ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Chadema ni matapeli,wazushi na wapuuziMbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.
Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.
Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.
--
Mamlaka zatolea ufafanuzi gharama za ujenzi huo, kujua zaidi soma TARURA yaelezea kuhusu Daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6
View attachment 2786231
View: https://www.instagram.com/p/CyvBgqxtxGY/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==