jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Hayajakukuta ndiyo maana unatomboka hovyo,haya maneno akiyasikia yule Mama aliyekua Katibu kipindi cha Mwalimu aliyerudishiwa haki yake na Jerry atakuona unaongea kama mzushi tu uliyetumwa na matapeli wa Aridhi kumtukana Jerry!!Jerry ni tapeli kama hao matapeli wengine uliotaja,usidanganywe na sanaa unazoziona kwenye runinga mkuu