Jerry Muro ameiaibisha nchi, TFF, Yanga na Wanataaluma..ajiuzuru!

sasa wewe utaiweza nafasi ya jerry muro au unapiga kelele tu

Mimi naweza tu nikamfundisha vizuri kama Mkufunzi wa hayo masuala ili siku nyingine asije kujitia aibu na kuonekana kituko na mpuuzi mbele ya wenye ueledi wao na wana taaluma.
 
Te te te bila shaka wewe ni Sinura Fc
 

Mbona nchi inaendeshwa kibabe babe husemi watu wajiuzulu?
 
Kumbe hadi nyumbani kwa wanaume wenzio unapajua?

Sasa kama 24/7 nakuja kukuchukulia Mkeo hapo hapo nitaacha kupajua? Halafu acha tabia yako ya kuanika chupi zako zilizotoboka dirishani Mkuu kwani unajichoresha sana na Mkeo huwa ananilalamikia sana hii kitu.
 
Sasa kama 24/7 nakuja kukuchukulia Mkeo hapo hapo nitaacha kupajua? Halafu acha tabia yako ya kuanika chupi zako zilizotoboka dirishani Mkuu kwani unajichoresha sana na Mkeo huwa ananilalamikia sana hii kitu.

Naona leo umeamua kuanika hekima zako zote hapa...hongera!
 


Nimecheka sana....umesema mengi lakini kumbuka jambo moja muhimu: WANACHAMA NA WAPENZI WENGI WA YANGA WANATAKA MTU WA AINA HIYO, NA WANAIPENDA MIPASHO HIYO. HATA SIMBA WAKO HIVYO HIVYO...HIZO NDIZO POLITICS ZA KLABU HIZI MBILI ZINAZOITWA KUBWA ZA YANGA NA SIMBA...
 
huyu ni shabiki wa simba damu aliwahi kutoa post moja akisema ana achana na simba hadi matatizo kadhaa yakitatuliwa pia alidai walisha wahi kuchinja hadi PAKA ili simba ishinde
 
Kwa hyo we shabiki wa KUFAKUFA, unaamini kabisa mambo ya giza kweny soka??
 
Halaf nimemshangaa sana, eti anasema wananyiwa mbinu.

yani timu za bongo ni pasua kichwa kweli, sasa CAF wanapanga njama gani wakati ratiba ipo tangu kitambo. yani walivozoea kuwapangia TFF wanadhani watawapangia na CAF.
yani nimemshangaa sana, eti figisu figusu kha
 
yeye ni msemaji wa yaliyoamuliwa lawama hizo tupoa uongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…