Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 10,494
- 9,854
Je unaelewa ideological warfare? Al Shabaab sio merely wasomali kaka, ni kikundi cha waislamu walio "potoka", ndani kuna watanzania, Kenyans, wakongomani, somalis etc, pia ndugu yako ama watu kutokaa ukoo wako waeza kua pale., how do u fight them if they are hidden amongst you?., kumbe wewe ni ovyo kimafikira hivyo?
Any war that involves ideology is hard to fight and finish or even win, unaeza succeed na kushinda in battle but lose the war, kama unaelewa namaanisha nini., angalia wamarekani?
My opinion, vita dhidi ya maghaidi na wana mgambo, haiwezi suluhishwa kupitia risasi. Tafakari kama una uwezo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Any war that involves ideology is hard to fight and finish or even win, unaeza succeed na kushinda in battle but lose the war, kama unaelewa namaanisha nini., angalia wamarekani?
My opinion, vita dhidi ya maghaidi na wana mgambo, haiwezi suluhishwa kupitia risasi. Tafakari kama una uwezo...
Nikajua utaleta mission za maana kumbe ujinga,
Hapa umeongelea ujinga na vijimission vya mboga,
Hao wasomali mbona bado wanaingia hapo kenya na kufanya chochote?
Jeshi lenu ni kujisifia ujinga wakati kwa ground vitu ni different wanaishia kuiba mikate.
Sent using Jamii Forums mobile app