Jerry Muro amtusi tena Haji Manara

Jerry Muro amtusi tena Haji Manara

ndio Tasnia ya habari inapoelekea,viongozi na mashabiki wa hiyo timu na wao wako kimya tu
 
Tafuta insert ya E FM ya leo ya saa 4 na dakika 51 hadi 54 utakisikia hiki nilichokiweka hapa. Sikumbuki ni lini nimekurupuka humu na TAARIFA ya UWONGO.
mimi sija-question ukweli/uongo wa taarifa yako.

nilichokisema ni... kutokana na sentiments zilizopo kwenye kauli yako, wewe ni mnazi (siyo mpenzi tu) mkubwa wa Simba!
 
Yanga ni taasisi kubwa sana....mtu kama jery muro hawezi kuiongoza, yanga walikua na msemaji mzuri sana anaitwa baraka kizuguto kwa sasa ameajuriwa tff....jama akikuwa anaongea vitu vya mpira tu sio huyu jery toka alipo fi.....wa naona hajakaa sawa.
 
Naomba radhi sana nimeweka hapo Saa 4 na dakika 51 hadi na dakika 54 asubuhi kimakosa badala ya Saa 3 na dakika 51 hadi dakika 54. Ni typing error tu ILA content yenyewe ni SAHIHI.
 
Inawezekana Mungu alitaka watu tumjue vizuri Jeery Muro
kwa kupitia Yanga....

nna uhakika wale wote waliosema polisi walimsingizia kesi ya rushwa
now wanajiuliza tena.......
Huyo jamaa ni shida, ila muda wake yanga utakuwa mfupi kwa kauli hizo...
 
Katika hali inayoonyesha kuwa kama hali hii haitadhibitiwa haraka na upesi na Shirikisho la Soka Tanzania TFF, Serikali na Wadau kuna siku tutashuhudia dhahama kubwa nchini Tanzania katika Sekta ya Michezo itakayosababishwa hasa na Msemaji wa Klabu ya Yanga Jerry Muro ambae anaonekana hapa Tanzania yeye ni mtu wa nne kwa umuhimu baada ya Rais, Makamu na Waziri Mkuu.

Huyu msemaji wa Klabu ya Yanga kila mara amekuwa akija na kauli chafu, mbaya na za dharau dhidi ya mwenzake wa Klabu ya Simba Haji Manara.

Mimi siyo mdau wa mpira wala mfuatiliaji wa mpira na sina hata Klabu ninayoishabikia hapa Tanzania zaidi tu ya Timu Za Taifa ile ya Taifa Stars na Twiga Stars ila nimeguswa kama mtu ninayependa jamii yenye MAADILI.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida akizungumza muda mfupi tu na Kituo cha Redio ambacho kwa 90% kina MAHABA ya wazi na Klabu ya Yanga na kupenda kuwa na CHUKI ya wazi na Klabu ya Simba cha E FM leo Jerry Muro kasema nanukuu " Mtu mzima na akili zako tena Mtoto wa Kiume unaacha kufanya mambo yako kutwa UNAWASHWA WASHWA na kuzunguka huku na kule kuzizungumzia Yanga na Azam kama siyo anataka KUKUNWA huyu anataka nini? " mwisho wa kumnukuu Jerry Muro.

Kama wewe unajijua ni Mdau wa Michezo na Mwana Michezo tafadhali toa maoni yako hapa ya nini kifanyike ili hali hii IKOME au IISHE kabisa kwa maslahi mazima ya mchezo wetu pendwa wa Soka au Kandanda.

Karibuni sana tujadili.
Jerry muro kabaka fani,ataporomosha ladha za mpira nchini na hizo nyimbo zake za taarabu, hivi mtu ukisoma sana ndo unakuwa mjinga mjinga, simpendi huyu jamaa kwa vijembe vyake *****
 
Katika hali inayoonyesha kuwa kama hali hii haitadhibitiwa haraka na upesi na Shirikisho la Soka Tanzania TFF, Serikali na Wadau kuna siku tutashuhudia dhahama kubwa nchini Tanzania katika Sekta ya Michezo itakayosababishwa hasa na Msemaji wa Klabu ya Yanga Jerry Muro ambae anaonekana hapa Tanzania yeye ni mtu wa nne kwa umuhimu baada ya Rais, Makamu na Waziri Mkuu.

Huyu msemaji wa Klabu ya Yanga kila mara amekuwa akija na kauli chafu, mbaya na za dharau dhidi ya mwenzake wa Klabu ya Simba Haji Manara.

Mimi siyo mdau wa mpira wala mfuatiliaji wa mpira na sina hata Klabu ninayoishabikia hapa Tanzania zaidi tu ya Timu Za Taifa ile ya Taifa Stars na Twiga Stars ila nimeguswa kama mtu ninayependa jamii yenye MAADILI.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida akizungumza muda mfupi tu na Kituo cha Redio ambacho kwa 90% kina MAHABA ya wazi na Klabu ya Yanga na kupenda kuwa na CHUKI ya wazi na Klabu ya Simba cha E FM leo Jerry Muro kasema nanukuu " Mtu mzima na akili zako tena Mtoto wa Kiume unaacha kufanya mambo yako kutwa UNAWASHWA WASHWA na kuzunguka huku na kule kuzizungumzia Yanga na Azam kama siyo anataka KUKUNWA huyu anataka nini? " mwisho wa kumnukuu Jerry Muro.

Kama wewe unajijua ni Mdau wa Michezo na Mwana Michezo tafadhali toa maoni yako hapa ya nini kifanyike ili hali hii IKOME au IISHE kabisa kwa maslahi mazima ya mchezo wetu pendwa wa Soka au Kandanda.

Karibuni sana tujadili.
Jerry Muro ana laana ya kutoka kwao. Alikuwa afungwe kwa bahati MUNGU akamfutia kesi bado kajisahau anajichanganya na vitu visivyomsaidia. Mwisho wake atauona na kuujutia.
 
Jerry muro kabaka fani,ataporomosha ladha za mpira nchini na hizo nyimbo zake za taarabu, hivi mtu ukisoma sana ndo unakuwa mjinga mjinga, simpendi huyu jamaa kwa vijembe vyake *****

Mkuu kuwa na Masters Degree tena ya Public Administration ndiyo kusoma sana au kuonekana msomi? Kuna watu sasa wanamalizia Masters zao za 5 za fani mbalimbali huku wengine sasa wakimalizia PhD zao za 3 lakini wapo very simple na wanajiheshimu sana. Halafu nadhani Watanzania hatujua maana au dhana halisi ya neno " kuwa msomi au kuelimika " Kuitwa msomi kunachagizwa na vitu vingi au mambo mengi mno Mkuu.
 
Hoo mbona kila hatakachosema muro nikibaya kwenu nyie mikia!!!! Huyo Hiji kutwa kuisema yanga hamumkosoi na mnajua kabisa yanga inacheza mashindano ya kimataifa ndiyo mahana mechi zake zikasogezwa Mbele ila manara kila kukicha yanga hooooooo wanabebwa mpaka kaenda kwa waziri na yeye bila kufikiria Yanga na Azamu alikuwa kwenye michezo yakimataifa analeta siasa mpira ni wa FIFA siyo hivyo !!!!! Jerry tupo pamoja watakutajia jina lako la utotoni hiyo ndiyo kazi yako Yanga tuliyokuhajiri Yanga Mbele.........
 
Jerry Muro ana laana ya kutoka kwao. Alikuwa afungwe kwa bahati MUNGU akamfutia kesi bado kajisahau anajichanganya na vitu visivyomsaidia. Mwisho wake atauona na kuujutia.

Ila hata hivyo kwa fununu nilizonazo ni kwamba siyo kwamba Kesi yake iliisha bali aliyeshikilia jalada lake amejisahaulisha kwa muda na Kesi bado ipo wazi tu na nasikia watu wanataka kuifufua.
 
Katika hali inayoonyesha kuwa kama hali hii haitadhibitiwa haraka na upesi na Shirikisho la Soka Tanzania TFF, Serikali na Wadau kuna siku tutashuhudia dhahama kubwa nchini Tanzania katika Sekta ya Michezo itakayosababishwa hasa na Msemaji wa Klabu ya Yanga Jerry Muro ambae anaonekana hapa Tanzania yeye ni mtu wa nne kwa umuhimu baada ya Rais, Makamu na Waziri Mkuu.

Huyu msemaji wa Klabu ya Yanga kila mara amekuwa akija na kauli chafu, mbaya na za dharau dhidi ya mwenzake wa Klabu ya Simba Haji Manara.

Mimi siyo mdau wa mpira wala mfuatiliaji wa mpira na sina hata Klabu ninayoishabikia hapa Tanzania zaidi tu ya Timu Za Taifa ile ya Taifa Stars na Twiga Stars ila nimeguswa kama mtu ninayependa jamii yenye MAADILI.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida akizungumza muda mfupi tu na Kituo cha Redio ambacho kwa 90% kina MAHABA ya wazi na Klabu ya Yanga na kupenda kuwa na CHUKI ya wazi na Klabu ya Simba cha E FM leo Jerry Muro kasema nanukuu " Mtu mzima na akili zako tena Mtoto wa Kiume unaacha kufanya mambo yako kutwa UNAWASHWA WASHWA na kuzunguka huku na kule kuzizungumzia Yanga na Azam kama siyo anataka KUKUNWA huyu anataka nini? " mwisho wa kumnukuu Jerry Muro.

Kama wewe unajijua ni Mdau wa Michezo na Mwana Michezo tafadhali toa maoni yako hapa ya nini kifanyike ili hali hii IKOME au IISHE kabisa kwa maslahi mazima ya mchezo wetu pendwa wa Soka au Kandanda.

Karibuni sana tujadili.
Wewe Popoma hakuna asiekujua kuwa wewe ni mnazi wa Mbumbumbu fc a.k.a wa Matopeni. Au unadhani kubadili ID ndio utatuzuga?
 
Acha ushabiki hapa!! Simba wanataka Ubingwa wa Mezani, kitu ambacho hakipo!!

Hakuna anae kurupuka kutukana kama ww hujamtukana.
 
Katika hali inayoonyesha kuwa kama hali hii haitadhibitiwa haraka na upesi na Shirikisho la Soka Tanzania TFF, Serikali na Wadau kuna siku tutashuhudia dhahama kubwa nchini Tanzania katika Sekta ya Michezo itakayosababishwa hasa na Msemaji wa Klabu ya Yanga Jerry Muro ambae anaonekana hapa Tanzania yeye ni mtu wa nne kwa umuhimu baada ya Rais, Makamu na Waziri Mkuu.

Huyu msemaji wa Klabu ya Yanga kila mara amekuwa akija na kauli chafu, mbaya na za dharau dhidi ya mwenzake wa Klabu ya Simba Haji Manara.

Mimi siyo mdau wa mpira wala mfuatiliaji wa mpira na sina hata Klabu ninayoishabikia hapa Tanzania zaidi tu ya Timu Za Taifa ile ya Taifa Stars na Twiga Stars ila nimeguswa kama mtu ninayependa jamii yenye MAADILI.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida akizungumza muda mfupi tu na Kituo cha Redio ambacho kwa 90% kina MAHABA ya wazi na Klabu ya Yanga na kupenda kuwa na CHUKI ya wazi na Klabu ya Simba cha E FM leo Jerry Muro kasema nanukuu " Mtu mzima na akili zako tena Mtoto wa Kiume unaacha kufanya mambo yako kutwa UNAWASHWA WASHWA na kuzunguka huku na kule kuzizungumzia Yanga na Azam kama siyo anataka KUKUNWA huyu anataka nini? " mwisho wa kumnukuu Jerry Muro.

Kama wewe unajijua ni Mdau wa Michezo na Mwana Michezo tafadhali toa maoni yako hapa ya nini kifanyike ili hali hii IKOME au IISHE kabisa kwa maslahi mazima ya mchezo wetu pendwa wa Soka au Kandanda.

Karibuni sana tujadili.
Jerry Muro ni janga la kitaifa kwa taifa, tasnia ya habari na sekta ya michezo nchini; ni fedheha kwa klabu kubwa kama Yanga kuwa na afisa mwandamizi na uso wa klabu ka jerry muro! Jerry Muro is a disgrace to the beautiful game. Simba na Hadji Manara watafute ushauri wa kisheria kuhusu kashfa za aina hiyo. Watoto wanajifunza nini kutoka kwa Jerry Muro?!
 
Wewe Popoma hakuna asiekujua kuwa wewe ni mnazi wa Mbumbumbu fc a.k.a wa Matopeni. Au unadhani kubadili ID ndio utatuzuga?

Mkuu popoma ndiyo nini tena? Huu ni msamiati mpya sana Kwangu. Nitashukuru ukunielewesha!
 
Jerry Muro ni janga la kitaifa kwa taifa, tasnia ya habari na sekta ya michezo nchini; ni fedheha kwa klabu kubwa kama Yanga kuwa na afisa mwandamizi na uso wa klabu ka jerry muro! Jerry Muro is a disgrace to the beautiful game. Simba na Hadji Manara watafute ushauri wa kisheria kuhusu kashfa za aina hiyo. Watoto wanajifunza nini kutoka kwa Jerry Muro?!

Nimesikitika kuna members humu kabisa wanamuunga mkono Jerry Muro na wamebariki hayo matusi yake. Naona dhana nzima ya Great Thinkers humu inaanza taratibu kupotea kama siyo kupoteza maana.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Katika hali inayoonyesha kuwa kama hali hii haitadhibitiwa haraka na upesi na Shirikisho la Soka Tanzania TFF, Serikali na Wadau kuna siku tutashuhudia dhahama kubwa nchini Tanzania katika Sekta ya Michezo itakayosababishwa hasa na Msemaji wa Klabu ya Yanga Jerry Muro ambae anaonekana hapa Tanzania yeye ni mtu wa nne kwa umuhimu baada ya Rais, Makamu na Waziri Mkuu.

Huyu msemaji wa Klabu ya Yanga kila mara amekuwa akija na kauli chafu, mbaya na za dharau dhidi ya mwenzake wa Klabu ya Simba Haji Manara.

Mimi siyo mdau wa mpira wala mfuatiliaji wa mpira na sina hata Klabu ninayoishabikia hapa Tanzania zaidi tu ya Timu Za Taifa ile ya Taifa Stars na Twiga Stars ila nimeguswa kama mtu ninayependa jamii yenye MAADILI.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida akizungumza muda mfupi tu na Kituo cha Redio ambacho kwa 90% kina MAHABA ya wazi na Klabu ya Yanga na kupenda kuwa na CHUKI ya wazi na Klabu ya Simba cha E FM leo Jerry Muro kasema nanukuu " Mtu mzima na akili zako tena Mtoto wa Kiume unaacha kufanya mambo yako kutwa UNAWASHWA WASHWA na kuzunguka huku na kule kuzizungumzia Yanga na Azam kama siyo anataka KUKUNWA huyu anataka nini? " mwisho wa kumnukuu Jerry Muro.

Kama wewe unajijua ni Mdau wa Michezo na Mwana Michezo tafadhali toa maoni yako hapa ya nini kifanyike ili hali hii IKOME au IISHE kabisa kwa maslahi mazima ya mchezo wetu pendwa wa Soka au Kandanda.

Karibuni sana tujadili.

JERRY MURO NI MTOVU WA ADABU NA MKOSEFU WA MAADILI! KWA NAFASI YAKE HAKUTAKIWA KUSEMA MANENO HAYO!!!
 
nimepigia mistari maneno kama unataka kukunwa ........jana katoka kwa Waziri Nape kwa hiyo Jerry anamaanisha Nape amkune Haji?

hapo nakubaliana na wewe kwamba baada ya waziri mkuu ni Jerry Muro
 
Mbona akutaja jina la Manara. Kajisemea kwa yoyote anayefuatilia mambo ya Tanga na Azam. Akutaja jina LA mtu
 
Mimi kama mpenzi wa Yanga siungi hoja mkono, ni baada ya kugundua kuwa Jerry Muro amekuwa msemaji anayewakosesha raha. Asa mashabiki wa simba na kauli zake za kizalendo kwa klabu anayo ifanyia kazi.
 
Back
Top Bottom