka Nairobi CBD. Mimi nimekuonyesha Dar CBD.
Does Tanzania have NCA? Let's start from there.Inaonekana una dispute ile report ya NCA ambayo inasema majengo mabovu nairobi ni 58%.
Kama ni hivyo, bora nikuache. Kama experts report unaikataa, mimi ni nani mpaka unieleweee??
Does Tanzania have NCA? Let's start from there.
www.ncc.go.tz
Now show us your data. If you don't have it then it's a bogus institution.Home | National Construction Council - NCC
Tanzania National Construction Council - NCCwww.ncc.go.tz
Kama tu majengo yenyewe ndo haya...unategemea nini [emoji23][emoji23][emoji23]
Now show us your data. If you don't have it then it's a bogus institution.
Hii itakuwa ni climate change! 😅 😅 ☝️