Jermain Defoe kiboko ya wanawake wote wapenda kitonga au mteremko

Jermain Defoe kiboko ya wanawake wote wapenda kitonga au mteremko

Milioni 400 paundi au shilingi za kitanzania?

Bado ni hela nyingi kwa ajili ya mbususu. Maana huyo naye hakutaka mke au ndoa ndo maana hakusaini popote.

Kwani kwa wanaume wa kiAfrika huko Uingereza hakunaga mademu wa kizungu wa unamtongoza na kula mzigo tu? Ni mpaka uoe? Yaani utumie milioni 400 kwa ajili ya mbususu tu? Milioni 400 wekeza kwa mama wa watoto wako, sio kwa demu wa mbususu tu.
Hiyo ni hela ya wiki mbili tu kwa wachezaji wa Ulaya
 
Hiyo ni hela ya wiki mbili tu kwa wachezaji wa Ulaya
Aha kumbe ni mchezaji wa kiwango hicho (yaani EPL).

Ila hata kama ni hela ya mboga bado sioni ujanja wa kuandaa harusi hewa.

Lengo ni nini haswa la yeye kufanya harusi hewa?
 
Back
Top Bottom