Jesca Kishoa: Mwigulu Nchemba ametuaibisha wanyiramba na wana Singida wote

Jesca Kishoa: Mwigulu Nchemba ametuaibisha wanyiramba na wana Singida wote

saidi kindole

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2012
Posts
310
Reaction score
792
mwigulu.jpg
 
ningekuwa Mwigulu ningeitisha Mkutano na wanahabari halafu nikanusha habari ile kwa kusema nilinukuliwa vibaya .

Ile ni aibu ya kujitakia
... Hansard haijawahi mnukuu mtu vibaya japo inaweza kuchezewa na wanasiasa uchwara.
 
PhD, na pia alichukua form ya uraisi,

Msifanye kosa tena mwez wa 10 kwenye uchaguzi mkuu,

Stay home Corona inaua or dance with me
 
Na hawa ndio wasomi wanaotegemewa na taifa.
 
Back
Top Bottom