Jerry Silaa kutolewa ardhi, tutarajie tena migogoro ya ardhi kuanza kuibuka upya na matapeli wa ardhi kuanza kutembea vifua mbele

Fala ni wwe weka huo ushahidi kama kweli kuna fidia yoyote unamdai Jerry Silaa,tapeli mkubwa wa Aridhi wwe Jerry kakunyooshaa kwa utapeli wako!!
 
Fala ni wwe weka huo ushahidi kama kweli kuna fidia yoyote unamdai Jerry Silaa,tapeli mkubwa wa Aridhi wwe Jerry kakunyooshaa kwa utapeli wako!!
Mkuu ni nani alieandika kuwa kuna fidia yoyote anamdai Jerry Silaa?
 
Huyu Jamaa Jembe sana!!
 
Wamemtoa jerry kusudi ili wababe wa ardhi wazidi kuwazulumu wanyonge tangu ameingia huyu waziri badala ya jerry kumekuwa kimya hakuna anaesaidiwa matatizo ya ardhi na akuna tena ile klinik ya ardhi kutatua kero na sasa yatarudi yale ya zamani kupata hati mpaka uhonge, sasa hivi ukitaka kupimiwa nyumba yako ukienda ardhi wanakuambia lete million 1 tukipimie wanakuja kupima na kuweka mipaka yako pesa zinaingia mifukoni tena anakuja anategeneza mgogoro wewe na jirani yako ukilalamika mbona ardhi yangu kipande umempa jirani anakuambia lete million 1 na wewe tukupimie mipaka yako nimefanyiwa juzi na jirani yangu ilala kamleta mpimaji kamuwekea mpaka kwenye geti langu namuuliza mbona nyumba yangu na kwenye hati meter urefu na upana ipo sawa kama ilivyo kwenye hati anasema wewe umezidi kwa huyu na weww ardhi yako jirani wa pili kakuchukulia lete million tukupimie sasa anatengeneza ugomvi majirani tumeishi zaidi ya miaka 25 bila matatizo
 
Huyu kijana toka atolewe ardhi amepoa.
Zile kashi kashi vs mushi +mahululu hazipo tena.
Hamna tena zile kauli za ma tycoon wa ardhi.
 
Raisi anazidiwa ujanja na washauri wake ambao wengi wao wanafaidika na wizi wa ardhi. Hao ndio waliomshauri amtoe pale na kumpeleka kusikojulikana, ili pale awekwe mtu wao wa kumdhibiti kiurahisi bila raisi kujua.
 
Huyu kijana toka atolewe ardhi amepoa.
Zile kashi kashi vs mushi +mahululu hazipo tena.
Hamna tena zile kauli za ma tycoon wa ardhi.
Huko hakuna wizi, sasa unatarajia umuone anampigania nani alieibiwa haki yake?

Unaambiwa toka uhuru mpaka leo hakuna wizara ngumu na yenye matatizo mengi kama ya ardhi. Maana matapeli wengi wamefanikiwa kupitia ardhi kwa kujenga au kuuza ardhi ambazo sio zao.
 
Hata huko alipopelekwa bado raia tunapigwa sana. Mambo ni mengi.

Ila upande wa Ardhi huyu mwamba aliitendea haki ile wizara. Kwa muda mfupi ametatua mambo mengi sana.
 
Elewa madamu prezidaa hatafuti mchapakazi anatafuta mleta kura... Sikila mchapakazi huleta kura nyingi!!
 
Raisi anawazia 2025 na wanao weza kumpigia kampeni kwa kumuingizia mapikipiki kumfadhili helikopta na MAFUTA

Zaidi wanao Wateja na kuwapoteza washindani wake

Lakini aelewe MUNGU hafananishwi na yeyoto

Na majibu ni hapapapa Duniani
 
Elewa madamu prezidaa hatafuti mchapakazi anatafuta mleta kura... Sikila mchapakazi huleta kura nyingi!!
Yeye ni mpiga kura au mkurugenzi wa tume ya uchaguzi?

Maana kwa mfumo wa tume ya uchaguzi iliyopo hata Jerry Slaa asipokuwepo bado kura zitapatikana tu kutoka kwa wasiojulikana.
 
Raisi anawazia 2025 na wanao weza kumpigia kampeni kwa kumuingizia mapikipiki kumfadhili helikopta na MAFUTA

Zaidi wanao Wateja na kuwapoteza washindani wake

Lakini aelewe MUNGU hafananishwi na yeyoto

Na majibu ni hapapapa Duniani
Wenye vituo vya mafuta wana nguvu sana huko serekalini na ndiyo wamemuondoa Jerry Aridhi!!
 
Jerry ni tapeli kama hao matapeli wengine uliotaja,usidanganywe na sanaa unazoziona kwenye runinga mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…