Huyu dogo mpiga dili sana...Siku ile walikesha na mwana wa mfalme kutaka kumrambisha mkwanja Waitara kule Ukonga,lkn Wakurya wauza mayai wa Kitunda walikuwa na panga viunoni wakimlinda Waitara kila anapooenda
Mpaka kunakucha vijana wa kijani hawaamini...Sogo Silaa aliupania sana Ubunge,alipotangazwa Waitara Dogo alilia kama kichanga kinatahiriwa...
Dogo alizidi dharau,anapiga kampeni Ukonga anaenda kulala Oystebay,muda wote wa Umeya haonekani Ukonga,
Kaiharibu Ilala,Round about zote kaweka maurembo ya mabati,unakuta badala ya kuweka bustani na maua halisi kupendezesha mji,kijikampuni chake kikachukua tender ya kuweka mamba wa madebe na mabati
Deal za kubeba takataka kupeleka Pugu akajigawia mwenyewe,matokeo yake Mitaa ikawa inanuka kwa uchafu maaana taka haziendi Pugu kwa wakati
Yeye na Antony Mavunde wakawa na ndoto za kuunda baraza jipya la Mawaziri,senzi kabisa kafisadi kasogo dogo haka!!Meya Ilala fukunyua wizi wa huyu mtu woooote