Jeshi la Ethiopia laingia Kenya na kuua wakenya

Jeshi la Ethiopia laingia Kenya na kuua wakenya

Unapoligawa taifa upande wa walioonewa wote unaungana na adui.

Labda nikuulize CCM mmeshinda 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kidhuluma.

Dunia nzima inajua kwa namna Hali ya kisiasa ilivyo Tanzania na CCM inavyochukiwa tz hamuwezi kushinda 99.9% Leo hii ikianza Vita mnadhani wale mliowaonea wata side upande gani?
 
Unapoligawa taifa upande wa walioonewa wote unaungana na adui.

Labda nikuulize CCM mmeshinda 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kidhuluma.

Dunia nzima inajua kwa namna Hali ya kisiasa ilivyo Tanzania na CCM inavyochukiwa tz hamuwezi kushinda 99.9% Leo hii ikianza Vita mnadhani wale mliowaonea wata side upande gani?
Swali rahisi kwa vyombo vya usalama Tanzania msimtafute mchawi Wala kigogo kigogo yupo chamwino chato na magogoni.kifupi CCM ( chamwino chato magogoni) huyo ndio kigogo 2O14
 
Ukute kenyatta kauza vijiji vya mpakani kwa ethiopia ili wapate mahindi ya njano
 
Jamaa wenyewe hata chakula hawana halafu bado mnawauaua mnapata sana dhambi waethiopia
Hivi kati ya Kenya na Ethiopia ni wapi watu takriban milioni moja walikufa kwa sababu ya njaa mwaka wa 1984? Usiwahi taja Kenya na Ethiopia katika sentensi moja. Ile nchi ni shithole kweli. Wana Gdp ndogo kutushinda na wana watu mara dufu ya Kenya. Sie bado baba yenu hapa EA.
 
Mimi ni mtanzania wa damu Ila bet Leo hii tz ikipigana na Kenya Mimi Nitakuwa upande gani!?

Askari wa Tanzania ambao watakuwakuwa polisi waliochanganywa kwenye jw wote tukiwaona tutawalengesha kea adui kdf kwasababu huku tz polisi Wanauwa wananchi kwahiyo cc wenyewe watz tutaasi mission za jeshi letu mpk polisi waache kutuua na kututeka ndani ya taifa letu Tanzania.
Ahsante. Cc Geza Ulole
 
Mtu anaeisema kdf vibaya anaisema Kenya ambayo ndio the bigest Democratic country in East Africa kitu ambacho hakipo kwenye war arena nchi ya kidicteta kuishinda nchi ya kidemocrasia msidanganywe na Vietnam war !
Vita ni nguvu na nguvu lazima uwe unapata chakula, Kenya ni njaa kila kona watapata wapi nguvu za kupigana?, kumbuka hakuna komandoo wa njaa, " Adui muombee njaa, atakua mnyonge ata awe shujaa".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kati ya Kenya na Ethiopia ni wapi watu takriban milioni moja walikufa kwa sababu ya njaa mwaka wa 1984? Usiwahi taja Kenya na Ethiopia katika sentensi moja. Ile nchi ni shithole kweli. Wana Gdp ndogo kutushinda na wana watu mara dufu ya Kenya. Sie bado baba yenu hapa EA.
Hiyo ni historia, walishajirekebisha, waligundua makosa yao sasa hawapewi tena msaada wa chakula. Tatizo la Kenya hamjifunzi kutokana na makosa ya nyuma, matatizo yenu ni yale Yale kila mwaka na yanaongezeka ukubwa wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Urusi na China ni among top three of the most powerful countries in the World, huyo hajitambui. Tanzania tukipigana na Kenya, tutakalofanya ni kuhakikisha hakuna meli zinatoingia bandari ya Mombasa, na Uganda haingizi chakula Kenya, ndani ya kipindi cha mwezi mmoja lazima Kenya ita- surrender tu kwa sababu ya njaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa kaelwa ya kwamba walivuka mpaka wakauwa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, kwahiyo majeshi ya nchi jirani kuvuka mpaka na kuingia nchini kwenu kufanya ndio uwanja wa mapigano na kufikia hatua ya raia wenu kuuliwa hilo ni sawa kwa akili zenu?.

Joseph Konyi aliposhindwa na majeshi ya Uganda alikimbilia kujificha DRC, wapiganaji wa ADF na wale wa Ntarahamwe toka Rwanda walikwenda DRC, huko ndio uwanja wa mapambano wa majeshi toka nchi jirani kwasababu jeshi la DRC ni dhahifu Sana kulinda mipaka ya nchi yao kama ilivyo KDF, ndio sababu wanavuka mpaka kuingia Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mtanzania wa damu Ila bet Leo hii tz ikipigana na Kenya Mimi Nitakuwa upande gani!?

Askari wa Tanzania ambao watakuwakuwa polisi waliochanganywa kwenye jw wote tukiwaona tutawalengesha kea adui kdf kwasababu huku tz polisi Wanauwa wananchi kwahiyo cc wenyewe watz tutaasi mission za jeshi letu mpk polisi waache kutuua na kututeka ndani ya taifa letu Tanzania.
Hahahahaha hapa umeongea kama kilaza mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha hapa umeongea kama mama muuza acha nikwambie kitu Tanzania sio nchi tu ila ni taifa pia Nyerere alisuka misingi imara
Wajinga nyie mmeligawa taifa Leo hii Tanzania na Kenya wakiingia vitani tutapigwa kirahisi kwasababu zifuatazo.

1. Itakuwa ni Vita ya lisu vs magu.

2.chadema vs CCM

3.walioonewa na wanaoonewa ndani ya tz vs waoneaji.

4.Watekaji vs watekwaji.

5.Watumishi wa umma Tanzania wote wata side na jeshi la Kenya kuuondoa utawala wa CCM

Kimsingi mnaweza kuiona Kenya dhaifu kitu ambacho sio kweli ila mkitaka kuona uhalisia anzeni Vita na Kenya ndio mtajua CCM inachukiwa kiasi gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je unaelewa ideological warfare? Al Shabaab sio merely wasomali kaka, ni kikundi cha waislamu walio "potoka", ndani kuna watanzania, Kenyans, wakongomani, somalis etc, pia ndugu yako ama watu kutokaa ukoo wako waeza kua pale., how do u fight them if they are hidden amongst you?., kumbe wewe ni ovyo kimafikira hivyo?
Any war that involves ideology is hard to fight and finish or even win, unaeza succeed na kushinda in battle but lose the war, kama unaelewa namaanisha nini., angalia wamarekani?
My opinion, vita dhidi ya maghaidi na wana mgambo, haiwezi suluhishwa kupitia risasi. Tafakari kama una uwezo...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kimafikira????

Una zingua... Andika kikamba au kijaruo... Hachana na kiswahili sio size yako...
 
Back
Top Bottom