Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Unapoligawa taifa upande wa walioonewa wote unaungana na adui.
Labda nikuulize CCM mmeshinda 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kidhuluma.
Dunia nzima inajua kwa namna Hali ya kisiasa ilivyo Tanzania na CCM inavyochukiwa tz hamuwezi kushinda 99.9% Leo hii ikianza Vita mnadhani wale mliowaonea wata side upande gani?