Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini wewee mkaldayoBox boy acha bangi
Sio mchezoMnamkosesha dogo u dc kufufua huu uzi
[emoji1][emoji1][emoji1]nilijua ati kasema haya juzi jana ama leo weee !!!! angegeuka supu!!
Enzi hizo unamuunga mkono mzee baba akivunja sheria hahahahHuyu Meya najua yuko hapa JF ila ana akili fupi na Magufuli ana hoja ya msingi..
Watu wenyewe walioweka mabango hawalipi kwa sababu serikali na wanaohusika ni legelege ,, Sasa kwa nini barabara isiongezwe ili kupunguza foleni.. Huyu jamaa hajui kuwa serikali inapoteza mapato kiasi gani na nguvu kazi kwa sababu ya watu kuishi barabarani kwenye foleni kubwa..eti mabango yanaiingizia serikali pesa kwa hiyo barabara zisipanuliwe...
BIG JOKER....
Wazee wa kufukua nyuzi hii ni 2012, kuna wengine walikuwa form II humu....
Cha ajabu huyo huyo Magufuli karuhusu machinga mpaka barabarani.KUMBE TATIZO NI HILI..
"Nchi hii siyo ya kwake na lazima atambue kuwa halmashauri zote ziko kisheria hivyo atumie vikao rasmi kutoa maagizo yake,"alisema Silaa
LEO NIMEPATA JIBU
sasa unataka machinga wafungue frame/goli/maduka? Nature yao ni kuzunguka, wacha wazurure sema wawekewe utaratibu unaofaa.Cha ajabu huyo huyo Magufuli karuhusu machinga mpaka barabarani.