saidi kindole
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 310
- 792
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningekuwa Mwigulu ningeitisha Mkutano na wanahabari halafu nikanushe habari ile kwa kusema nilinukuliwa vibaya .
Mkuu hizo ndio akili za maccm na malumumba mengi hata tuliyonayo humu jf..ningekuwa Mwigulu ningeitisha Mkutano na wanahabari halafu nikanusha habari ile kwa kusema nilinukuliwa vibaya .
Ile ni aibu ya kujitakia
... Hansard haijawahi mnukuu mtu vibaya japo inaweza kuchezewa na wanasiasa uchwara.ningekuwa Mwigulu ningeitisha Mkutano na wanahabari halafu nikanusha habari ile kwa kusema nilinukuliwa vibaya .
Ile ni aibu ya kujitakia
hakika Mwigulu Nchemba umetuvua nguo wanasingida.
Baadhi ya watu inaonekana bado hamjamshitukia Mwigulu Nchemba .
Ni hasara kubwa sana kwa nchiMkuu hizo ndio akili za maccm na malumumba mengi hata tuliyonayo humu jf..
Wengi wanatumia makalio kufikiri..
Shame.
Alikua kshalewa siku hiz Grants zitamuuwa anakunywa kama juice
Malumumba yanahaha sana ivi sasa maana na allowance ya buku 7 imesimamishwa..chakubanga kawaambia mpaka korona iishe..usione ndio maana wanaandika kwa hasira sana..hahahahahaNi hasara kubwa sana kwa nchi
PhD yake alipewa na chuo kikuu Cha wapi? Na ubunge hapa singida anataka kugombea Tena,?mwambie Prof kitilia ajiandae kuchukua Jimbo,Jimbo liko wazi
Kwani Mwigulu siyo msukuma?!
Kweli kabisa labda alinukuliwa vibayaningekuwa Mwigulu ningeitisha Mkutano na wanahabari halafu nikanushe habari ile kwa kusema nilinukuliwa vibaya .
Ile ni aibu ya kujitakia