The Bourne
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,077
- 1,321
Kufaa kuliwaKwahiyo sindiria ni ishara ya kufaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufaa kuliwaKwahiyo sindiria ni ishara ya kufaa?
Nimekuwa nafatilia sana filamu za Kanumba, Jinsi binti (Hanipha Daud) almaarufu Jenipha Kanumba alivyoonesha uwezo wake ndio jinsi taswira yake inavyoweza kuja kuonekana katika maisha ya kifamilia. Malezi aliyoyaonesha Kanumba yanaweza kumugeuza hapo baadae kuwa Mke Mwema kwa atakayempata.
Deogratius Nalimi Kisandu
24 Desemba 2017.View attachment 658102
Ushalaza? Pole kuna reasonable timeMaziwa yanatakiwa yasimame kwa muda gani??
Usikue Madevu tu, kuwa na akili!Ni Mimi mkuu, nimekua.
Yako yalisimama kwa muda gani?!Maziwa yanatakiwa yasimame kwa muda gani??
Ni Masqo siyo Mosqo wewe, ngoma yake inaitwa Nimepata DemuMosqo jaribu bahati yako
Yule ndiyo aliye moyoni mwake.Inabidi uanze kumfatikia achana na ndoto za yule mtoto wa Obama kwa sasa.. 😀