Jerry Silaa, mbona hututembelei Manzese na Tandale, au kwa Mpalange unapita pita maeneo ya matajiri tu, hatukuoni vijijini!

Naona salender club pale
Kuna kituo cha mafuta kinawekwa

Ova
 
Huyu dogo kazi itamshinda. Nchi ya watu milioni 60, uanze kutembelea kiwanja kimoja kimoja. Utamaliza lini mogogoro ya viwanja ya nchi nzima. Mliokaribu nae mshutueni.
 
πŸ€”πŸ’­ πŸ”­πŸ“
 
Hata mikocheni kuna skwea mita 500, acha Bunju huko kwa wachoma mikaa, na unainunua kwa bei mzito
Sasa billionaire ugombanie sqm 500 kwa wachoma mikaa? Wewe ni billionaire au millionaire au mnyonge?
 
Ni waziri mshamba asiyejua majukumu mtu wa kujikweza hana lolote
Tanzania ina viongozi wengi wasiojua majukumu yao na wengi hatuoni hilo au tunaona ni sawa
Hii mada ni mfano mzuri namna anavyodeal na migogoro ni sawa na mtu asiye na level yoyote ya elimu ndiyo anaweza kufanya mambo kama yeye hajui afanye nini
Serikali yetu haina mipango kabisa na imewashinda hawa watu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…