Jenister Mhagama popote pale ulipo pokea hili

Ushauri wangu kwa sisiemu. Acheni kufanya rotation huyu kachomolewa hapa kapelekwa pale........Tafuteni watu mahiri kwenye wizara husika wapooo
Si wangempa huyu Mwamba? Sijui nowdays Yuko wapi. Aliwahi kuwa Katibu mkuu wa hiyo wizara na mambo yalikuwa yanaenda vzr sana
 

Attachments

  • Amb_Dr_Mpoki_Ulisubisya.jpg
    133.7 KB · Views: 1
Jenista ni worst kabisa kuliko ummy mwalimu, huwa hayuko tayari kwa mawazo mbadala principle yake ni 'she is always right'. Sema huko CCM wenye akili/uwezo ni wakutafuta kwa tochi plus afya za walala hoi sio kipaumbele sana. Yote kheri
Aise
 
Nchi hii wanacheza sana na afya za watu...
Yaani huyu mhagama wanaenda
Kumuweka afya aise,
Hii ni dharau sana kwa sekta ya afya

Ova
Ila huyu maza ni noma. Awamu zote yeye ni waziri. Atakuwa kawekeza kwenye kampuni nyingi za town
 
Panic mode!!Baada ya mshituko wa usaliti Toka Kwa anaowategemea !!wale vijana na wazazi wao!yaani unasalitiwa na mndani wako!ghafla unaanza kuwaamini maadui wa zamani hasa wale waliopewa jina la sukuma gang!!

Haamini mtu sasa,anahisi yupo peke yake!!
 
Tanzania utadhani ina watu hao hao tua ambao kila kukicha kero za Wananchi wanashindwa kuzitatua sema huyo kawekwa kimkakati mambo ya kura za huko Nyasa Land bila kuangalia vigezo yaani fundi mchundo awe Waziri wa Afya utani huu..
Kama ni hivyo basi sie wenyewe wananchi ndio tatizo.
 
Ushauri wangu kwa sisiemu. Acheni kufanya rotation huyu kachomolewa hapa kapelekwa pale........Tafuteni watu mahiri kwenye wizara husika wapooo
Au tufanye kama Kenya.Waziri unapigwa Interview,ukionekana uwezo mdogo hutoimudu wizara husika bye bye.
 
Mnavomshambulia jenister utafikiri yeye ndio anashika mikasi na kupasua watu theatre
 
Kila nikikumbuka kwamba Chenge ashawahi kuwa waziri wa miundombinu na Sarungi waziri wa ulinzi, nashia kusema hii nchi kuna kitu haiko sawa.🀣🀣🀣🀣​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…