Jerry Silaa: Magufuli acha ubabe!

Enzi hizo unamuunga mkono mzee baba akivunja sheria hahahah
 
KUMBE TATIZO NI HILI..
"Nchi hii siyo ya kwake na lazima atambue kuwa halmashauri zote ziko kisheria hivyo atumie vikao rasmi kutoa maagizo yake,"alisema Silaa
LEO NIMEPATA JIBU
Wazee wa kufukua nyuzi hii ni 2012, kuna wengine walikuwa form II humu....
 
KUMBE TATIZO NI HILI..
"Nchi hii siyo ya kwake na lazima atambue kuwa halmashauri zote ziko kisheria hivyo atumie vikao rasmi kutoa maagizo yake,"alisema Silaa
LEO NIMEPATA JIBU
Cha ajabu huyo huyo Magufuli karuhusu machinga mpaka barabarani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…