Pre GE2025 Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unapima upepo hatukutaki Wana ukonga kagombee KWENU unakoishi msasani
 
Eneo la viwanda halihitaji barabara?
Hivi maendeleo yanafata watu au watu wafuate maendeleo.

Maeneo uliyoyataja ni machache kuwa yamevamiwa, ila kwa nini kusipo vamiwa napo hakuna miundombinu?

N.B Jimbo la ukonga limepakana na wilaya mbili za mkoa wa Pwani ambazo ni Kisarawe na Mkuranga.
 
Kama mmevamia industrial area maana yake hamna uhalali wa kulalamika pia hamjui wa kumlalamikia mnaenda kumsumbua mbunge ambaye Ana majukukumu tofauti kabisa..
 
Uko sahihi. Mbunge kazi yake kubwa ni kupokea Posha na Mshahara. Akijitahidi sana abwabwaje na kuunga mkono hoja kwa 100% Bungeni. Baada ya miaka mitano tutapanga tena foleni kumchagua. Kero zetu hazimhusu asilani.
 
Nenda kaishi mbezi kuna lami kila mtaa...huwezi ukaja sehemu ukaanzisha mji kisha unamlaumu mbunge on a personal capacity kwani yeye ndiye alikwambia uhamie huko....
Alikujeje kuomba kura kwenye mji/makazi yalioanzishwa kiholelela??
 
Kama mmevamia industrial area maana yake hamna uhalali wa kulalamika pia hamjui wa kumlalamikia mnaenda kumsumbua mbunge ambaye Ana majukukumu tofauti kabisa..
Ilaumu Serikali kwa kuweka jimbo maeneo haramu na Mbunge kugombea maeneo haramu
 
Uko sahihi. Mbunge kazi yake kubwa ni kupokea Posha na Mshahara. Akijitahidi sana abwabwaje na kuunga mkono hoja kwa 100% Bungeni. Baada ya miaka mitano tutapanga tena foleni kumchagua. Kero zetu hazimhusu asilani.
Come clear chief tuache ushabiki tuache mihemko wajibu wa mbunge ni nini?
 
Maskio popo Jerry Slaa umeamua kuja kivingine hapa.

Wewe ni mbunge wa ovyo kuwahi kutokea katika historia ya bunge la tz.
 
Maskio popo Jerry Slaa umeamua kuja kivingine hapa.

Wewe ni mbunge wa ovyo kuwahi kutokea katika historia ya bunge la tz.
Jerry ni kama maji usipoyaoga utayanywa usipoyanywa utanawa huna namna aisee we jipendekeze tu usaidiwe
 
Jerry ni kama maji usipoyaoga utayanywa usipoyanywa utanawa huna namna aisee we jipendekeze tu usaidiwe
Kama huwa unamnywa wewe huo ni mchezo wako binafsi, usihusishe na wengine.
 
Kule ni temeke Jerry tena kutokea mjini ni karibu kupitia buza unakuja huku ukonga kutafuta nini?
Huu ni Ujinga sasa. Unadhani wote wameajiriwa? Kama una Biashara Banana au una Bucha Machinjio yako wapi??
 
Come clear chief tuache ushabiki tuache mihemko wajibu wa mbunge ni nini?
Ni kutuwakikisha wapiga kura kuhusu changamoto za Kijamii zinazotusibu ikiwa ni pamoja na ubovu wa Miundombinu
 
Ni kutuwakikisha wapiga kura kuhusu changamoto za Kijamii zinazotusibu ikiwa ni pamoja na ubovu wa Miundombinu
Wanaitwa law makers, it is high level of illiteracy to blame a law maker in such a mess
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…