Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Police have confirmed that the accident has occurred and that there were four people on board the helicopter but only two have thus far been identified, one of them being the pilot, Captain William Silaa. Capt Silaa is also the father of the outgoing Mayor of Ilala Municipality, Mr Jerry Silaa.Dr Slaa na urubani wa ndege wapi na wapi!
Huyu Jerry anadai baba yake alikuwa rubani wa ndege.
Dr Slaa wa Chadema yeye hakuwai kuwa rubani wa aina yoyote.
So you can see the different between Jerry's father and Dr Slaa.
Baba yake alikuwa ni rubani wa Chopper sio NDEGEDr Slaa na urubani wa ndege wapi na wapi!
Huyu Jerry anadai baba yake alikuwa rubani wa ndege.
Dr Slaa wa Chadema yeye hakuwai kuwa rubani wa aina yoyote.
So you can see the different between Jerry's father and Dr Slaa.
Ni Silaa au Slaa?Baba yake ni Captain Wiliam Slaa, alifariki kwenye ajali iliyochukua uhai wa aliyekuwa Mbunge wa Ludewa Mh. Deogratius Filikunjombe
View attachment 2851362
Au Silaha...Ni Silaa au Slaa?
Tumia kichwa badala ya kiungo cha chini, Silaa na Slaa ni jina moja? Acha uvivuKuna huyu waziri namsikia sana sasa hivi, Jerry Slaa, je huyu ni mtoto wa Dkt Slaa? Yule aliyekuwa Chadema?
Maana wanasema mtoto wa simba ni simba.... naomba kuwasiliana
Kwa akili yako hii Mosha, Mushi, Moshi ni jina moja. Huku ni kukosa umakini, ni uzembe, ni uvivuKuna huyu waziri namsikia sana sasa hivi, Jerry Slaa, je huyu ni mtoto wa Dkt Slaa? Yule aliyekuwa Chadema?
Maana wanasema mtoto wa simba ni simba.... naomba kuwasiliana
Ni Silaa, sio Slaa. Tazama tofauti ya hizo spelling.Kuna huyu waziri namsikia sana sasa hivi, Jerry Slaa, je huyu ni mtoto wa Dkt Slaa? Yule aliyekuwa Chadema?
Maana wanasema mtoto wa simba ni simba.... naomba kuwasiliana
Hivi wenzetu shule mlienda kufanya nini? Kama unashindwa kuandika Silaa ukaona tofauti na Slaa basi wewe si ridhiki.Kuna huyu waziri namsikia sana sasa hivi, Jerry Slaa, je huyu ni mtoto wa Dkt Slaa? Yule aliyekuwa Chadema?
Maana wanasema mtoto wa simba ni simba.... naomba kuwasiliana
Kafanana na mjukuu wakeBaba yake ni Captain Wiliam Slaa, alifariki kwenye ajali iliyochukua uhai wa aliyekuwa Mbunge wa Ludewa Mh. Deogratius Filikunjombe
View attachment 2851362
Halafu jina lake haliandikwi "Slaa" bali linaandila "Silaa". Kwa hiyo kuna tofauti kubwa tu!Baba yake ni Captain Wiliam Slaa, alifariki kwenye ajali iliyochukua uhai wa aliyekuwa Mbunge wa Ludewa Mh. Deogratius Filikunjombe
View attachment 2851362
Kuna huyu waziri namsikia sana sasa hivi, Jerry Slaa, je huyu ni mtoto wa Dkt Slaa? Yule aliyekuwa Chadema?
Maana wanasema mtoto wa simba ni simba.... naomba kuwasiliana
Tumia kichwa badala ya kiungo cha chini, Silaa na Slaa ni jina moja? Acha uvivu
Hivi wenzetu shule mlienda kufanya nini? Kama unashindwa kuandika Silaa ukaona tofauti na Slaa basi wewe si ridhiki.
Matusi ya kazi gani? Mimi naona mara nyingi akiitwa na kuandikwa Jerry SlaaNi Silaa, sio Slaa. Tazama tofauti ya hizo spelling.
Chopper ni aina ya ndege anyway..potezeaBaba yake alikuwa ni rubani wa Chopper sio NDEGE
DuhAu Silaha...
Kwahiyo wewe unaishi kwa kukopi na kupesti!Matusi ya kazi gani? Mimi naona mara nyingi akiitwa na kuandikwa Jerry Slaa
View attachment 2851381
Hakuna mtu anaitwa Jerry Slaa ambaye ni waziri Tanzania... Anaitwa Jerry Silaa (siyo Slaa).Kuna huyu waziri namsikia sana sasa hivi, Jerry Slaa, je huyu ni mtoto wa Dkt Slaa? Yule aliyekuwa Chadema?
Maana wanasema mtoto wa simba ni simba.... naomba kuwasiliana
Ahaa! Kumbe Chopper ni kwanja la kufyekea mpunga, ndiyo sababu lina kwanja kubwa na dogo.Baba yake alikuwa ni rubani wa Chopper sio NDEGE