Jeshi la Ethiopia laingia Kenya na kuua wakenya

Jeshi la Ethiopia laingia Kenya na kuua wakenya

Je unaelewa ideological warfare? Al Shabaab sio merely wasomali kaka, ni kikundi cha waislamu walio "potoka", ndani kuna watanzania, Kenyans, wakongomani, somalis etc, pia ndugu yako ama watu kutokaa ukoo wako waeza kua pale., how do u fight them if they are hidden amongst you?., kumbe wewe ni ovyo kimafikira hivyo?
Any war that involves ideology is hard to fight and finish or even win, unaeza succeed na kushinda in battle but lose the war, kama unaelewa namaanisha nini., angalia wamarekani?
My opinion, vita dhidi ya maghaidi na wana mgambo, haiwezi suluhishwa kupitia risasi. Tafakari kama una uwezo...
Nikajua utaleta mission za maana kumbe ujinga,
Hapa umeongelea ujinga na vijimission vya mboga,
Hao wasomali mbona bado wanaingia hapo kenya na kufanya chochote?
Jeshi lenu ni kujisifia ujinga wakati kwa ground vitu ni different wanaishia kuiba mikate.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je unaelewa ideological warfare? Al Shabaab sio merely wasomali kaka, ni kikundi cha waislamu walio "potoka", ndani kuna watanzania, Kenyans, wakongomani, somalis etc, pia ndugu yako ama watu kutokaa ukoo wako waeza kua pale., how do u fight them if they are hidden amongst you?., kumbe wewe ni ovyo kimafikira hivyo?
Any war that involves ideology is hard to fight and finish or even win, unaeza succeed na kushinda in battle but lose the war, kama unaelewa namaanisha nini., angalia wamarekani?
My opinion, vita dhidi ya maghaidi na wana mgambo, haiwezi suluhishwa kupitia risasi. Tafakari kama una uwezo...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kubali kuwa jeshi lenu pamoja na inteligensia ni wabovu,
Mnapoteza wananchi wenu wasio na hatia na hakuna cha maana mnachofanya kule,
Mipaka yenu hamlindi ndio maana wanaingia wanavyotaka.
 
Magaidi ni ndugu yako na jirani yako wewe. Leta TPDF kisha tutazungumza, mengine itakua opinion na inference, mere propaganda. Kindergarten argument. Utoto mtupu, nothing scholarly or mature. Alamsiki kaka.
Kubali kuwa jeshi lenu pamoja na inteligensia ni wabovu,
Mnapoteza wananchi wenu wasio na hatia na hakuna cha maana mnachofanya kule,
Mipaka yenu hamlindi ndio maana wanaingia wanavyotaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magaidi ni ndugu yako na jirani yako wewe. Leta TPDF kisha tutazungumza, mengine itakua opinion na inference, mere propaganda. Kindergarten argument. Utoto mtupu, nothing scholarly or mature. Alamsiki kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unakumbuka m23 walichofanywa?
Ongea Vyovyote ila jeshi lenu ni dhaifu sana.
 
IMG_20191228_062223.JPG

Setikali ya Kenya ni ya ajabu sana, wanajeshi wao wanakufa kila siku kutokana na magari yao kukanyanya mabomu ya kutegwa, yaani wanashindwa kuwapatia wanajeshi wao harmoured vehicles wanawacha wanatumia landcruiser
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kismayu the former headquarters ya Al Shabaab iko mikononi mwa nani?., jibu kaka? Ras Kamboni je? How did KDF fared in Bosnia?, Sierra Leonne??, hauijui Kenya vizuri, ni kwa taarifa za mitandao na hadithi za vijiweni ukichanganya na wivu tupu.

Mistakes kwa battlefields na deaths hutokea, marekani na Britain wamenyoroshwa mara kadhaa uarabuni, check documentaries online uone, haimaanishi hawajakua na successful mission.


Sent using Jamii Forums mobile app
Umeulizwa ni mission gani KDF iliyifanikisha?, unajua maana ya "Mission completed??". Lengo la KDF lilikua ni lipi, je limekamilika au " it is on going exercise, which might end up to either competed, abandoned or failure?. KDF ilishindwa South Sudan na ikajitoa kwa aibu kubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeulizwa ni mission gani KDF iliyifanikisha?, unajua maana ya "Mission completed??". Lengo la KDF lilikua ni lipi, je limekamilika au " it is on going exercise, which might end up to either competed, abandoned or failure?. KDF ilishindwa South Sudan na ikajitoa kwa aibu kubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wajinga hawafahamu chochote kuhusu nchi yao 😂😂😂
Namuuliza mission ambazo jeshi lao dhaifu limewahi fanikiwa yeye analeta ujinga,
Yaaani wanachojua tu ni ushabiki maandazi.
 
Back
Top Bottom