Uchaguzi 2020 Jesca Kishoa Kafulila kuchukua fomu kugombea Ubunge CHADEMA Iramba ni kejeli na dharau kama si matusi kwa vijana wenzako

Uchaguzi 2020 Jesca Kishoa Kafulila kuchukua fomu kugombea Ubunge CHADEMA Iramba ni kejeli na dharau kama si matusi kwa vijana wenzako

Mume wake ni RAS sidhani kama atadumu CDM, CDM watafute mtu mwingine tofauti ya huyu muda wowote ataunga mkono juhudi.
Na namna ni kumpitisha huko kwenye mchakato then CHUJIO limabakiza
 
Nakushauri utulie tulii mwacheni mama wa watu apiganie haki yake.

Ukitaka mbunge aliye yafanikisha yoote hayo uliyo muuliza mh Kishoa huwezi kumpata kamwe.
Haya maswali yaamhusu Jesca pekee..nitamuulizaje mtu mwingine!Tanzania Kuna tabia ya ajabu eti mwanasiasa wa upande wako akikisolewa ni nongwa !Nilichowasilisha kuhusu Hali kisiasa kuhusu Jimbo hili ni sahihi!
Ndio maana wengi mnaopinga hata Iramba hamuijui Bali mna mahaba na CHADEMA,...kama.mimi!Ila namkosoa Jesca kwa matendo take bila kificho wapa haya kwa maslahi ya Demokrasia!
Ndio maana si mfuasi wake au hata yeye anaweza kutia timu hapa kuja kujibu hoja chache nilizowasilisha!
 
Wew mnafki umetumwa na Mwigulu
Huyo mwigulu yeye kafanya nini kwa wana Iramba

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Mkuu acha mihemko....hapa hatumzungumzii Mwigulu....hivi shule mlienda kusomea Nini!
Hii ndio changamoto na ujinga tulio nao!
Akikisolewa Chadema tuna nuna....!
Nikikuambia Mwigulu huwa anashindaje utaona mantiki yangu!
Hivi unajua kuwa Jesca alifanya Kampeni takribani siku kumi tu!
Ni mahaba tu ya watu ndio yalimpa zile kura!
Nakuhakikishia Kama Jesca angeamua kurudi vijijini...kunywa mtukura,togwa,kuzika,kusali,kucheza ngoma,kufanya mijadala na wanafunzi,kuunda vikundi vya kina mama na bodaboda !Mwigulu angekuwa mwepesi mno!
Siasa na Sayansi....kihistoria Iramba ilikuwa na uchifu/mtemi usio na nguvu Sana ktk maisha ya watu!Hali hii bado ipo kwenye damu za wengi!
Unahitaji akili kubwa kuwapata watu Hawa!...Mwigulu anajua hili!
Afu ukome kuninasibisha na Mwigulu!
 
Awali NI kupongeze Sana,kwa kitendo chako Cha kijasiri kuwa licha ya changamoto na matatizo lukuki iliyopitia CHADEMA umebaki imara!

Ni lazima nikusifu kwa kuwa hats ndani ya familia yako changamoto hizi zilitamalaki. Hongera Sana!

Ni bahati mbaya sana huku ndani JF tunatumia majina bandia. Mimi Ni mshiriki was Siasa za Iramba Magharibi nyuma ya jukwaa. Nikiamini kuwa hakuna mbadala wa kichocheo kikubwa Cha Maendeleo zaidi ya Utawala Bora, kwa msisitizo Good Gorvanance.

Mdogo wangu Jesca, nimekupongeza kwa ujasiri wako kuwa bado upo CHADEMA naomba pia nikupongeze pia kuwa mwaka huu pia umeamua kugombea Ubunge Iramba Magharibi.

Kwangu Mimi pongezi hizi za pili ni muhimu zaidi kwa kuwa nimeshangazwa kuwa eti umerudi like ulipokutelekeza.

Kisiasa hili linawezekana kwa kuwa nyie wanasiasa Front Liners huwa mnajali zaidi : Unapata Nini, Wapi na Njia gani utatumia kupata hicho

Jesca unakumbuka Hali ya kiafya uliyokuwa nayo katikati ya Kampeni Mwaka 2015? Unakumbuka kuwa Kuna watu walikuwa wanakufanyia Kampeni kwa niaba yako kwa maana uliwalipa?

Jesca unafahamu pia kuwa kuna kundi lingine lilikuwa mbele yako likikupigania wewe na CHADEMA bila kujali kuwa unawalipa, mnafahamiana au la?

Watu Hawa walitoa muda, rasilimali zao kuhakikisha kuwa Unapata kura zile kwa jasho na damu. Unafahamu Siasa za kishamba na kipumbavu anazofanya Mwigulu kwa maana hiyo Vijana wengine walihatarisha maisha yao kukupigania?

Jesca unafahamu Kuna watumishi wa umma walikuwa wanatoroka kazini kutoka mikoa ya mbali kwenda kusaidia CHADEMA na wewe haujawahi hata kutaka uwafamu?

Je, baada ya jitihada hizo zote ambazo bila Shaka zilikupa Ubunge wa Vitu Maalum uliufanyia nini Iramba?

Uliweka misingi gani ambayo CHADEMA ingejivunia baadaye?

Hivi uliwahi hata kuhudhuria vikao vya Madiwani uwakilishe mawazo yako kule huku ukijenga Chama. Sina uhakike Kama ulienda hata kuapishwa.

Jesca umwahahi kutembelea mara ngapi matawi ya CHADEMA, umefanya nini kupitia Ubunge wako kuhakikisha unaimarisha Chama huku vijijini?

Kuna kundi la watu huwa lina amini kuwa wanasiasa siasa ni ujanja ujanja na usanii penginekwa kuwatumia wajinga ili wao, wanasiasa waendelee kula. Watu hawa wanaweza kutumia mfano wako kujenga hoja zao.

Kwa mapenzi niliyo nayo kwa Siasa mbadala naomba niishie hapa. Kwa misingi dhaifu uliyoweka unachofanya ni ku bet ili vyovyote itakavyo kuwa urudi tena kula kwa Viti Maalum.

Vijana na pengine wazee watakao kuwa mnakimbizana na kumpigia kelele Mwigulu na CCM Wana machungu mioyoni mwao Ila hawana jinsi wanajua wewe ni mnufaika wa Mbichi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamiii, una nukia waridi bila shaka na wao mpaka Oktoba nao watahisi hako ka waridi

All the Best Dada!
Hii ni barua kwenda kwa Jesca; hapa inafanya nini!
 
Jesca hana muda wa kujibishana na gamba moja fulani
Haya maswali yaamhusu Jesca pekee..nitamuulizaje mtu mwingine!Tanzania Kuna tabia ya ajabu eti mwanasiasa wa upande wako akikisolewa ni nongwa !Nilichowasilisha kuhusu Hali kisiasa kuhusu Jimbo hili ni sahihi!
Ndio maana wengi mnaopinga hata Iramba hamuijui Bali mna mahaba na CHADEMA,...kama.mimi!Ila namkosoa Jesca kwa matendo take bila kificho wapa haya kwa maslahi ya Demokrasia!
Ndio maana si mfuasi wake au hata yeye anaweza kutia timu hapa kuja kujibu hoja chache nilizowasilisha!
 
Mkuu acha mihemko....hapa hatumzungumzii Mwigulu....hivi shule mlienda kusomea Nini!
Hii ndio changamoto na ujinga tulio nao!
Akikisolewa Chadema tuna nuna....!
Nikikuambia Mwigulu huwa anashindaje utaona mantiki yangu!
Hivi unajua kuwa Jesca alifanya Kampeni takribani siku kumi tu!
Ni mahaba tu ya watu ndio yalimpa zile kura!
Nakuhakikishia Kama Jesca angeamua kurudi vijijini...kunywa mtukura,togwa,kuzika,kusali,kucheza ngoma,kufanya mijadala na wanafunzi,kuunda vikundi vya kina mama na bodaboda !Mwigulu angekuwa mwepesi mno!
Siasa na Sayansi....kihistoria Iramba ilikuwa na uchifu/mtemi usio na nguvu Sana ktk maisha ya watu!Hali hii bado ipo kwenye damu za wengi!
Unahitaji akili kubwa kuwapata watu Hawa!...Mwigulu anajua hili!
Afu ukome kuninasibisha na Mwigulu!
Kama vile nakuelewa
 
Awali NI kupongeze Sana,kwa kitendo chako Cha kijasiri kuwa licha ya changamoto na matatizo lukuki iliyopitia CHADEMA umebaki imara!

Ni lazima nikusifu kwa kuwa hats ndani ya familia yako changamoto hizi zilitamalaki. Hongera Sana!

Ni bahati mbaya sana huku ndani JF tunatumia majina bandia. Mimi Ni mshiriki was Siasa za Iramba Magharibi nyuma ya jukwaa. Nikiamini kuwa hakuna mbadala wa kichocheo kikubwa Cha Maendeleo zaidi ya Utawala Bora, kwa msisitizo Good Gorvanance.

Mdogo wangu Jesca, nimekupongeza kwa ujasiri wako kuwa bado upo CHADEMA naomba pia nikupongeze pia kuwa mwaka huu pia umeamua kugombea Ubunge Iramba Magharibi.

Kwangu Mimi pongezi hizi za pili ni muhimu zaidi kwa kuwa nimeshangazwa kuwa eti umerudi like ulipokutelekeza.

Kisiasa hili linawezekana kwa kuwa nyie wanasiasa Front Liners huwa mnajali zaidi : Unapata Nini, Wapi na Njia gani utatumia kupata hicho

Jesca unakumbuka Hali ya kiafya uliyokuwa nayo katikati ya Kampeni Mwaka 2015? Unakumbuka kuwa Kuna watu walikuwa wanakufanyia Kampeni kwa niaba yako kwa maana uliwalipa?

Jesca unafahamu pia kuwa kuna kundi lingine lilikuwa mbele yako likikupigania wewe na CHADEMA bila kujali kuwa unawalipa, mnafahamiana au la?

Watu Hawa walitoa muda, rasilimali zao kuhakikisha kuwa Unapata kura zile kwa jasho na damu. Unafahamu Siasa za kishamba na kipumbavu anazofanya Mwigulu kwa maana hiyo Vijana wengine walihatarisha maisha yao kukupigania?

Jesca unafahamu Kuna watumishi wa umma walikuwa wanatoroka kazini kutoka mikoa ya mbali kwenda kusaidia CHADEMA na wewe haujawahi hata kutaka uwafamu?

Je, baada ya jitihada hizo zote ambazo bila Shaka zilikupa Ubunge wa Vitu Maalum uliufanyia nini Iramba?

Uliweka misingi gani ambayo CHADEMA ingejivunia baadaye?

Hivi uliwahi hata kuhudhuria vikao vya Madiwani uwakilishe mawazo yako kule huku ukijenga Chama. Sina uhakike Kama ulienda hata kuapishwa.

Jesca umwahahi kutembelea mara ngapi matawi ya CHADEMA, umefanya nini kupitia Ubunge wako kuhakikisha unaimarisha Chama huku vijijini?

Kuna kundi la watu huwa lina amini kuwa wanasiasa siasa ni ujanja ujanja na usanii penginekwa kuwatumia wajinga ili wao, wanasiasa waendelee kula. Watu hawa wanaweza kutumia mfano wako kujenga hoja zao.

Kwa mapenzi niliyo nayo kwa Siasa mbadala naomba niishie hapa. Kwa misingi dhaifu uliyoweka unachofanya ni ku bet ili vyovyote itakavyo kuwa urudi tena kula kwa Viti Maalum.

Vijana na pengine wazee watakao kuwa mnakimbizana na kumpigia kelele Mwigulu na CCM Wana machungu mioyoni mwao Ila hawana jinsi wanajua wewe ni mnufaika wa Mbichi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamiii, una nukia waridi bila shaka na wao mpaka Oktoba nao watahisi hako ka waridi

All the Best Dada!
Andishi lako lingenoga sana kama ungeainisha pia yafuatayo:
1. Wabunge wa Upinzani (Akiwepo Jesca) wamezuiwa kabisa kabisa kufanya siasa
2. Wabunge wa Upinzani (Akiwepo Jesca) wamekutwa wakishinda mahakamani kwa kesi ambazo hata wewe unaelewa kama ni za kubumba au za haki
3. Wabunge wa Upinzani wamekuwa wakibanwa sana bungeni
4. Jesca Kishoa Kafulila alipeleka michango na vitu jimboni Iramba alikataliwa na aliyekataza sio mpokeaji bali mamlaka
5. Jesca Kishoa ni MBUNGE WA MKOA WA SINGIDA sio MBUNGE WA Iramba na katika kutetea Wana Singida Jesca AMEONGOZA KWA MICHANGO MINGI BUNGENI kuliko hata Martha Mlata wa CCM mwenye title kama yake
6. Jesca ni miongoni mwa Wabunge walioshindwa KUNUNULIKA
7. Jesca katika kutetea HAKI na DEMOKRASIA alikuwa tayari hata ndoa yake itetereke. Thanks God hekima imetangulia ndoa angalau inaonekana ipo IMARA.
8. Jesca amefungua ofisi ya Mbunge Iramba na ameweka mtumishi anayesikiliza kero za wananchi kama wabunge wengi wanavyofanya
9. Jesca anasomesha watoto katika shule kadhaa nchini wanaotokea Singida.
10. Mume wa Jesca pamoja na uanaume wake alikubali kuingia 'KINGI' (Rejea alichokisema Nasari kwenye Ile flash aliyonayo ya wanachadema wanaohamia CCM) lakini Mtoto wa Kike 'kakomaa' na Upinzani. ANAPASWA APONGEZWE angalau kwa UJASIRI tu kuliko kutengeneza threads za MAJUNGU kama hizi.
 
Andishi lako lingenoga sana kama ungeainisha pia yafuatayo:
1. Wabunge wa Upinzani (Akiwepo Jesca) wamezuiwa kabisa kabisa kufanya siasa
2. Wabunge wa Upinzani (Akiwepo Jesca) wamekutwa wakishinda mahakamani kwa kesi ambazo hata wewe unaelewa kama ni za kubumba au za haki
3. Wabunge wa Upinzani wamekuwa wakibanwa sana bungeni
4. Jesca Kishoa Kafulila alipeleka michango na vitu jimboni Iramba alikataliwa na aliyekataza sio mpokeaji bali mamlaka
5. Jesca Kishoa ni MBUNGE WA MKOA WA SINGIDA sio MBUNGE WA Iramba na katika kutetea Wana Singida Jesca AMEONGOZA KWA MICHANGO MINGI BUNGENI kuliko hata Martha Mlata wa CCM mwenye title kama yake
6. Jesca ni miongoni mwa Wabunge walioshindwa KUNUNULIKA
7. Jesca katika kutetea HAKI na DEMOKRASIA alikuwa tayari hata ndoa yake itetereke. Thanks God hekima imetangulia ndoa angalau inaonekana ipo IMARA.
8. Jesca amefungua ofisi ya Mbunge Iramba na ameweka mtumishi anayesikiliza kero za wananchi kama wabunge wengi wanavyofanya
9. Jesca anasomesha watoto katika shule kadhaa nchini wanaotokea Singida.
10. Mume wa Jesca pamoja na uanaume wake alikubali kuingia 'KINGI' (Rejea alichokisema Nasari kwenye Ile flash aliyonayo ya wanachadema wanaohamia CCM) lakini Mtoto wa Kike 'kakomaa' na Upinzani. ANAPASWA APONGEZWE angalau kwa UJASIRI tu kuliko kutengeneza threads za MAJUNGU kama hizi.
Ahsante Sana Kabwela.....amini usiamini Jesca angeweza kufanya zaidi ya hayo na kujijenga mno....ndani ya udikteta wa awamu ya Yesu! lakini alikosa nia,dhamira Kama so weledi!
Lakini maadam anagombea na Shetani ,wacha Mungu tutajua tutafanyaje!
Hata hivyo Kabwela Mimi sijaandika majungu....huu Ni ukweli...Ni lazima tuiishi!
Jesca anajua wazi na hawezi inuka kukanusha haya....ndio maana nimeandika mwishoni kuwa kwa heshima ya Demokrasia na Chama tumueleze hayo ajifunze!
Mimi kimsingi sikudhani Kama Jesca atarudi Iramba!
 
Awali NI kupongeze Sana,kwa kitendo chako Cha kijasiri kuwa licha ya changamoto na matatizo lukuki iliyopitia CHADEMA umebaki imara!

Ni lazima nikusifu kwa kuwa hats ndani ya familia yako changamoto hizi zilitamalaki. Hongera Sana!

Ni bahati mbaya sana huku ndani JF tunatumia majina bandia. Mimi Ni mshiriki was Siasa za Iramba Magharibi nyuma ya jukwaa. Nikiamini kuwa hakuna mbadala wa kichocheo kikubwa Cha Maendeleo zaidi ya Utawala Bora, kwa msisitizo Good Gorvanance.

Mdogo wangu Jesca, nimekupongeza kwa ujasiri wako kuwa bado upo CHADEMA naomba pia nikupongeze pia kuwa mwaka huu pia umeamua kugombea Ubunge Iramba Magharibi.

Kwangu Mimi pongezi hizi za pili ni muhimu zaidi kwa kuwa nimeshangazwa kuwa eti umerudi like ulipokutelekeza.

Kisiasa hili linawezekana kwa kuwa nyie wanasiasa Front Liners huwa mnajali zaidi : Unapata Nini, Wapi na Njia gani utatumia kupata hicho

Jesca unakumbuka Hali ya kiafya uliyokuwa nayo katikati ya Kampeni Mwaka 2015? Unakumbuka kuwa Kuna watu walikuwa wanakufanyia Kampeni kwa niaba yako kwa maana uliwalipa?

Jesca unafahamu pia kuwa kuna kundi lingine lilikuwa mbele yako likikupigania wewe na CHADEMA bila kujali kuwa unawalipa, mnafahamiana au la?

Watu Hawa walitoa muda, rasilimali zao kuhakikisha kuwa Unapata kura zile kwa jasho na damu. Unafahamu Siasa za kishamba na kipumbavu anazofanya Mwigulu kwa maana hiyo Vijana wengine walihatarisha maisha yao kukupigania?

Jesca unafahamu Kuna watumishi wa umma walikuwa wanatoroka kazini kutoka mikoa ya mbali kwenda kusaidia CHADEMA na wewe haujawahi hata kutaka uwafamu?

Je, baada ya jitihada hizo zote ambazo bila Shaka zilikupa Ubunge wa Vitu Maalum uliufanyia nini Iramba?

Uliweka misingi gani ambayo CHADEMA ingejivunia baadaye?

Hivi uliwahi hata kuhudhuria vikao vya Madiwani uwakilishe mawazo yako kule huku ukijenga Chama. Sina uhakike Kama ulienda hata kuapishwa.

Jesca umwahahi kutembelea mara ngapi matawi ya CHADEMA, umefanya nini kupitia Ubunge wako kuhakikisha unaimarisha Chama huku vijijini?

Kuna kundi la watu huwa lina amini kuwa wanasiasa siasa ni ujanja ujanja na usanii penginekwa kuwatumia wajinga ili wao, wanasiasa waendelee kula. Watu hawa wanaweza kutumia mfano wako kujenga hoja zao.

Kwa mapenzi niliyo nayo kwa Siasa mbadala naomba niishie hapa. Kwa misingi dhaifu uliyoweka unachofanya ni ku bet ili vyovyote itakavyo kuwa urudi tena kula kwa Viti Maalum.

Vijana na pengine wazee watakao kuwa mnakimbizana na kumpigia kelele Mwigulu na CCM Wana machungu mioyoni mwao Ila hawana jinsi wanajua wewe ni mnufaika wa Mbichi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamiii, una nukia waridi bila shaka na wao mpaka Oktoba nao watahisi hako ka waridi

All the Best Dada!
Sijaelewa huyu jeska yupo chadema au CCM na je ndio mme wa tumbili?
 
Mwendo mdundo dadangu!! As long as wana CDM wanakukubali na chama kimeshakubali hayo maneno hata kwenye khanga yapo!!
 
Jesca Kishoa na wafuasi wako bado mnao huu Waraka!
Najua mliutupa sasa nawakumbusha!
 
Back
Top Bottom