kabisa mkuu haijawahi kutokea stars kufungwa na cranes na kilichotokea 2019 afcon misri ni aibu snaa ,wakati hapo miaka ya katikati(1981-2018) wakuu kibao wa TFF wameipeleka team afcon tangu mwaka 1981
Kafeli soka la wanawake, kaifikisha stars afcon mara moja, chan mara moja tu, kafanikisha kuingiza teams 4 michezo ya CAf mara tatu tu, kaandaa afcon ya vijana, team ya walemavu kucheza kombe la dunia mara moja tu, afcon ya beach soccer mara moja tu
under 17 wanawake kombe la dunia mara moja tu..HAFAI HUYU MUHARIBIFU HAFAI KARIAA ANAUA SOKA LEETUUUU