Jenista Karibu Afya:; Fanya Haya Kwa NHIF

Jenista Karibu Afya:; Fanya Haya Kwa NHIF

Kwenye namba 5 umefuka mazima

Actually hizo packages ndizo zinafanya mfuko kusimama

It’s always the people in the apex who finance the pipeline in the base hauhitaji F tatu kujua hilo
Nashukuru mkuu TIMING kwa kuiona hiyo point. Mleteni Jenista basi apate madini hapa
 
Toto afya BIMA TOTO

IRUDI HARAKA
Toto kadi ilikuwa ni kadi ya Bima ya Afya ya NHIF inayotolewa kwa watoto wa chini ya miaka 18 wanaosajiliwa na NHIF ili kuwawezesha kupata huduma za matibabu katika vituo vilivyosajiliwa na NHIF nchi nzima.

Mzazi/ mlezi alijuwa anachangia mara moja kwa mwaka kiasi cha 50,400/= kwa mtoto mmoja

Madhumuni ya kuanzisha Toto Afya Kadi:-
Kuwapa fursa kwa wazazi/walezi ambao ni wanachama wa Mfuko kusajili watoto ambao hawakuweza kusajiliwa kwa sababu nafasi za wategemezi za mwanachama zimejaa, kwa mfano mwanachama ana watoto 6 lakini nafasi za wategemezi zilizopo ni 4 tu.
 
Ninaamini una uwezo na msikivu. Mtego wako mkubwa katika sekta ya afya uko kwenye kusimamia MTBA (NHIF). Fanya haya utakuja nishukuru baadaye:-

1. Tehama haijawekwa vizuri - ili ku-control madai, collusion kati ya watoa huduma na NHIF staff; madai yalitakiwa yawe processed 80% electronically na 20% manually.

2. Timu ya wataalam wa TEHAMA wa humu nchini wakusanywe, wapewe exposure hasa South Korea na watengeneze system ya kudhibiti fraud.

3. Siasa iwe mbali na Mfuko; usiwe wa kuwafurahisha wanasiasa (Ministers);

4. Actuarial Dept iimarishwe na actuarial valuation ifanyike kila mwaka na kutoa mwongozo

5. Katika Social Health Insurance kuwa na package tofauti kama Wabunge, BOT, TRA, NMB n.k ni KOSA KUBWA. Makundi hayo yana mishahara mikubwa hivyo walitakiwa wachangie fedha nyingi zaidi na hivyo kuwepo kwa Social Solidarity. Mtu apate huduma bila kujali alichochangia.

6. Serikali itafute maoni ya wenye uzoefu wa SOCIAL Health Insurance na Actuaries watoe maoni yao ya kisayansi sio ya kumfurahisha mtu yeyote.

7. Board inatakiwa iwe na wataalam wa masuala haya na iwatumie kwa hali hii ilikofikia NHIF. SIYO kuishia kufanya ziara mikoani kuelezea , Vifurushi vya NHIF. Michango inatakiwa izidi malipo ya madai ya watoa huduma,

Soma Pia: Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya


8. Mfuko ujenge reserve kila mwaka; admin expenses za NHIF ziangaliwe upya;

9. Kazi zote zinazoweza kufanywa na TEHAMA zisitishwe

9. Ajira zinazoweza kufanywa na TEHAMA

10. Mwisho siyo kwa umuhimu; Rudisha Toto Afya Kadi
Namba 5 na 10 viwe vya kwanza kabisa. Tunahubiri bima kwa wote halafu tunaondoa Toto afya badala ya kuwazoesha wananchi kuwakatia bima watoto wao tangu udogoni. Huu ni uzwazwa

Kuhusu kuweka madaraja ya matibabu ni uzwazwa mwingine. Hivyo vifurushi vyao vimegawa magonjwa na aina ya wagonjwa. Hapa tafsiri yake ni kuwa mtu mwenye kifurushi fulani kisicho na uwezo wa kutibu ugonjwa fulani anaambiwa akiumwa huo ugonjwa yeye afe tu!
 
Uliwahi kusikia mtu anakula vyakula kama baga,pizza vile vinavyoonekana vizuri machoni mwa watu ila ushuzi wake ni hatari,ndicho ulichokifanya ulipo malizia kwa ushauri wa kurudisha Toto afya kadi-kati ya program zilizochangia guo mfuko kufa ni hiyo program,ambitious projects wanazifanya pamoja na ufisadi wa matumizi wa hiyo huduma.
 
Uliwahi kusikia mtu anakula vyakula kama baga,pizza vile vinavyoonekana vizuri machoni mwa watu ila ushuzi wake ni hatari,ndicho ulichokifanya ulipo malizia kwa ushauri wa kurudisha Toto afya kadi-kati ya program zilizochangia guo mfuko kufa ni hiyo program,ambitious projects wanazifanya pamoja na ufisadi wa matumizi wa hiyo huduma.
Hata kuandika hujui ndiyo utaweza kujua manufaa ya toto card wewe??
 
Nani mwenye CV ya Jenister Mhagama?? Si kwa English ile!!
Screenshot_20240830_132747_WhatsApp.jpg
Eti ana Masters?? Masters ya nyoko
 
Ninaamini una uwezo na msikivu. Mtego wako mkubwa katika sekta ya afya uko kwenye kusimamia MTBA (NHIF). Fanya haya utakuja nishukuru baadaye:-

1. Tehama haijawekwa vizuri - ili ku-control madai, collusion kati ya watoa huduma na NHIF staff; madai yalitakiwa yawe processed 80% electronically na 20% manually.

2. Timu ya wataalam wa TEHAMA wa humu nchini wakusanywe, wapewe exposure hasa South Korea na watengeneze system ya kudhibiti fraud.

3. Siasa iwe mbali na Mfuko; usiwe wa kuwafurahisha wanasiasa (Ministers);

4. Actuarial Dept iimarishwe na actuarial valuation ifanyike kila mwaka na kutoa mwongozo

5. Katika Social Health Insurance kuwa na package tofauti kama Wabunge, BOT, TRA, NMB n.k ni KOSA KUBWA. Makundi hayo yana mishahara mikubwa hivyo walitakiwa wachangie fedha nyingi zaidi na hivyo kuwepo kwa Social Solidarity. Mtu apate huduma bila kujali alichochangia.

6. Serikali itafute maoni ya wenye uzoefu wa SOCIAL Health Insurance na Actuaries watoe maoni yao ya kisayansi sio ya kumfurahisha mtu yeyote.

7. Board inatakiwa iwe na wataalam wa masuala haya na iwatumie kwa hali hii ilikofikia NHIF. SIYO kuishia kufanya ziara mikoani kuelezea , Vifurushi vya NHIF. Michango inatakiwa izidi malipo ya madai ya watoa huduma,

Soma Pia: Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya

8. Mfuko ujenge reserve kila mwaka; admin expenses za NHIF ziangaliwe upya;

9. Kazi zote zinazoweza kufanywa na TEHAMA zisitishwe

9. Ajira zinazoweza kufanywa na TEHAMA

10. Mwisho siyo kwa umuhimu; Rudisha Toto Afya Kadi
Namba 10 hapo kuhusu ToTo Kadi imesikika: Hongera Waziri
IMG-20241217-WA0096.jpg
 
Uliwahi kusikia mtu anakula vyakula kama baga,pizza vile vinavyoonekana vizuri machoni mwa watu ila ushuzi wake ni hatari,ndicho ulichokifanya ulipo malizia kwa ushauri wa kurudisha Toto afya kadi-kati ya program zilizochangia guo mfuko kufa ni hiyo program,ambitious projects wanazifanya pamoja na ufisadi wa matumizi wa hiyo huduma.
Wewe mburura Econometrician NJOO usome uchuro wako tena hapa. Toto Kadi imerudi
 
Back
Top Bottom