Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Ya Chuo?mara nyingi inatokea kama mtoto wa kikwete aliwahi pata 0 ya kidato cha nne. Wewe ulipata kidato cha nne.?Lakini alipata zero 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya Chuo?mara nyingi inatokea kama mtoto wa kikwete aliwahi pata 0 ya kidato cha nne. Wewe ulipata kidato cha nne.?Lakini alipata zero 🤣🤣
Wewe mpumbavu,baba Yako mwenyewe huyo ana kashfa ya PhD fake hapo hatujafukua matokeo yake ya Sekondari.Wale walikuwa vilaza. Hakuna special diploma. Ndo maana kumbe wengine mna chuki. Mimi katika mambo ambayo nlimuunga mkono ni hili. Wale vilaza hawakupaswa kuwa pale. Sisi miaka yetu chuo kilikuwa kinachukua watu wenye akili.
Ya Advance sio chuoYa Chuo?mara nyingi inatokea kama mtoto wa kikwete aliwahi pata 0 ya kidato cha nne. Wewe ulipata kodato cha nne.?
Hataweza kukosa Viti Maalum huyu.Mambo ya ubunge 2025
Wale walikuwa vilaza. Hakuna special diploma. Ndo maana kumbe wengine mna chuki. Mimi katika mambo ambayo nlimuunga mkono ni hili. Wale vilaza hawakupaswa kuwa pale. Sisi miaka yetu chuo kilikuwa kinachukua watu wenye akiliWewe mpumbavu,baba Yako mwenyewe huyo ana kashfa ya PhD fake hapo hatujafukua matokeo yake ya Sekondari.
Hawakuwa vilaza bali Vijana waliofanya vizuri masoko ya sayansi na hesabu form 4 wakapelwkwa specydiploma Ili kuziba gap ya walimu wa Sayansi.
Ila yule aliyekuwa hajui kutafuta pesa akona ndio njia ya kupata pesa za fasta Kwa kuwatoa pale na kuwapelekea Vyuo vya ualimu kawaida
Hii ndio ilimpatia Masters?
Mwisho nakumbuka Mzee wangu alikaa miaka 2 ndio kuja kupata pension sijui angekufa kabla ingekuwaje lakini humwambii kitu kuhusu Magufuli [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Vikao leo,tukio mwakani?
Sio huyu
MAKAMBA JUNIOR,, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora hata huyu aliyefanya kwa akili yake, mbona yupo kibaka aliyeiba mitihani kabisa na humshangai umeshamzoea!.
Kama kilaza samia kaukwaa uraisi unadhani kipi kinashindikana?Huyu si ndio alipata zero harafu akaonekana Udom? 🤣🤣🤣🤣
Saizi wanamsogeza kwenye ulaji soon mtashika ni Mbunge huku watu wa huko wanakenua tuu 😁😁
Ndiyo anayoHahaha sahz si ana Master Degree.?
Acha kashfa ujue hilo ni kosa kimtandaoKama kilaza samia kaukwaa uraisi unadhani kipi kinashindikana?
Huenda alimaliza wenzake walipofukuzwa chuo, kwa mtoto wa kiongozi Tanzania lolote linawezekana.Hivi huyu alifanikiwa kumaliza chuo pale UDOM?
Kama PhD ya Faza
Kwahiyo kumtukana magufuli ni vizuri tu?Acha kashfa ujue hilo ni kosa kimtandao