Jerry Muro: Vyombo vya habari vimemuona Bashite tu vyeti feki? Zitto Kabwe hafai Urais TFF

Alafu jamaa anaongea huyo, amezi hata mate [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeye ndio alikuwa anawaongoza watangazaji yaani alitawala kipindi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Isijekuwa ni kolabo kati ya TV husika, Bashite na huyo Jerry ili kurudisha taratibu mahusiano yenye faida kibiashara kati ya hiyo media na Bashite baada ya lile sekeseke?

Maana unaweza kuwa unaumwa na upendi kuchomwa sindano. Lakini kama sindano ndiyo njia rahisi ya kukupatia ahueni inabidi tu ukaze tako kwa uvumilivu ili dawa ikuingie vizuri upate kupona.
 
Hapo um
Hapo umenena, hata mimi nimemshangaa akisema mabilioni hayo ya waliyokuwa wakilipwa wenye vyeti feki yameokolewa! anasahau kwamba kwakuondolewa kazi lazima nafasi zao zizibwe na hela ileile itakuwa inalipwa. Nadhani Muro anasaka ajira kiana
 
Hivi mnao kesha kusema bashite hana cheti ilihali aliyeibua hiyo ishu ameshindwa kuthibitisha hata kimoja ww unatoa wapi ujasili wa kuongea uongoooo! Kama hamkumbuki wabongo ni wajinga sana wa kupotezwa kwa kitu kidogo watu wanaendelea na makubwa kama mihadarati we dili na hicho cheti si huna akili! Mwenzako amekuwekea hiyo uendelee yy anatafuta tenda ya kununua trein ya umeme hela katoa wapi hutaki kuhoji hicho na ukitaka kujua kama wabongo wajinga fuatilia vanesa na shishi baby waliigizaga tu kama ugomvi iliangaliwa na mil 3 kwa wiki yaani ujinga kwetu ndiyo dili vyeti vyako au nn tafuta maisha yako watoto waende shule ya bule.
 
Hapo um

Hapo umenena, hata mimi nimemshangaa akisema mabilioni hayo ya waliyokuwa wakilipwa wenye vyeti feki yameokolewa! anasahau kwamba kwakuondolewa kazi lazima nafasi zao zizibwe na hela ileile itakuwa inalipwa. Nadhani Muro anasaka ajira kiana
Ndo maana nikasema tukiwa na watu wasiotafakari chochote kinachosemwa na mkubwa na kisha kutangazia umma bila ufafanuzi ni janga. Hawa ndo wanaotutangazia kwenye vyombo vya habari "MAITI 6 ZIMEOKOLEWA".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…