Jengo laporomoka na kuua watu watatu

Jengo laporomoka na kuua watu watatu

Na kwenye ringi za kwenye nguzo wanafunga kamba za katani.

Mbona huku bongo unakuta fundi hajasoma kokote lakini anakutolea kitu quality...hawa wakunya wanakwama wapi?

Nimejenga kighorofa changu bongo. Aliyejenga hata physics hajui ni nini!! Lkn kitu kimenoga balaa.
 
Kama ilivyo kawaida, kwa mara nyingine tena jengo lamoromoka kenya na kuua watatu. Majirani, mtaacha mpaka wafe wangapi ndiyo mdhibiti majanga haya? Wanasema hilo jengo ni jipya kabisa. Tangu liishe halina hata mwezi mmoja. Swali langu, kwa mara nyingine, hali hii itasubiriwa mpaka iue wangapi ndiyo idhibitiwe?

Source: ITV habari saa 2 usiku tarehe 31/08/2021
Wacha kupost habari za uongo wewe kilaza. Yani wabongo kwa kufungua tu mathread Na kupost uharo mlio nao vichwani hamjambo.
 
Failed state.

Halafu wavuta gundi wanakuambia ni fake news!





Akija tena huyu muuaji NairobiWalker "brick n mortar engineer" ambaye anaandaa BoQ zilizo chini ya kiwango unistue.
🤣 😂 😆 niliweka second hand source ili wajichanganye kama huyu fundi mchundo NairobiWalker. 😆🤣😂Umempa za uso bila huruma, saa hii anaugulia huko aliko.
 
game over Kuna picha ulishawahi kuzipost humu jf zikionesha ujenzi wa ghorofa Mombasa...una weza kuzipost tena?

Kama hii building ambayo iko under construction ndiyo inabomoka, basi ujue ile study ambayo ilifanywa na National Construction Authority (NCA) mwaka 2015 na kubaini ya kuwa 58% ya Nairobi building are not fit for human habitation, inabidi iwe reviewed. Kwa nini nasema hivyo. Nasema kwa sababu inamaana majengo mabovu yanaendelea kuongezeka kwa kasi kubwa tu. Ndani ya miaka miwili hii, hili siyo jengo la kwanza kuanguka likiwa bado kwenye hatua za ujenzi. Nina wasiwasi asilimia ya majengo mabovu ikapanda mpaka 65%.
 
Akija tena huyu muuaji NairobiWalker "brick n mortor" ambaye anaandaa BoQ zilizo chini ya kiwango unistue.
[emoji1787] [emoji23] [emoji38] niliweka second hand source ili wajichanganye kama huyu fundi mchundo NairobiWalker. [emoji38][emoji1787][emoji23]Umempa za uso bila huruma, saa hii anaugulia huko aliko.
Wanaija wanamnyoosha kule nairaland bila kumsahau mbongo kazikazi...halafu akilogin humu ananyooshwa pia na wabongo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama hii building ambayo iko under construction ndiyo inabomoka, basi ujue ile study ambayo ilifanywa na National Construction Authority (NCA) mwaka 2015 na kubaini ya kuwa 58% ya Nairobi building are not fit for human habitation, inabidi iwe reviewed. Kwa nini nasema hivyo. Nasema kwa sababu inamaana majengo mabovu yanaendelea kuongezeka kwa kasi kubwa tu. Ndani ya miaka miwili hii, hili siyo jengo la kwanza kuanguka likiwa bado kwenye hatua za ujenzi. Nina wasiwasi asilimia ya majengo mabovu ikapanda mpaka 65%.
Kama tu majengo yenyewe ndo haya...unategemea nini [emoji23][emoji23][emoji23]

 
Back
Top Bottom