Jermain Defoe kiboko ya wanawake wote wapenda kitonga au mteremko

Jermain Defoe kiboko ya wanawake wote wapenda kitonga au mteremko

Intelligent businessman

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
31,913
Reaction score
65,514
Salaam wakuu, leo nimeona niwajuze kuhusiana na kisa cha kushangaza kinachomuhusu mchezaji wa mpira Jermain Defoe.

images (10).jpeg


Jermain defoe huyu ni mchezaji wa zamani wa soka katika timu za Sunderland,toronto,rangers na Bournemouth.

Huyu bwana ameushangaza ulimwengu kwa ujumla baada ya kuthibitika kuwa amefanya utapeli wa ndoa feki kwa bibie Dona Defoe.

66086927-11611679-Jermain_Defoe_40_pictured_middle_spent_his_Christmas_on_the_Cari-m-1_1673178...jpg


Tarehe 4/6/2022 ilikuwa siku ya furaha kwa Jermain defoe na bibie dona, ambao walifanikiwa kufunga pingu za maisha nyumbani kwao Cleveden katika mji wa Bournemouth.

Lakini Kama unavyojua tabia za wadada wa kizungu, ambao huwa wanajifanya wana mapenzi na watu weusi. Kisha huingia nao katika mahusiano ya ndoa na baadaye kuwafilisi kwa kigezo Cha kugawana mali mfano ebou,Kanye west.

Sasa ni Kama mbinu hio imegonga mwamba kwa Germain defoe, ambapo baada ya kufunga ndoa na bi dona na kisha kuachana.

Imethibitishwa hakuna ushahidi hata mmoja unaothibitisha ya kwamba Jermain defoe alifunga ndoa na bi dada wa kizungu dona.

Bi dada huyo pichani baada ya kuoana na defoe, alianza vitimbi mbalimbali na baadae kutaka talaka, akijua atapata mgao wa mali za bwana defoe.

Nadhani aliingia tamaa baada ya kuona defoe ametumia zaidi ya milioni 400 katika sherehe yao ya kharusi, bila ya kujua kuwa huo ulikuwa mtego tu na yeye ndo ameishia kutumika.

Unaambiwa jamaa Ni Kama alifanya party tu , kwani licha ya bi dona kwenda mahamani hajaambulia chochote na Sasa ameanza upya Safari yake ya udangaji.

Hakukuwa na utiaji saini katika mkataba wa ndoa.

Hii iwe funzo kwa wadada wote wenye tamaa ya kujipatia mali kupitia mahusiano.
 
Salaam wakuu, Leo nimeona niwajuze kuhusiana na kisa Cha kushangaza kinachomuhusu mchezaji wa mpira Jermain defoe.
View attachment 2474330

Jermain defoe huyu ni mchezaji wa zamani wa soka katika timu za Sunderland,toronto,rangers na Bournemouth.

Huyu bwana ameushangaza ulimwengu kwa ujumla baada ya kuthibitika kuwa amefanya utapeli wa ndoa feki kwa bibie dona defoeView attachment 2474335
Tarehe 4/6/2022 ilikuwa siku ya furaha kwa Jermain defoe na bibie dona, ambao walifanikiwa kufunga pingu za maisha nyumbani kwao Cleveden katika mji wa Bournemouth.

Lakini Kama unavyojua tabia za wadada wa kizungu, ambao huwa wanajifanya wana mapenzi na watu weusi.
kisha huingia nao katika mahusiano ya ndoa na baadaye kuwafilisi kwa kigezo Cha kugawana mali mfano ebou,Kanye west.

Sasa ni Kama mbinu hio imegonga mwamba kwa Germain defoe, ambapo baada ya kufunga ndoa na bi dona na kisha kuachana.
Imethibitishwa hakuna ushahidi hata mmoja unaothibitisha ya kwamba Jermain defoe alifunga ndoa na bi dada wa kizungu dona.

Bi dada huyo pichani baada ya kuoana na defoe, alianza vitimbi mbalimbali na baadae kutaka talaka, akijua atapata mgao wa mali za bwana defoe.
Nadhani aliingia tamaa baada ya kuona defoe ametumia zaidi ya milioni 400 katika sherehe yao ya kharusi, bila ya kujua kuwa huo ulikuwa mtego tu na yeye ndo ameishia kutumika.

Unaambiwa jamaa Ni Kama alifanya party tu , kwani licha ya bi dona kwenda mahamani hajaambulia chochote na Sasa ameanza upya Safari yake ya udangaji.

Hii iwe funzo kwa wadada wote wenye tamaa ya kujipatia mali kupitia mahisiano
Naona hujaeleza kwa kina mpk ndoa ikawa fake
 
Sawa....
But what's happened hadi mwanamama wa kizungu akakosa kugawana mali na kuonekana kama ndoa yao ilikua ni sherehe tu, na ndoa kuonekana fake...🤔
Kumbe hukoment usiku wa manane?😄😄😄
 
Mzee baba itakua katumia Hackers wakafuta kila kitu kuhusu ndoa yake (Pakistan IT guys wako vizuri sana)
Yaani hata akitoa cheti cha ndoa itaonekana ni uongo maana serikalini hakuna taarifa zake😅.
 
Mzee baba itakua katumia Hackers wakafuta kila kitu kuhusu ndoa yake (Pakistan IT guys wako vizuri sana)
Yaani hata akitoa cheti cha ndoa itaonekana ni uongo maana serikalini hakuna taarifa zake[emoji28].

Hakuna cha hackers wala nn , good planning mzee
 
Bora kakwepa kutapeliwa....tangu lini ngoz nyeupe ikampenda ngoz nyeusi.Shida tu
 
Yaani mtu ahangaike apigwe viatu huko halafu wewer uje uchume kirahic kina Emanuel ebou sijui waliingiaje mkenge huu.
 
Salaam wakuu, leo nimeona niwajuze kuhusiana na kisa cha kushangaza kinachomuhusu mchezaji wa mpira Jermain Defoe.

View attachment 2474330

Jermain defoe huyu ni mchezaji wa zamani wa soka katika timu za Sunderland,toronto,rangers na Bournemouth.

Huyu bwana ameushangaza ulimwengu kwa ujumla baada ya kuthibitika kuwa amefanya utapeli wa ndoa feki kwa bibie Dona Defoe.

View attachment 2474335

Tarehe 4/6/2022 ilikuwa siku ya furaha kwa Jermain defoe na bibie dona, ambao walifanikiwa kufunga pingu za maisha nyumbani kwao Cleveden katika mji wa Bournemouth.

Lakini Kama unavyojua tabia za wadada wa kizungu, ambao huwa wanajifanya wana mapenzi na watu weusi. Kisha huingia nao katika mahusiano ya ndoa na baadaye kuwafilisi kwa kigezo Cha kugawana mali mfano ebou,Kanye west.

Sasa ni Kama mbinu hio imegonga mwamba kwa Germain defoe, ambapo baada ya kufunga ndoa na bi dona na kisha kuachana.

Imethibitishwa hakuna ushahidi hata mmoja unaothibitisha ya kwamba Jermain defoe alifunga ndoa na bi dada wa kizungu dona.

Bi dada huyo pichani baada ya kuoana na defoe, alianza vitimbi mbalimbali na baadae kutaka talaka, akijua atapata mgao wa mali za bwana defoe.

Nadhani aliingia tamaa baada ya kuona defoe ametumia zaidi ya milioni 400 katika sherehe yao ya kharusi, bila ya kujua kuwa huo ulikuwa mtego tu na yeye ndo ameishia kutumika.

Unaambiwa jamaa Ni Kama alifanya party tu , kwani licha ya bi dona kwenda mahamani hajaambulia chochote na Sasa ameanza upya Safari yake ya udangaji.

Hakukuwa na utiaji saini katika mkataba wa ndoa.

Hii iwe funzo kwa wadada wote wenye tamaa ya kujipatia mali kupitia mahusiano.

Milioni 400 paundi au shilingi za kitanzania?

Bado ni hela nyingi kwa ajili ya mbususu. Maana huyo naye hakutaka mke au ndoa ndo maana hakusaini popote.

Kwani kwa wanaume wa kiAfrika huko Uingereza hakunaga mademu wa kizungu wa unamtongoza na kula mzigo tu? Ni mpaka uoe? Yaani utumie milioni 400 kwa ajili ya mbususu tu? Milioni 400 wekeza kwa mama wa watoto wako, sio kwa demu wa mbususu tu.
 
Mbona utamu wote umeuacha ukishakunywa chai rudi uandike upya.
 
Back
Top Bottom