Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Moronight walker pitia hapa.Hii habari yako ukweli ni mdogo mno,yaani majeruhi wako chini ya watano umekuja na mbiu kwamba M23 ni moto?,serious ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moronight walker pitia hapa.Hii habari yako ukweli ni mdogo mno,yaani majeruhi wako chini ya watano umekuja na mbiu kwamba M23 ni moto?,serious ??
Watutsi ni akili kubwa ndo mana wanawatawaka wahutu aka wabantuHawana lolote hao na sera zao za ubaguzi wa kimbari. Watapigwa na kuangamizwa. Wanafikiri wao waliumbwa kutawala mbari zingine. Watutsi na dharau zao kwa wabantu lazima wapigwe na washindwe.
Alwaaa wakibariiitiiiTakbirrr
M23 aisee ni shida! huko vitani wanatwanga na kwa jamii wanaonesha kitu inaitwa leadership kwa raia!.[emoji1787][emoji1787]
Tuliwanyoosha hao jamaa. Alafu Wana mbinu za kidwanzi nashangaa sijui kwanini maafisa wa jeshi la Congo wanaokamisheni hapa kwetu TMA hawatumii mbinu tunazowafunza kuwakabiri M23🙌Kiboko yao alikuwa kikwete tu
Please try to revisit you stories herein -wakati wote ni horror stories tu na kusifia waasi - hakuna popote unapoleta story zenye mizania - ni lawama tu zisizo kuwa na kichwa wala miguu - wakati mwingine nakuchukulia ni kama ni a paid mole uliye pandikizwa humu kwa lengo maalumu - sijawahi kukuona unashiriki kwenye topic nyingine zaidi ya kusifia so called M23 leadership quality na ujinga mwingine - yaani wewe masaa yote unawasifia sana waleta vurugu nchini Congo DRC, one more thing hizi latest photos na video clip nyingine za maiigizo tu hazina ukweli wowote, wewe hizi picha huwa unazipata pataje in advance - one may ask?? husitufanye wajinga.M23 aisee ni shida! huko vitani wanatwanga na kwa jamii wanaonesha kitu inaitwa leadership kwa raia!.🤣🤣
Tell you what Mr, people who can believe you are Marines only eg take a closer look at your inept comments - what do they tell you? the truth of the matter is, they reveals volume about your true colour/background - need I say more?Ka kwambia mi mu munyaru nani?
Western wanahusikaje? Mbona hata kina Mugabe na Dos Santos wamepora rasilimali kuliko hata Kagame au mabeberu!!Kuna mmoja hapo chini
Seriously he's wounded.
The peace of that County is into the Western Counties and Congolese themselves.
God the Almighty bless them.
Have them peace and Harmony.
Si unaona hata kiswahili kinakuumbua.Ka kwambia mi mu munyaru nani?
Ana special task hapa JF ya kutuletea updates za kile kinachofanywa na M23.Sijui Rwanda hawana forums zao akawa anaweka huko?Huyu mtoa habari katumwa na hao hao m23
M23 ni mercenaries wa Kagame. DRC nao wakusanye madini wakawamwagie Wagner group ili waje wapambane na M23.M23 aisee ni shida! huko vitani wanatwanga na kwa jamii wanaonesha kitu inaitwa leadership kwa raia!.🤣🤣
View attachment 2529774View attachment 2529777
Au JWTZ iende kama kipindi kile cha awamu ya 4.Miezi miwili tu inatosha kuwashikisha adabu hao ngongoti wa KagameM23 ni mercenaries wa Kagame. DRC nao wakusanye madini wakawamwagie Wagner group ili waje wapambane na M23.
JWTZ kwenda kutahitajika vikao na mikutano, protocol kibao zisizo na sababu na kupoteza muda huku raia wa drc wakiendelea kuteseka. Kumbuka kuna majeshi ya monusco na ya eac yako huko na hakuna chochote kinachofanyika.Au JWTZ iende kama kipindi kile cha awamu ya 4.Miezi miwili tu inatosha kuwashikisha adabu hao ngongoti wa Kagame
Hapa umeeleweka,nakubaliana na wewe kwa ufafanuzi huu.JWTZ kwenda kutahitajika vikao na mikutano, protocol kibao zisizo na sababu na kupoteza muda huku raia wa drc wakiendelea kuteseka. Kumbuka kuna majeshi ya monusco na ya eac huko na hakuna chochote kinachofanyika.
Lakini hao M23 na kagame wao wakisikia tu Wagner group wametua, wataanza kutaka mapatano haraka. mgogoro wa drc hauwezi kutatulika kisiasa tena.