Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Mbunge wa Ukonga akichangia bajeti ya Wizara ya Habari na Mawasiliano leo Bungeni, amesema licha ya Serikali kuwa na Kituo cha Taifa Cha Takwimu za Mtandao (NIDC) na Mamlaka ya Serikali ya Mtandao (eGA) ambayo inasimamia mifumo ya Tehama ya serikali bado nchi yetu haina Mfumo Mkuu wa Kanzidata (Central Database System) ambayo inataarifa zote muhimu za Mtanzania.
Amesema “leo Mtanzania akitaka kuomba mkopo ataombwa nyaraka mbalimbali kwa sababu hakuna sehemu moja ambapo benki itaenda ikakuta taarifa zote za mtanzania huyo na kuweza kumsaidia”
Ameendelea “ juzi nilitembelea ofisi ya mtu mmoja nikamkuta ana sign nyaraka za mikopo sio chini ya 40 na ametia sahihi mara 219 kitu ambacho tungekuwa na Central Database System angesign tuu kielekroniki “agreed” angepata mkopo wake.
Amesema “leo Mtanzania akitaka kuomba mkopo ataombwa nyaraka mbalimbali kwa sababu hakuna sehemu moja ambapo benki itaenda ikakuta taarifa zote za mtanzania huyo na kuweza kumsaidia”
Ameendelea “ juzi nilitembelea ofisi ya mtu mmoja nikamkuta ana sign nyaraka za mikopo sio chini ya 40 na ametia sahihi mara 219 kitu ambacho tungekuwa na Central Database System angesign tuu kielekroniki “agreed” angepata mkopo wake.