mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Ni mnyiramba mwenye jina la kisukumaKwani Mwigulu siyo msukuma?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mnyiramba mwenye jina la kisukumaKwani Mwigulu siyo msukuma?!
Kumbe......mi nilijua hapo Iramba amehamia tu kama Magdalena Sakaya kule uyui!Ni mnyiramba mwenye jina la kisukuma
Acha niendelee kuamini akaunti yake imekuwa Hicked.Mwigulu Nchemba ameruka sarakasi akiwa amejifunga taulo kiononi alafu mbaya zaidi tukio hilo amelifanya ukweni.
Ni mnyiramba aisee kipimo cha kudetermine unyiramba ni nyama tuuKumbe......mi nilijua hapo Iramba amehamia tu kama Magdalena Sakaya kule uyui!
Bungeni ni akaunti bwashee?!Acha niendelee kuamini akaunti yake imekuwa Hicked.
Madelu hawezi kuongea hivyo hata kana ni njaa ya kisiasa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningekuwa Mwigulu ningeitisha Mkutano na wanahabari halafu nikanushe habari ile kwa kusema nilinukuliwa vibaya .
Ile ni aibu ya kujitakia
Wanapenda mambo ya gizani hawa jamaa zetu.Hawataki uwazi,kila kitu siri hadi ugonjwa hatari ambao dunia yote inatakiwa kushikamana ili kuutokomeza!Hawa ndiyo kila siku wanataka kuwa viongozi?
Kama kuna mtu anategemea lolote jipya,lenye mantiki na lenye maslahi kwa Tanzania yote toka kwa mwanambogamboga,basi huyo atakuwa mgeni na hawa jamaa.[emoji23]ALUTA KONTINYUA[emoji1535].... asisahau kwamba hizo ni akili za wanafisiemu...[emoji124][emoji124][emoji124]
Mwigulu yupo OBSESSED kuachwa na System ya MECCO, ni mnyiramba aliyechafua mawe yote ya asili kwa kuyachora jina lake.
Wasiojua phsicology hawawezi kumuelewa wataelewa kama sauti yake ilivyotokaMkuu hizo ndio akili za maccm na malumumba mengi hata tuliyonayo humu jf..
Wengi wanatumia makalio kufikiri..
Shame.
Bi Jesca sijiui ana maana gani kwani nilivyomuelewa mbunge ni kwamba yale yalikuwa mawazo yake binafsi.
Ni Mungu tu! Mungu huyu!Mungu akiamua kumshusha mtu anayejikweza ni dakika chache!! Karma inaanza kumtafuna polepole.ninauhakika km wore mliomt3ndea vibaya TL hajaomba ladhii kwa WaTz mtajuta mno
Akiitisha mkutano tu Polisi watalala nae mbele chezea CCM weweNingekuwa Mwigulu ningeitisha Mkutano na wanahabari halafu nikanushe habari ile kwa kusema nilinukuliwa vibaya .
Ile ni aibu ya kujitakia