Jenista Karibu Afya:; Fanya Haya Kwa NHIF

Kwenye namba 5 umefuka mazima

Actually hizo packages ndizo zinafanya mfuko kusimama

It’s always the people in the apex who finance the pipeline in the base hauhitaji F tatu kujua hilo
Nashukuru mkuu TIMING kwa kuiona hiyo point. Mleteni Jenista basi apate madini hapa
 
Toto afya BIMA TOTO

IRUDI HARAKA
Toto kadi ilikuwa ni kadi ya Bima ya Afya ya NHIF inayotolewa kwa watoto wa chini ya miaka 18 wanaosajiliwa na NHIF ili kuwawezesha kupata huduma za matibabu katika vituo vilivyosajiliwa na NHIF nchi nzima.

Mzazi/ mlezi alijuwa anachangia mara moja kwa mwaka kiasi cha 50,400/= kwa mtoto mmoja

Madhumuni ya kuanzisha Toto Afya Kadi:-
Kuwapa fursa kwa wazazi/walezi ambao ni wanachama wa Mfuko kusajili watoto ambao hawakuweza kusajiliwa kwa sababu nafasi za wategemezi za mwanachama zimejaa, kwa mfano mwanachama ana watoto 6 lakini nafasi za wategemezi zilizopo ni 4 tu.
 
Namba 5 na 10 viwe vya kwanza kabisa. Tunahubiri bima kwa wote halafu tunaondoa Toto afya badala ya kuwazoesha wananchi kuwakatia bima watoto wao tangu udogoni. Huu ni uzwazwa

Kuhusu kuweka madaraja ya matibabu ni uzwazwa mwingine. Hivyo vifurushi vyao vimegawa magonjwa na aina ya wagonjwa. Hapa tafsiri yake ni kuwa mtu mwenye kifurushi fulani kisicho na uwezo wa kutibu ugonjwa fulani anaambiwa akiumwa huo ugonjwa yeye afe tu!
 
Uliwahi kusikia mtu anakula vyakula kama baga,pizza vile vinavyoonekana vizuri machoni mwa watu ila ushuzi wake ni hatari,ndicho ulichokifanya ulipo malizia kwa ushauri wa kurudisha Toto afya kadi-kati ya program zilizochangia guo mfuko kufa ni hiyo program,ambitious projects wanazifanya pamoja na ufisadi wa matumizi wa hiyo huduma.
 
Hata kuandika hujui ndiyo utaweza kujua manufaa ya toto card wewe??
 
Namba 10 hapo kuhusu ToTo Kadi imesikika: Hongera Waziri
 
Wewe mburura Econometrician NJOO usome uchuro wako tena hapa. Toto Kadi imerudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…