Jenister Mhagama popote pale ulipo pokea hili

Jenister Mhagama popote pale ulipo pokea hili

Hii dunia kweli omba bahati sio akili.Huyu mama sijawahi muelewa ila Kila marekebisho yumooo
 
Nchi hii wanacheza sana na afya za watu...
Yaani huyu mhagama wanaenda
Kumuweka afya aise,
Hii ni dharau sana kwa sekta ya afya

Ova
Ni matusi ya nguoni.
Hana lolote huyu
 
Halafu wanabishana na wabobezi na wenye taaluma zao
Kweli siasa na mpira ni sawa tu yeyote anaongoza tu ingawa mpira ina wachezaji wazuri
 
Na kwann damu mpya haziingii tuone utofauti ni hao hao Kila siku jamani tugawieni riziki Mafarao .
 
Nyie wapuuzi ndyo mliompa kichwa ummy mpaka akaanza kujisahau. Ok ,endeleeni kumpa mbinu zaidi mhagama ili awe fit kwenye wizara.
 
Cheo Cha uwaziri Ni cheo Cha kisiasa sio Taaluma , Maamuzi yake nautendaji wake niwakisiasa na sio taaluma
 
Back
Top Bottom