Jenista Karibu Afya:; Fanya Haya Kwa NHIF

Jenista Karibu Afya:; Fanya Haya Kwa NHIF

Naelewa vizuri sana.

Katibu mkuu ni technocrat ila kwa muundo wa wizara ulivyokaa hana sauti .

Kwa mfumo wa wizara za Tanzania waziri ana nguvu kubwa kuliko katibu mkuu.

Umesahau mgogoro wa Kigwangala na katibu wake Prof Mkenda hadi jiwe akawapa siku 5 wapatane?


Kigwangalla alikuwa anadictate maamuzi mahali ambapo hatakiwi ndio kuja kusikia hadi alikuwa anachukua ndege za TANAPA kwenda kula starehe na vimada wake hapo katibu mkuu hakuwepo??
Ni waziri bora. Ana rekodi nzuri.
Naomba akomeshe/azuie utaratibu wa wastaafu kwenda kuhakikiwa mkoani.
Wengi ni wazee sana, wagonjwa, hatuna pesa na wengine ni walemavu.
Utaratibu wa sasa ni janga kwetu wastaafu.
Abuni namna bora ya kutuhakiki huku tuliko.
 
Ni waziri bora. Ana rekodi nzuri.
Naomba akomeshe/azuie utaratibu wa wastaafu kwenda kuhakikiwa mkoani.
Wengi ni wazee sana, wagonjwa, hatuna pesa na wengine ni walemavu.
Utaratibu wa sasa ni janga kwetu wastaafu.
Abuni namna bora ya kutuhakiki huku tuliko.
Hii wizara aliyopo kwa sasa inahusikaje na wastaafu?
 
Aisee management ya hospital nyingi za umma ni very very poor.
Jana nimeenda hospital ya Rufaa ya Mkoa et unapanga foleni kupewa control number kisha unapanga tena foleni kulipia huduma badae unapanga tena foleni kupewa listi ya malipo uliyofanya!!!
Huduma hizo zipo sehemu tofauti tofauti kibaya zaidi Pay point ni moja tu.
 
Sina hakika kama ataiweza Wizara hii! Bado mimi naona Ummy alifaa tu.
 
Ninaamini una uwezo na msikivu. Mtego wako mkubwa katika sekta ya afya uko kwenye kusimamia MTBA (NHIF). Fanya haya utakuja nishukuru baadaye:-

1. Tehama haijawekwa vizuri - ili ku-control madai, collusion kati ya watoa huduma na NHIF staff; madai yalitakiwa yawe processed 80% electronically na 20% manually.

2. Timu ya wataalam wa TEHAMA wa humu nchini wakusanywe, wapewe exposure hasa South Korea na watengeneze system ya kudhibiti fraud.

3. Siasa iwe mbali na Mfuko; usiwe wa kuwafurahisha wanasiasa (Ministers);

4. Actuarial Dept iimarishwe na actuarial valuation ifanyike kila mwaka na kutoa mwongozo

5. Katika Social Health Insurance kuwa na package tofauti kama Wabunge, BOT, TRA, NMB n.k ni KOSA KUBWA. Makundi hayo yana mishahara mikubwa hivyo walitakiwa wachangie fedha nyingi zaidi na hivyo kuwepo kwa Social Solidarity. Mtu apate huduma bila kujali alichochangia.

6. Serikali itafute maoni ya wenye uzoefu wa SOCIAL Health Insurance na Actuaries watoe maoni yao ya kisayansi sio ya kumfurahisha mtu yeyote.

7. Board inatakiwa iwe na wataalam wa masuala haya na iwatumie kwa hali hii ilikofikia NHIF. SIYO kuishia kufanya ziara mikoani kuelezea , Vifurushi vya NHIF. Michango inatakiwa izidi malipo ya madai ya watoa huduma,

Soma Pia: Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya

8. Mfuko ujenge reserve kila mwaka; admin expenses za NHIF ziangaliwe upya;

9. Kazi zote

9. Ajira zinazoweza kufanywa na TEHAMA

10. Mwisho siyo kwa umuhimu; Rudisha Toto Afya Kadi
Hakuna mtu katili ktk serikali hii kama huyu mama! Kumbukeni huyu ndiye aliyeleta kikokotoo! Sasa subirini aimalizie hiyo NHIF
 
Tatizo laanzia CCM na wafanyakazi wa serikali wanalipa pesa ndogo sana
 
Wala sitoshangaa!

Naamini watendaji wazuri wapo nje ya mfumo wa kisiasa.

Hoja yangu ya kusema ni wakati wa sasa mawaziri watokane na merit tena isiwe kama Kenya wanakuwa nominated ndio wafanyiwe vetting bali watu wawe wanaapply ndio vetting ifuate.
ndio maana Katiba mpya ni jambo la muhimu, ama ni la lazima hakika!
 
Ninaamini una uwezo na msikivu. Mtego wako mkubwa katika sekta ya afya uko kwenye kusimamia MTBA (NHIF). Fanya haya utakuja nishukuru baadaye:-

1. Tehama haijawekwa vizuri - ili ku-control madai, collusion kati ya watoa huduma na NHIF staff; madai yalitakiwa yawe processed 80% electronically na 20% manually.

2. Timu ya wataalam wa TEHAMA wa humu nchini wakusanywe, wapewe exposure hasa South Korea na watengeneze system ya kudhibiti fraud.

3. Siasa iwe mbali na Mfuko; usiwe wa kuwafurahisha wanasiasa (Ministers);

4. Actuarial Dept iimarishwe na actuarial valuation ifanyike kila mwaka na kutoa mwongozo

5. Katika Social Health Insurance kuwa na package tofauti kama Wabunge, BOT, TRA, NMB n.k ni KOSA KUBWA. Makundi hayo yana mishahara mikubwa hivyo walitakiwa wachangie fedha nyingi zaidi na hivyo kuwepo kwa Social Solidarity. Mtu apate huduma bila kujali alichochangia.

6. Serikali itafute maoni ya wenye uzoefu wa SOCIAL Health Insurance na Actuaries watoe maoni yao ya kisayansi sio ya kumfurahisha mtu yeyote.

7. Board inatakiwa iwe na wataalam wa masuala haya na iwatumie kwa hali hii ilikofikia NHIF. SIYO kuishia kufanya ziara mikoani kuelezea , Vifurushi vya NHIF. Michango inatakiwa izidi malipo ya madai ya watoa huduma,

Soma Pia: Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya

8. Mfuko ujenge reserve kila mwaka; admin expenses za NHIF ziangaliwe upya;

9. Kazi zote zinazoweza kufanywa na TEHAMA zisitishwe

9. Ajira zinazoweza kufanywa na TEHAMA

10. Mwisho siyo kwa umuhimu; Rudisha Toto Afya Kadi
TOTO AFYA irudishwe kwa umuhimu kabisa
 
Sina hakika kama ataiweza Wizara hii! Bado mimi naona Ummy alifaa tu.
Ummy hapana. Ame overstay kuanzia 2015 hadi 2019 wakati wa Magufuli. Kisha akarudi 2021-24 wakati wa Samia. Yeye ndiye chanzo cha mdororo huu mkubwa wa huduma.

Ame FISADI sana na ni super rich woman ndiyo maana naye akaingia kiburi cha kutaka Januari Makamba agonbee 2025 kwenye kura za CCM
 
Hakuna mtu katili ktk serikali hii kama huyu mama! Kumbukeni huyu ndiye aliyeleta kikokotoo! Sasa subirini aimalizie hiyo NHIF
Kikokotoo ni Magufuli mwenyewe wala usimsingizie Jenista
 
Pia kungetakiwa kuwe na bima za hospital binafsi na hospital za serikali
NHIF iko kwenye njia ya kwenda kaburini na actuarial study ilifanywa na serikali kuambiwa wasipojipanga NHIF inakufa ndani ya miaka 2-3 ijayo
🔴Serikali hailipi mamilioni ya hela ya NHIF waliyokopa kununua madege wakati wa Magufuli
🔴 Wastaafu wa umma wote wamepelekwa NHIF na serikali haipeleki michango yao lakini wanataka watibiwe na wanatibiwa bila seriukali kupeleka michango
🔴 Toto Afya Card na madudu mengine mengi yaliyoko NHIF pale ambayo CAG ilishasema mpaka kachoka...

NAMTAZAMA Jenesta Mhagama na aina yake ya majibu ya juu juu anayoyatoaga bungeni akikandikwa maswali halafu natazama anachokwenda kukutana nacho NHIF hasa nyakati hizi za uchaguzi NAMUONEA HURUMA SANA
 
Muhimu sana.

Hii ya waziri kutokana na wabunge ndio imeleta watu kama akina Nape zero brains kabisa mtu yuko wizarani halafu hajui kazi zake.
Ni kweli, naamini kwenye Katiba Mpya Mawaziri hawatatokana na wabunge. Bali watakuwa watu mahiri kwenye fani zao
 
Ninaamini una uwezo na msikivu. Mtego wako mkubwa katika sekta ya afya uko kwenye kusimamia MTBA (NHIF). Fanya haya utakuja nishukuru baadaye:-

1. Tehama haijawekwa vizuri - ili ku-control madai, collusion kati ya watoa huduma na NHIF staff; madai yalitakiwa yawe processed 80% electronically na 20% manually.

2. Timu ya wataalam wa TEHAMA wa humu nchini wakusanywe, wapewe exposure hasa South Korea na watengeneze system ya kudhibiti fraud.

3. Siasa iwe mbali na Mfuko; usiwe wa kuwafurahisha wanasiasa (Ministers);

4. Actuarial Dept iimarishwe na actuarial valuation ifanyike kila mwaka na kutoa mwongozo

5. Katika Social Health Insurance kuwa na package tofauti kama Wabunge, BOT, TRA, NMB n.k ni KOSA KUBWA. Makundi hayo yana mishahara mikubwa hivyo walitakiwa wachangie fedha nyingi zaidi na hivyo kuwepo kwa Social Solidarity. Mtu apate huduma bila kujali alichochangia.

6. Serikali itafute maoni ya wenye uzoefu wa SOCIAL Health Insurance na Actuaries watoe maoni yao ya kisayansi sio ya kumfurahisha mtu yeyote.

7. Board inatakiwa iwe na wataalam wa masuala haya na iwatumie kwa hali hii ilikofikia NHIF. SIYO kuishia kufanya ziara mikoani kuelezea , Vifurushi vya NHIF. Michango inatakiwa izidi malipo ya madai ya watoa huduma,

Soma Pia: Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya

8. Mfuko ujenge reserve kila mwaka; admin expenses za NHIF ziangaliwe upya;

9. Kazi zote zinazoweza kufanywa na TEHAMA zisitishwe

9. Ajira zinazoweza kufanywa na TEHAMA

10. Mwisho siyo kwa umuhimu; Rudisha Toto Afya Kadi
Kwenye namba 5 umefuka mazima

Actually hizo packages ndizo zinafanya mfuko kusimama

It’s always the people in the apex who finance the pipeline in the base hauhitaji F tatu kujua hilo
 
NHIF iko kwenye njia ya kwenda kaburini na actuarial study ilifanywa na serikali kuambiwa wasipojipanga NHIF inakufa ndani ya miaka 2-3 ijayo
🔴Serikali hailipi mamilioni ya hela ya NHIF waliyokopa kununua madege wakati wa Magufuli
🔴 Wastaafu wa umma wote wamepelekwa NHIF na serikali haipeleki michango yao lakini wanataka watibiwe na wanatibiwa bila seriukali kupeleka michango
🔴 Toto Afya Card na madudu mengine mengi yaliyoko NHIF pale ambayo CAG ilishasema mpaka kachoka...

NAMTAZAMA Jenesta Mhagama na aina yake ya majibu ya juu juu anayoyatoaga bungeni akikandikwa maswali halafu natazama anachokwenda kukutana nacho NHIF hasa nyakati hizi za uchaguzi NAMUONEA HURUMA SANA
Fake news
 
Nachofahamu anastashahada ya Elimu kutoka korogwe TTC hii imekaaje au alijiendeleza hatujui?
 
Back
Top Bottom