joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Why cross fire inside Kenya?, is Kenya territory battle field for foreign forces?. Failed state."..as Ethiopian army,militia engages in crossfire"
Naona kingereza taabu kwako
Hii sio Mara ya kwanza au ya pili kwa jeshi la Ethiopia kuingia Kenya na kuua watu bila kukutana na jibu lolote toka KDF.
Serikali ya Kenya zaidi ya kulalamika Mara kwa Mara, hakuna hatua zozote inazochukua, jamba linaloifanya Ethiopia kuendeleza tabia yake ya kuvuka mpaka wa Kenya na kuuwa wakenya vile wapendavyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Failed state ninyi, wakenya wanauliwa ndani ya ardhi ya Kenya, ninyi mnadhani ni sawa eti kwasababu wanapigana wenyewe kwa wenyewe, kitendo cha wao kuvuka mpaka na kuingia Kenya, ni dharau sana kwa KDF, kwasababu wanajua huko Kenya hakuna jeshi imara la kuwafukuza.
Mjaribu kufanya huo upuuzi within Tanzanian territory muone!"..as Ethiopian army,militia engages in crossfire"
Naona kingereza taabu kwako
Mtatulipua na chopper zenu zilizoundwa kwa mabati?Mjaribu kufanya huo upuuzi within Tanzanian territory muone!
Acha kujiaibisha young man!Why cross fire inside Kenya?, is Kenya territory battle field for foreign forces?. Failed state.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kutype ushenzi! Kubali wewe ni maskini wa infinix 😂 😂 😂 😂 😂 😂 🚮Sent from my iPhone
Sasa kama ni majambazi yanafanya uhalifu na kuvuka boda huku yakijibu mashambulizi mara ghafla yamevuka boda yaachwe tu si ndio?Why cross fire inside Kenya?, is Kenya territory battle field for foreign forces?. Failed state.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kutype ushenzi! Kubali wewe ni maskini wa infinix [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji706]
Sasa kama ni majambazi yanafanya uhalifu na kuvuka boda huku yakijibu mashambulizi mara ghafla yamevuka boda yaachwe tu si ndio?
Sent using mazonge yamezidi
Mjaribu kufanya huo upuuzi within Tanzanian territory muone!
Jeshi lenu dhaifu limewahi kufanikiwa mission gani?Tanzania nchi mnyonge sana, mbwa wa kubweka tu, hawezi uma, TPDF wanapigwa mapanga na rebels kule Congo!., see your life now., kiswahili tu na Bongo flava (muziki) hakuna lingine zaidi...
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kismayu the former headquarters ya Al Shabaab iko mikononi mwa nani?., jibu kaka? Ras Kamboni je? How did KDF fared in Bosnia?, Sierra Leonne??, hauijui Kenya vizuri, ni kwa taarifa za mitandao na hadithi za vijiweni ukichanganya na wivu tupu.Jeshi lenu dhaifu limewahi kufanikiwa mission gani?
Swali gumu sana hili kwa wakenya [emoji23][emoji23][emoji23]
Nikajua utaleta mission za maana kumbe ujinga,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kismayu the former headquarters ya Al Shabaab iko mikononi mwa nani?., jibu kaka? Ras Kamboni je? Bosnia?, Siera Leonne??, hauijui Kenya vizuri, ni kwa taarifa za mitandao na hadithi za vijiweni ukichanganya na wivu tupu.
Mistakes kwa battlefields na deaths hutokea, marekani na Britain wamenyoroshwa mara kadhaa uarabuni, check documentaries online uone, haimaanishi hawajakua na successful mission.
Sent using Jamii Forums mobile app