GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kila nikikuangalia ulivyo, nilivyokuzoea, taaluma yako na mienendo yako ( hasa katika Utendaji wako Serikakini ) sioni kabisa Competency yako katika hiyo Docket uliyoko sasa na najua hata uombe Mizimu ya Kwenu kwa Watani zangu Washamba wa Mkoa wa Ruvuma au ubebwe vipi na Namba Tatu Kitaifa bado tu hiyo Docket itakushinda kwani hauna kabisa DNA nayo.
Jenister Mhagama ni kwamba hapo ulipotupwa sasa Health Docket ni Kengelele tu awali ya kukutaka sasa uanze Kuaga na Kukusanya kila kilicho chako hasa ndani ya Serikali ya aliyonayo sasa na kila nikiangalia kwa Darubini yangu ni kwamba ama mwishoni mwa Mwaka huu au Mwakani utaondolewa kabisa na kama ni kurejeshwa tena basi itakuwa ni baada ya 2030.
Namba Tatu haivi kabisa na Namba Moja ila aliombwa tu amuache hapo amalizane nae na Wewe kutwa tu uko na Namba Tatu katika Kumpiga Majungu na Taarifa zako nyingi tu zinamfikia.
Tunza huu Uzi utaondolewa hapo mazima kama Gwiji Mwenzako Mmoja aliyejiamini, aliyejisahau akidhani Ndumba za Kwao na Uchawa wake ungembeba.
Imeisha hiyo.....!!
Jenister Mhagama ni kwamba hapo ulipotupwa sasa Health Docket ni Kengelele tu awali ya kukutaka sasa uanze Kuaga na Kukusanya kila kilicho chako hasa ndani ya Serikali ya aliyonayo sasa na kila nikiangalia kwa Darubini yangu ni kwamba ama mwishoni mwa Mwaka huu au Mwakani utaondolewa kabisa na kama ni kurejeshwa tena basi itakuwa ni baada ya 2030.
Namba Tatu haivi kabisa na Namba Moja ila aliombwa tu amuache hapo amalizane nae na Wewe kutwa tu uko na Namba Tatu katika Kumpiga Majungu na Taarifa zako nyingi tu zinamfikia.
Tunza huu Uzi utaondolewa hapo mazima kama Gwiji Mwenzako Mmoja aliyejiamini, aliyejisahau akidhani Ndumba za Kwao na Uchawa wake ungembeba.
Imeisha hiyo.....!!