Jenista Karibu Afya:; Fanya Haya Kwa NHIF

Jenista Karibu Afya:; Fanya Haya Kwa NHIF

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
Ninaamini una uwezo na msikivu. Mtego wako mkubwa katika sekta ya afya uko kwenye kusimamia MTBA (NHIF). Fanya haya utakuja nishukuru baadaye:-

1. Tehama haijawekwa vizuri - ili ku-control madai, collusion kati ya watoa huduma na NHIF staff; madai yalitakiwa yawe processed 80% electronically na 20% manually.

2. Timu ya wataalam wa TEHAMA wa humu nchini wakusanywe, wapewe exposure hasa South Korea na watengeneze system ya kudhibiti fraud.

3. Siasa iwe mbali na Mfuko; usiwe wa kuwafurahisha wanasiasa (Ministers);

4. Actuarial Dept iimarishwe na actuarial valuation ifanyike kila mwaka na kutoa mwongozo

5. Katika Social Health Insurance kuwa na package tofauti kama Wabunge, BOT, TRA, NMB n.k ni KOSA KUBWA. Makundi hayo yana mishahara mikubwa hivyo walitakiwa wachangie fedha nyingi zaidi na hivyo kuwepo kwa Social Solidarity. Mtu apate huduma bila kujali alichochangia.

6. Serikali itafute maoni ya wenye uzoefu wa SOCIAL Health Insurance na Actuaries watoe maoni yao ya kisayansi sio ya kumfurahisha mtu yeyote.

7. Board inatakiwa iwe na wataalam wa masuala haya na iwatumie kwa hali hii ilikofikia NHIF. SIYO kuishia kufanya ziara mikoani kuelezea , Vifurushi vya NHIF. Michango inatakiwa izidi malipo ya madai ya watoa huduma,

Soma Pia: Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya


8. Mfuko ujenge reserve kila mwaka; admin expenses za NHIF ziangaliwe upya;

9. Kazi zote zinazoweza kufanywa na TEHAMA zisitishwe

9. Ajira zinazoweza kufanywa na TEHAMA

10. Mwisho siyo kwa umuhimu; Rudisha Toto Afya Kadi
 
Ninaamini una uwezo na msikivu. Mtego wako mkubwa katika sekta ya afya uko kwenye kusimamia MTBA (NHIF). Fanya haya utakuja nishukuru baadaye:-

1. Tehama haijawekwa vizuri - ili ku-control madai, collusion kati ya watoa huduma na NHIF staff; madai yalitakiwa yawe processed 80% electronically na 20% manually.

2. Timu ya wataalam wa TEHAMA wa humu nchini wakusanywe, wapewe exposure hasa South Korea na watengeneze system ya kudhibiti fraud.

3. Siasa iwe mbali na Mfuko; usiwe wa kuwafurahisha wanasiasa (Ministers);

4. Actuarial Dept iimarishwe na actuarial valuation ifanyike kila mwaka na kutoa mwongozo

5. Katika Social Health Insurance kuwa na package tofauti kama Wabunge, BOT, TRA, NMB n.k ni KOSA KUBWA. Makundi hayo yana mishahara mikubwa hivyo walitakiwa wachangie fedha nyingi zaidi na hivyo kuwepo kwa Social Solidarity. Mtu apate huduma bila kujali alichochangia.

6. Serikali itafute maoni ya wenye uzoefu wa SOCIAL Health Insurance na Actuaries watoe maoni yao ya kisayansi sio ya kumfurahisha mtu yeyote.

7. Board inatakiwa iwe na wataalam wa masuala haya na iwatumie kwa hali hii ilikofikia NHIF. SIYO kuishia kufanya ziara mikoani kuelezea , Vifurushi vya NHIF. Michango inatakiwa izidi malipo ya madai ya watoa huduma,

8. Mfuko ujenge reserve kila mwaka; admin expenses za NHIF ziangaliwe upya;

9. Kazi zote zinazoweza kufanywa na TEHAMA zisitishwe

9. Ajira zinazoweza kufanywa na TEHAMA

10. Mwisho siyo kwa umuhimu; Rudisha Toto Afya Kadi
Ana nguvu kiasi gani? Kupindua uajira wa watu, wenye nguvu pale hawaonekani kwenye mkeka ndo waliopendekeza jina lake.
 
Ninaamini una uwezo na msikivu. Mtego wako mkubwa katika sekta ya afya uko kwenye kusimamia MTBA (NHIF). Fanya haya utakuja nishukuru baadaye:-

1. Tehama haijawekwa vizuri - ili ku-control madai, collusion kati ya watoa huduma na NHIF staff; madai yalitakiwa yawe processed 80% electronically na 20% manually.

2. Timu ya wataalam wa TEHAMA wa humu nchini wakusanywe, wapewe exposure hasa South Korea na watengeneze system ya kudhibiti fraud.

3. Siasa iwe mbali na Mfuko; usiwe wa kuwafurahisha wanasiasa (Ministers);

4. Actuarial Dept iimarishwe na actuarial valuation ifanyike kila mwaka na kutoa mwongozo

5. Katika Social Health Insurance kuwa na package tofauti kama Wabunge, BOT, TRA, NMB n.k ni KOSA KUBWA. Makundi hayo yana mishahara mikubwa hivyo walitakiwa wachangie fedha nyingi zaidi na hivyo kuwepo kwa Social Solidarity. Mtu apate huduma bila kujali alichochangia.

6. Serikali itafute maoni ya wenye uzoefu wa SOCIAL Health Insurance na Actuaries watoe maoni yao ya kisayansi sio ya kumfurahisha mtu yeyote.

7. Board inatakiwa iwe na wataalam wa masuala haya na iwatumie kwa hali hii ilikofikia NHIF. SIYO kuishia kufanya ziara mikoani kuelezea , Vifurushi vya NHIF. Michango inatakiwa izidi malipo ya madai ya watoa huduma,

Soma Pia: Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya

8. Mfuko ujenge reserve kila mwaka; admin expenses za NHIF ziangaliwe upya;

9. Kazi zote zinazoweza kufanywa na TEHAMA zisitishwe

9. Ajira zinazoweza kufanywa na TEHAMA

10. Mwisho siyo kwa umuhimu; Rudisha Toto Afya Kadi

Wizara ya Afya watumie ma Programmers walio Develop Mifumo kama NeST (TEHAMA - PPRA) au ERMS (eGA) katika ku develop mifumo ambayo ina standard kubwa na yenye ubora wa kimataifa.

Sijui GOTHOMIS ilifikiaga wapiiii.
 
Ninaamini una uwezo na msikivu. Mtego wako mkubwa katika sekta ya afya uko kwenye kusimamia MTBA (NHIF). Fanya haya utakuja nishukuru baadaye:-

1. Tehama haijawekwa vizuri - ili ku-control madai, collusion kati ya watoa huduma na NHIF staff; madai yalitakiwa yawe processed 80% electronically na 20% manually.

2. Timu ya wataalam wa TEHAMA wa humu nchini wakusanywe, wapewe exposure hasa South Korea na watengeneze system ya kudhibiti fraud.

3. Siasa iwe mbali na Mfuko; usiwe wa kuwafurahisha wanasiasa (Ministers);

4. Actuarial Dept iimarishwe na actuarial valuation ifanyike kila mwaka na kutoa mwongozo

5. Katika Social Health Insurance kuwa na package tofauti kama Wabunge, BOT, TRA, NMB n.k ni KOSA KUBWA. Makundi hayo yana mishahara mikubwa hivyo walitakiwa wachangie fedha nyingi zaidi na hivyo kuwepo kwa Social Solidarity. Mtu apate huduma bila kujali alichochangia.

6. Serikali itafute maoni ya wenye uzoefu wa SOCIAL Health Insurance na Actuaries watoe maoni yao ya kisayansi sio ya kumfurahisha mtu yeyote.

7. Board inatakiwa iwe na wataalam wa masuala haya na iwatumie kwa hali hii ilikofikia NHIF. SIYO kuishia kufanya ziara mikoani kuelezea , Vifurushi vya NHIF. Michango inatakiwa izidi malipo ya madai ya watoa huduma,

Soma Pia: Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya

8. Mfuko ujenge reserve kila mwaka; admin expenses za NHIF ziangaliwe upya;

9. Kazi zote zinazoweza kufanywa na TEHAMA zisitishwe

9. Ajira zinazoweza kufanywa na TEHAMA

10. Mwisho siyo kwa umuhimu; Rudisha Toto Afya Kadi
Tupe cv yake. Ana abc za afya?
 
Hakuna jipya!

Hiyo wizara ni bora ishikwe na mtaalam.

Ni wakati sasa mawaziri wasitokane na wabunge , hili litawezekana kwa katiba mpya tu.

Huyu Jenista ni kitambo sana nimemsikia anahamishwa wizara tu ila anaonekana uwezo wake ni mdogo na anapenya ofisi tofauti tofauti kwa kubebwa tu!

Hii ndio tunaita misplaced priority!
 
Ni rahisi sana kupiga pesa kupitia NHIF kikubwa uwe na capital ya kutosha, hospitali binafsi zinajitajirisha kweli kweli kupitia wagonjwa wa NHIF
Hujui kadhia zinazopata hospitali binafsi kwenye hii NHIF.
Ndio maana agha khan walikuwa wa kwanza kuomba kujitoa.
Miezi zaidi ya 6 NHIF (gavoo) haijapeleka pesa kwenye hospitali binafsi.
 
Kuna hii kitu nyingine inaitwa Universal Health Insurance Coverage (Bima ya Afya kwa Wote), ambayo Ummy kaipigia sana kelele. Nina mtazamo tofauti.

Ukweli ni kuwa bima ya afya ni muhimu, lakini huu ulazima utakuja kuleta shida kidogo sababu ya aina ya maisha waliyonayo watanzania.

Lengo mojawapo la Bima ya Afya kwa wote ni kunusuru mfuko uliopo usife. Na mara kadhaa wizara imekuwa ikisema sababu ya NHIF kuwa na hali mbaya ni watu kwenda hospital mara kwa mara.

Watanzania wengi hawana sana utaratibu wa kwenda hospital kwa kuwa hawana pesa, Leo ukilazimisha wawe na bima na wakawa nazo basi yatajirufia ya NHIF, mfuko utaelemewa tena na hapo mtakuja na masharti ambayo yataleta shida kwa hawa watu.

Shida kubwa ya mfuko si watu wengi wachangie, shida ni management. Tusipotibu tatizo la management hatutaweza fanikisha hata watanzania wote wakiamua kuchangia
 
Hakuna jipya!

Hiyo wizara ni bora ishikwe na mtaalam.

Ni wakati sasa mawaziri wasitokane na wabunge , hili litawezekana kwa katiba mpya tu.

Huyu Jenista ni kitambo sana nimemsikia anahamishwa wizara tu ila anaonekana uwezo wake ni mdogo na anapenya ofisi tofauti tofauti kwa kubebwa tu!

Hii ndio tunaita misplaced priority!
ni yupi sasa mwenye uwezo mkubwa. huoni wanatolewa na kurudishwa?!

kuna siku utamsikia Nape na ma-rope ni mawaziri tena. tena waziri kamili!
 
Mtendaji mkuu wa iyo wizara ni katibu mkuu na sio waziri hivo basi ingependekezwa serikali iteuwe katibu mkuu wa wizara iyo awe ni daktari mwenye ufahamu na maswala hayo ya afya ,!!!!!


Hakuna jipya!

Hiyo wizara ni bora ishikwe na mtaalam.

Ni wakati sasa mawaziri wasitokane na wabunge , hili litawezekana kwa katiba mpya tu.

Huyu Jenista ni kitambo sana nimemsikia anahamishwa wizara tu ila anaonekana uwezo wake ni mdogo na anapenya ofisi tofauti tofauti kwa kubebwa tu!

Hii ndio tunaita misplaced priority!
Serikali
 
Mtendaji mkuu wa iyo wizara ni katibu mkuu na sio waziri hivo basi ingependekezwa serikali iteuwe katibu mkuu wa wizara iyo awe ni daktari mwenye ufahamu na maswala hayo ya afya ,!!!!!



Serikali
Naelewa vizuri sana.

Katibu mkuu ni technocrat ila kwa muundo wa wizara ulivyokaa hana sauti .

Kwa mfumo wa wizara za Tanzania waziri ana nguvu kubwa kuliko katibu mkuu.

Umesahau mgogoro wa Kigwangala na katibu wake Prof Mkenda hadi jiwe akawapa siku 5 wapatane?


Kigwangalla alikuwa anadictate maamuzi mahali ambapo hatakiwi ndio kuja kusikia hadi alikuwa anachukua ndege za TANAPA kwenda kula starehe na vimada wake hapo katibu mkuu hakuwepo??
 
ni yupi sasa mwenye uwezo mkubwa. huoni wanatolewa na kurudishwa?!

kuna siku utamsikia Nape na ma-rope ni mawaziri tena. tena waziri kamili!
Wala sitoshangaa!

Naamini watendaji wazuri wapo nje ya mfumo wa kisiasa.

Hoja yangu ya kusema ni wakati wa sasa mawaziri watokane na merit tena isiwe kama Kenya wanakuwa nominated ndio wafanyiwe vetting bali watu wawe wanaapply ndio vetting ifuate.
 
Back
Top Bottom