Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,345
- 10,885
QUOTE=boma2000;Mimi nijuavyo TBC1 na TBC ni mali ya watanzania wote. Sasa ukisema inamilikiwa na mafisadi 100% sikuelewi kwani tuliiuza lini?
Mkubwa,ina maana hajui kweli au? Upo TZ kweli? Unashangaa mafisadi kumiliki TBC1? Mbona hushangii mafisadi kumiliki nchi yote? Habari ndo iyo.
Mkubwa,ina maana hajui kweli au? Upo TZ kweli? Unashangaa mafisadi kumiliki TBC1? Mbona hushangii mafisadi kumiliki nchi yote? Habari ndo iyo.