Jerry Muro afungiwa kujihusisha na soka kwa Mwaka mmoja!!

Jerry Muro afungiwa kujihusisha na soka kwa Mwaka mmoja!!

Najua mna jua, lakini ndiyo hivyo. Hata kama ndo msemaji wa Timu, 'jifunze kuasikiliza'.

Kweli kuna baraka katika kusikiliza kuliko usemaji ulio kithiri. Haya mwaka mzima sasa KANDO.
 
Kuhamasisha vurugu ni kosa kubwa, mzaha mzaha unaweza kupelekea vifo vya mashabiki. Yatupasa wote tukemee hali hii. Michezo ni furaha, lkn ni eneo very delicate sana. Watu kuumizana ni kitu kidogo kabisa kma viongozi watachochea vurugu hata kwa ku-imply.
Jerry alikiwa sahihi pia ukumbuke alikuwa ana isemea Yanga so ujue hata viongozi wengine walikubaliana
Mpira wowote mwenyeji hapangiwi pa kukaa, wala halikuwa kosa kisheria
 
Ohoooo
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji100] [emoji100] [emoji100]
 
Kumuhadhibu ndio kufanya nini ndg yangu?
Hapo umeniacha kidogo.
 
Back
Top Bottom